< Ayubu 20 >
1 Ndipo Sofari, Mnaamathi alijibu na kusema,
A odpowiadając Sofar Naamatczyk rzekł:
2 “Mawazo yangu yananifanya mimi nijibu kwa haraka kwa sababu ya mashaka yaliyomo ndani yangu mimi.
Do tego mię myśli moje przywodzą, abym odpowiedział; przetożem się pospieszył.
3 Mimi ninasikia kukemewa ambako kunaniondolea heshima mimi, lakini roho kutoka katika ufahamu wangu hunijibu mimi.
Słyszałem mnie hańbiącą naganę; ale duch wyrozumienia mego odpowie za mię.
4 Je, unafahamu kwamba ukweli huu kutoka enzi za kale, wakati Mungu alipomweka mwanadamu juu ya nchi:
Izaż nie wiesz, że to jest od wieku, od tego czasu, jako postawił Bóg człowieka na ziemi?
5 ushindi wa mtu mwovu ni mfupi, na furaha ya mtu asiyemcha Mungu hudumu kwa kitambo tu?
Iż chwała niepobożnych krótka jest, a wesele obłudnika na mgnienie oka?
6 Ingawa urefu wake yeye hufikia juu kwenye mbingu, na kichwa chake yeye kufikia kwenye mawingu,
By też wstąpiła aż do nieba hardość jego, a obłoku się dotknęła głowa jego:
7 bado mtu huyo atapotea siku zote kama mavi yake yeye mwenyewe; wale waliokuwa wamemuona yeye watasema, 'Yuko wapi yeye'?
A wszakże na wieki zginie jako gnój jego, a ci, którzy go widzieli, rzeką: Gdzież się podział?
8 Yeye atapaa mbali kama ndoto na hataonekana; ndivyo ilivyo, yeye atakuwa amefukuzwa mbali kama ono la
Uleci jako sen, a nie znajdą go; bo uciecze, jako widzenie nocne.
9 usiku. Jicho ambalo lilimuona yeye halitamuona yeye tena; mahali pake hapatamuona yeye tena.
Oko, które go widziało, nie ogląda go więcej, i nie ujrzy go więcej miejsce jego.
10 Watoto wake wataomba msamaha kwa watu maskini, mikono yake itaweza kurudisha utajiri wake.
Synowie jego będą się korzyć ubogim; bo ręce jego muszą wracać, co wydarł.
11 Mifupa yake imejaa nguvu za ujanani, lakini zitalala naye chini katika mavumbi.
Kości jego napełnione są grzechami młodości jego, a w prochu z nim leżeć będą.
12 Japokuwa uovu ni mtamu katika mdomo wake yeye, japokuwa yeye anauficha chini ya ulimi wake yeye,
A choć złość słodnieje w ustach jego, i tai ją pod językiem swoim;
13 japokuwa anaushikilia pale na hauruhusu kwenda lakini bado huushikilia katika mdomo wake yeye -
Kocha się w niej, a nie opuszcza jej, zatrzymywając ją w pośrodku podniebienia swego:
14 chakula katika koromeo lake yeye hugeuka kuwa uchungu; hugeuka kuwa sumu ya majoka ndani yake yeye.
Wszakże pokarm jego we wnętrznościach jego odmieni się; żółcią padalcową stanie się w trzewach jego.
15 Yeye humeza chini utajiri, lakini yeye atautapika tena; Mungu atautoa nje kutoka katika tumbo lake yeye.
Bogactwa, które pożarł, zwróci, a z brzucha jego wyżenie je Bóg.
16 Yeye atamumunya sumu ya majoka; ulimi wa nyoka mwenye sumu utamwua yeye.
Głowę padalcową ssać będzie; zabije go język jaszczurczy.
17 Yeye hatafurahia vijito vya maji, wingi wa asali na siagi.
Nie ogląda źródeł rzek, strumieni mówię miodu i masła.
18 Yeye atayarudisha matunda ya kazi yake na hataweza kuyala; yeye hatafurahia utajiri alioupata kwa biashara zake yeye.
Wróci pracę cudzą, a nie zażyje jej; i choć znowu nabędzie wielkich majętności, nie ucieszy się niemi.
19 Kwa kuwa yeye amewakandamiza na kuwasahau watu maskini; yeye kwa uonevu, amezichukua mbali nyumba ambazo hakuzijenga yeye.
Bo ubogich dręczył i opuszczał, złupił dom, którego nie budował; przetoż nic spokojnego nie poczuje w żywocie swoim,
20 Kwa sababu yeye mwenyewe hakujua utoshelevu wowote, yeye hataweza kuokoa kitu chochote katika kile ambacho alijifurahisha.
Ani rzeczy swych wdzięcznych nie będzie mógł zatrzymać.
21 Hakuna chochote kilichoachwa ambacho yeye hakukimeza; kwa hiyo mafanikio yake yeye hayatakuwa ya kudumu.
Nic nie zostanie z pokarmów jego, ani się rozmnoży dobro jego.
22 katika wingi wa utajiri wake yeye ataanguka katika mahangaiko; mkono wa kila mmoja ambaye yuko katika umaskini utakuja kinyume chake yeye.
Choćby i nazbyt miał wszystkiego, ściśniony będzie; wszelka ręka trapiących oburzy się nań.
23 Wakati akiwa katika kulijaza tumbo lake, Mungu atatupa hasira ya ghadhabu yake juu yake yeye; Mungu ataunyeshea chini juu yake yeye wakati yeye anakula.
Choć będzie miał czem napełnić brzuch swój, przecież nań Bóg puści popędliwość gniewu swego, którą jako deszcz spuści nań, i na pokarmy jego.
24 Ingawa mtu huyo atakimbia kutoka katika silaha ya chuma, upinde wa shaba utampiga yeye.
Gdy uciekać będzie przed bronią żelazną, przebije go łuk hartowny.
25 Mshale utatoboa kupitia mgongoni mwake na utatokezea; ni dhahiri, ncha inayong'ra itatokezea nje kupitia ini lake yeye; watesi huja tena juu yake.
Wyjęta będzie strzała z sajdaku wypuszczona, a grot przeniknie żółć jego; a gdy uchodzić będzie, ogarną go strachy.
26 Giza lliilo kamilika limetunzwa kwa akiba zake; moto usiopulizwa utamla yeye kwa haraka; utameza kile kilichoachwa katika hema yake.
Wszystkie nieszczęścia zasadziły się nań w tajemnych miejscach jego, a pożre go ogień nierozdymany: pozostały w przybytku jego utrapiony będzie.
27 Mbingu zitauweka wazi uovu wake, na nchi itainuka juu dhidi yake yeye kama shahidi.
Odkryją niebiosa złość jego, a ziemia powstanie przeciwko niemu.
28 Utajiri wa nyumba yake utatoweka; bidhaa zake zitamwagika mbali siku ya ghadhabu ya Mungu.
Przeniesie się urodzaj domu jego; dobra jego rozpłyną się w dzień gniewu jego.
29 Hii ndiyo sehemu ya mtu mwovu kutoka kwa Mungu, urithi uliotunzwa akiba na Mungu kwa ajili yake yeye.”
Tenci jest dział człowieka niepobożnego od Boga, to dziedzictwo naznaczone mu od Boga.