< Ayubu 19 >

1 Ndipo Ayubu akajibu na kusema,
А Јов одговори и рече:
2 lini mtanifanya mimi kuteseka na kunivunja vunja mimi vipande vipnde kwa maneno?
Докле ћете мучити душу моју и сатирати ме речима?
3 Mara kumi hivi mmenishutumu mimi; ninyi hamuoni aibu kwamba mmenitendea mimi kwa ukatili.
Већ сте ме десет пута наружили; није вас стид што тако наваљујете на ме?
4 Kama ni dhahiri kweli mimi nimekosa, makosa yangu hubaki kuwa wajibu wangu.
Али ако сам доиста погрешио, погрешка ће моја остати код мене.
5 Kama ni dhahiri ninyi mtajiinua juu yangu mimi na kuutumia uvumilivu wangu kunipinga mimi,
Ако ли се још хоћете да дижете на ме и да ме корите мојом срамотом,
6 kisha ninyi mnapaswa kutambua kwamba Mungu amefanya mabaya kwangu mimi na amenikamata mimi katika mtego wake yeye.
Онда знајте да ме је Бог оборио и мрежу своју разапео око мене.
7 Tazama, Mimi ninalia kwa sauti, “dhuluma!” lakini sipati jibu. Mimi ninaita kwa ajili ya msaada, lakini hakuna haki.
Ето, вичем на неправду, али се не слушам; вапим, али нема суда.
8 Yeye ameiwekea ukuta njia yangu, ili kwamba mimi nisiweze kupita, na yeye ameweka giza katika njia yangu.
Заградио је пут мој да не могу проћи; на стазе моје метнуо је мрак.
9 Yeye ameniondoa Mimi kutoka katika utukufu wangu, na ameichukua taji kutoka kwenye kichwa changu mimi.
Свукао је с мене славу моју и скинуо венац с главе моје.
10 Yeye amenivunjavunja mimi chini kwa kila upande, na Mimi nimetoweka; yeye amelikokota juu tumaini langu kama mti.
Порушио ме је од свуда, да ме нема; и као дрво ишчупао је надање моје.
11 Yeye pia ameiongeza ghadhabu yake dhidi yangu mimi; yeye ananihesabu mimi kama mmoja wa adui zake.
Распалио се на ме гнев Његов, и узео ме је међу непријатеље своје.
12 Majeshi yake huja juu pamoja; wao wananikosesha tumaini kwa kuniteka nyara kwa kundi kubwa kupigana na mimi wakizunguka hema yangu.
Војске Његове дођоше све заједно и насуше к себи пут к мени, стадоше у логор около шатора мог.
13 Yeye amewaweka ndugu zangu mbali kutoka kwangu mimi; watu wangu wa karibu wote wamejitenga kutoka kwangu mimi.
Браћу моју удаљио је од мене, и знанци моји туђе се од мене.
14 Vizazi vyangu vimeniangusha mimi; rafiki zangu wa karibu wamenisahamu mimi.
Ближњи моји оставише ме, и знанци моји заборавише ме.
15 Wale ambao mwanzoni walikaa kama wageni ndani ya nyumba yangu na watumishi wangu wa kike, hunihesabu mimi kama mgeni. Mimi nimekuwa mgeni katika macho yao.
Домашњи моји и моје слушкиње гледају ме као туђина; странац сам у очима њиховим.
16 Mimi ninamwita mtumishi wangu, lakini yeye hanipi jibu japokuwa Mimi nimemsihi yeye kwa midomo yangu.
Зовем слугу свог, а он се не одзива, а молим га устима својим.
17 Pumzi yangu mimi ni chukizo kwa mke wangu; Hata mimi ninachukiwa na wale ambao walizaliwa kutoka katika tumbo la mama yangu mimi.
Дах је мој мрзак жени мојој, а преклињем је синовима утробе своје.
18 Hata watoto wachanga wananichukia mimi; ikiwa Mimi nitainuka kuzungumza, wao huzungumza dhidi yangu mimi.
Ни деца не хају за ме; кад устанем, руже ме.
19 Rafiki zangu wote ninaowazoea wananichukia sana mimi; wale ambao Mimi ninawapenda wamegeuka kinyume na mimi.
Мрзак сам свима неверним својим, и које љубљах посташе ми противници.
20 Mifupa yangu inashikamana kwenye ngozi yangu na kwenye mwili wangu; Mimi ninaishi tu kwa ngozi ya meno yangu.
За кожу моју као за месо моје прионуше кости моје; једва оста кожа око зуба мојих.
21 Iweni na huruma juu yangu mimi, muwe na huruma juu yangu mimi, rafiki zangu, kwa maana mkono wa Mungu umenigusa mimi.
Смилујте се на ме, смилујте се на ме, пријатељи моји, јер се рука Божија дотакла мене.
22 Kwa nini mnanitesa mimi kama ninyi mlikuwa Mungu? kwa nini hamjatosheka bado kwa kula mwili wangu?
Зашто ме гоните као Бог, и меса мог не можете да се наситите?
23 Laiti, hayo maneno yangu yangekuwa yameandikwa chini! Laiti, hayo yangekuwa yameandikwa katika kitabu!
О кад би се написале речи моје! Кад би се ставиле у књигу!
24 Laiti, kwa kalamu ya chuma na risasi hayo yangekuwa yamechorwa katika mwamba siku zote!
Писаљком гвозденом и оловом на камену за вечни спомен кад би се урезале!
25 Lakini kama ilivyo kwangu mimi, Mimi ninafahamu kwamba mkombozi wangu anaishi, na kwamba hata mwisho atasimama katika nchi;
Али знам да је жив мој Искупитељ, и на последак да ће стати над прахом.
26 baada ya ngozi yangu, hivyo ndivyo, mwili huu, unaharibiwa, ndipo katika mwili wangu mimi Nitamwona Mungu.
И ако се ова кожа моја и рашчини, опет ћу у телу свом видети Бога.
27 Mimi nitamwona yeye kwa macho yangu mwenyewe-Mimi, na siyo mtu mwingine. Moyo wangu hushindwa ndani yangu mimi.
Ја исти видећу Га, и очи моје гледаће Га, а не друге. А бубрега мојих нестаје у мени.
28 Kama mnatasema, 'Kwa jinsi gani tutamtesa yeye? Mzizi wa mahangaiko yake unakaa katika yeye;
Него би требало да кажете: Зашто га гонимо? Кад је корен беседе у мени.
29 ndipo uwe umeogopeshwa kwa ule upanga, kwa sababu ghadhabu huleta hukumu ya upanga, hivyo kwamba wewe uweze kutambua kuna hukumu.”
Бојте се мача; јер је мач освета за безакоње; и знајте да има суд.

< Ayubu 19 >