< Ayubu 2 >
1 Kisha kulikuwa na siku wana wa Mungu walipokwenda kujihudhurisha mbele za BWANA. Shetani pia alikwenda kati yao kujihudhulisha mbele za BWANA.
Eso eno amoga, Hebene ganodini esalebe a: silibu da Hina Gode midadi bu doaga: loba, Sa: ida: ne da ili gilisili manebe ba: i.
2 BWANA akamuuliza Shetani, “umetoka wapi wewe?” Kisha Shetani akamjibu BWANA na kusema, “Natoka kuzunguka zunguka duniani, kutembea huku na huko humo.”
Hina Gode da ema amane adole ba: i, “Di da adi hamonanula: ?” Sa: ida: ne da bu adole i, “Na da goeguda: amola goega amola osobo bagade huluane sisiga: sa lalu.”
3 BWANA akamuuliza Shetani, “Je umemwangalia mtumishi wangu Ayubu? Kwa kuwa hapana mmoja aliye kama yeye duniani, mtu mwenye haki na mkamilifu, mmoja aliye mcha Mungu na kuepukana na uovu. Hata sasa anashikamana na utimilifu wake, japokuwa ulinichochea juu yake, nimwangamize pasipo sababu.”
Hina Gode da amane adole ba: i, “Di da Na hawa: hamosu dunu Yoube amo dia ba: bela: ? Dunu osobo bagade ganodini fi noga: le fa: no bobogesu dunu e agoai da hame. E da Nama fawane sia: ne gadosa, amola e da wadela: le hamosa: besa: le, dawa: iwane Nama fa: no bobogelala.”
4 Shetani akamjibu BWANA na kusema, “Ngozi kwa ngozi, kweli; mtu atatoa vyote alivyo navyo kwaajili ya uhai wake.
Sa: ida: ne da bu adole i, “Dunu da ea esalebe gaga: ma: ne, ea liligi huluane mae dawa: iwane yolesimu.
5 Lakini nyosha mkono wako sasa na uguse mifupa yake na nyama yake, na uone kama hatakufuru mbele ya uso wako.”
Be Di da wali ea da: i hodo se nabaloma: ne fasea, e da Dia odagia gagabusu aligima: mu!”
6 BWANA akamwambia Shetani, “Tazama, yumo mkononi mwako; ni uhai wake tu ambao lazima uutunze.”
Amaiba: le, Hina Gode da Sa: ida: nema amane sia: i, “Defea! Na da e dia lobo da: iya ligisimu. Be e mae bogoma: ma!”
7 Kisha Shetani akatoka mbele ya uso wa BWANA. Akampiga Ayubu na majipu mabaya toka wayo wa mguu hadi kichwani.
Amalalu Sa: ida: ne da Hina Gode Ea midadi lelu amo yolesili, asili, Yoube ea da: iba: le huluane aiya madelama: ne hamoi.
8 Ayubu akachukua kipande cha kigae kujikunia, na akaketi chini majivuni.
Yoube da asili, isu salasu bega: fili, osoboga hamoi ofodo goudai amo lale, ea aiya amo gilalu.
9 Kisha mkewe akamuuliza, “Je hata sasa wewe unashikamana na utimilifu wako? Umkufuru Mungu na ufe.
Yoube idua da ema amane sia: i “Di da mae yolele, gebewane Godema dafawaneyale dawa: lala! Di da abuliba: le Godema gagabusu aligima: ne hame sia: sa! Di amane sia: ne bogomu da defea!
10 Lakini yeye akamwambia, “Wewe unaongea kama mmoja wa hao wanawake wapumbavu waongeavyo. Je sisi tupate mema toka kwa Mungu na tusipate mabaya?” Katika mambo hayo yote, Ayubu hakutenda dhambi kwa midomo yake.
Yoube da bu dabe adole i, “Di da udigili mae dawa: le adosa! Gode da anigini liligi noga: idafa iabeba: le, ania da olofole hahawane lai. E da anima se nabasu nabima: ne iasea, abuliba: le ania da Godema egane sia: ma: bela: ?” Amo se nabasu da Youbema doaga: beba: le, Yoube da Godema egane hamedafa sia: su.
11 Sasa wakati rafiki zake watatu wa Ayubu walipopata habari ya mabaya yaliyompata, kila mmoja wao akaja kutoka mahali pake: Elifazi Mtemani, Bildadi Mshuhi, na Sofari Mnaamathi. Wakatenga muda ili waende kuomboleza naye na kumfariji.
Yoube ea sama udiana ilia dio da Ilaifa: se, (e da Dima: ne moilai bai bagadega esalu), Bilida: de (e da Sua sogeganini misi), amola Soufa (e da Na: ima sogeganini misi.) Ilia da Yoube ea se nabasu hou amo nababeba: le, ea dogo denesima: ne oufila masunusa: ilegele sia: sa: i.
12 Walipoinua macho yao wakiwa mbali, hawakuweza kumtambua. Wakapaza sauti zao na kulia; kila mmoja wao akararua joho lake na kurusha majivu hewani na juu ya kichwa chake.
Ilia da badiliadafa ganini mana, ba: leguda: loba, Yoube esalebe amo ba: i, be ilia da Yoube eyale hame dawa: i galu. Ilia da dafawane amo da Yoube ilia da dawa: digibiba: le, ilia da bai muni eha asigili didigia: sa, ilila: abula gagadelale sali, amola bagade dadawa: ahoabeba: le gulu gasa: le hame fufua gala gagadoi, amola ilia: dialuma da: iya gasa: le lelegei.
13 Kisha wakaketi chini pamoja naye kwa muda wa siku saba-mchana na usiku. Hakuna hata mmoja aliyesema naye neno, kwa kuwa waliona kuwa huzuni yake ilikuwa kuu mno.
Amaiba: le, ilia da mae sia: baouni, eso fesuale amola gasi fesuale agoane Yoube ili gilisili osobo da: iya esafulu, bai Yoube ea se nabasu da bagadedafa amo ba: beba: le agoane hamosu.