< Ayubu 20 >
1 Ndipo Sofari, Mnaamathi alijibu na kusema,
Отвещав же Софар Минейский, рече:
2 “Mawazo yangu yananifanya mimi nijibu kwa haraka kwa sababu ya mashaka yaliyomo ndani yangu mimi.
не тако мнех сия тебе рещи противу, и не разумеете паче нежели и аз.
3 Mimi ninasikia kukemewa ambako kunaniondolea heshima mimi, lakini roho kutoka katika ufahamu wangu hunijibu mimi.
Наказание срамления моего услышу, и дух от разума отвещавает ми.
4 Je, unafahamu kwamba ukweli huu kutoka enzi za kale, wakati Mungu alipomweka mwanadamu juu ya nchi:
Еда сих не уразумел еси от века, отнележе положен человек бысть на земли?
5 ushindi wa mtu mwovu ni mfupi, na furaha ya mtu asiyemcha Mungu hudumu kwa kitambo tu?
Веселие бо нечестивых падение страшно, обрадование же беззаконных пагуба.
6 Ingawa urefu wake yeye hufikia juu kwenye mbingu, na kichwa chake yeye kufikia kwenye mawingu,
Аще взыдут на небо дары его, жертва же его облаков коснется:
7 bado mtu huyo atapotea siku zote kama mavi yake yeye mwenyewe; wale waliokuwa wamemuona yeye watasema, 'Yuko wapi yeye'?
егда бо мнится уже утвержден быти, тогда в конец погибнет. Видевшии же его рекут: где есть?
8 Yeye atapaa mbali kama ndoto na hataonekana; ndivyo ilivyo, yeye atakuwa amefukuzwa mbali kama ono la
Якоже сон отлетевый не обрящется, отлете же аки мечтание нощное.
9 usiku. Jicho ambalo lilimuona yeye halitamuona yeye tena; mahali pake hapatamuona yeye tena.
Око призре, и не приложит, и ктому не познает его место его.
10 Watoto wake wataomba msamaha kwa watu maskini, mikono yake itaweza kurudisha utajiri wake.
Сынов его да погубят меншии, и руце его возжгут болезни.
11 Mifupa yake imejaa nguvu za ujanani, lakini zitalala naye chini katika mavumbi.
Кости его наполнишася грехов юности его и с ним на персти уснут.
12 Japokuwa uovu ni mtamu katika mdomo wake yeye, japokuwa yeye anauficha chini ya ulimi wake yeye,
Аще усладится во устех его злоба, скрыет ю под языком своим:
13 japokuwa anaushikilia pale na hauruhusu kwenda lakini bado huushikilia katika mdomo wake yeye -
не пощадит ея, и не оставит ея, и соберет ю посреде гортани своего,
14 chakula katika koromeo lake yeye hugeuka kuwa uchungu; hugeuka kuwa sumu ya majoka ndani yake yeye.
и не возможет помощи себе: желчь аспидов во чреве его.
15 Yeye humeza chini utajiri, lakini yeye atautapika tena; Mungu atautoa nje kutoka katika tumbo lake yeye.
Богатство неправедно собираемо изблюется, из храмины его извлечет его Ангел.
16 Yeye atamumunya sumu ya majoka; ulimi wa nyoka mwenye sumu utamwua yeye.
Ярость же змиеву да ссет, да убиет же его язык змиин.
17 Yeye hatafurahia vijito vya maji, wingi wa asali na siagi.
Да не узрит отдоения скотов, ниже прибытка меда и масла кравия.
18 Yeye atayarudisha matunda ya kazi yake na hataweza kuyala; yeye hatafurahia utajiri alioupata kwa biashara zake yeye.
Вотще и всуе трудися, богатство, от негоже не вкусит, якоже клоки не сожваемы и не поглощаемы.
19 Kwa kuwa yeye amewakandamiza na kuwasahau watu maskini; yeye kwa uonevu, amezichukua mbali nyumba ambazo hakuzijenga yeye.
Многих бо немощных домы сокруши, жилище же разграби и не постави.
20 Kwa sababu yeye mwenyewe hakujua utoshelevu wowote, yeye hataweza kuokoa kitu chochote katika kile ambacho alijifurahisha.
Несть спасения имению его, в вожделении своем не спасется.
21 Hakuna chochote kilichoachwa ambacho yeye hakukimeza; kwa hiyo mafanikio yake yeye hayatakuwa ya kudumu.
Несть останка брашну его, сего ради не процветут ему благая.
22 katika wingi wa utajiri wake yeye ataanguka katika mahangaiko; mkono wa kila mmoja ambaye yuko katika umaskini utakuja kinyume chake yeye.
Егда же мнит уже исполнь быти, оскорбится, всяка же беда нань приидет.
23 Wakati akiwa katika kulijaza tumbo lake, Mungu atatupa hasira ya ghadhabu yake juu yake yeye; Mungu ataunyeshea chini juu yake yeye wakati yeye anakula.
Аще како либо исполнит чрево свое, напустит нань ярость гнева, одождит на него болезни:
24 Ingawa mtu huyo atakimbia kutoka katika silaha ya chuma, upinde wa shaba utampiga yeye.
и не спасется от руки железа, да устрелит его лук медян,
25 Mshale utatoboa kupitia mgongoni mwake na utatokezea; ni dhahiri, ncha inayong'ra itatokezea nje kupitia ini lake yeye; watesi huja tena juu yake.
и да пройдет сквозе тело его стрела: звезды же в жилищих его: да приидут нань страси,
26 Giza lliilo kamilika limetunzwa kwa akiba zake; moto usiopulizwa utamla yeye kwa haraka; utameza kile kilichoachwa katika hema yake.
и всяка тма на нем да пребудет: да пояст его огнь нераздеженый, да озлобит же пришлец дом его:
27 Mbingu zitauweka wazi uovu wake, na nchi itainuka juu dhidi yake yeye kama shahidi.
и да открыет небо беззакония его, и земля да востанет нань:
28 Utajiri wa nyumba yake utatoweka; bidhaa zake zitamwagika mbali siku ya ghadhabu ya Mungu.
да извлечет дом его пагуба до конца, день гнева да приидет нань.
29 Hii ndiyo sehemu ya mtu mwovu kutoka kwa Mungu, urithi uliotunzwa akiba na Mungu kwa ajili yake yeye.”
Сия часть человека нечестиваго от Господа и стяжание имений его от Надзирателя.