< Ayubu 19 >
1 Ndipo Ayubu akajibu na kusema,
Epi Job te reponn:
2 lini mtanifanya mimi kuteseka na kunivunja vunja mimi vipande vipnde kwa maneno?
Pou konbyen de tan, nou va toumante m, e kraze mwen avèk pawòl yo?
3 Mara kumi hivi mmenishutumu mimi; ninyi hamuoni aibu kwamba mmenitendea mimi kwa ukatili.
Dis fwa sa yo nou te ensilte m; nou pa menm wont fè m tò.
4 Kama ni dhahiri kweli mimi nimekosa, makosa yangu hubaki kuwa wajibu wangu.
Menm si m fè erè, erè sa repoze anndan m.
5 Kama ni dhahiri ninyi mtajiinua juu yangu mimi na kuutumia uvumilivu wangu kunipinga mimi,
Si anverite nou vin ògeye kont mwen, e fè m wè prèv a gwo wont mwen,
6 kisha ninyi mnapaswa kutambua kwamba Mungu amefanya mabaya kwangu mimi na amenikamata mimi katika mtego wake yeye.
alò, konnen byen ke Bondye te fè m tò, e te fèmen pèlen Li an antoure mwen.
7 Tazama, Mimi ninalia kwa sauti, “dhuluma!” lakini sipati jibu. Mimi ninaita kwa ajili ya msaada, lakini hakuna haki.
“Gade byen, mwen kriye: ‘Vyolans!’ Men nanpwen repons. Mwen rele sekou! Men nanpwen jistis.
8 Yeye ameiwekea ukuta njia yangu, ili kwamba mimi nisiweze kupita, na yeye ameweka giza katika njia yangu.
Li te bare chemen mwen pou m pa kab pase, e Li te mete fènwa sou pa m yo.
9 Yeye ameniondoa Mimi kutoka katika utukufu wangu, na ameichukua taji kutoka kwenye kichwa changu mimi.
Li te retire lonè sou mwen e te retire kouwòn nan sou tèt mwen.
10 Yeye amenivunjavunja mimi chini kwa kila upande, na Mimi nimetoweka; yeye amelikokota juu tumaini langu kama mti.
Li kraze desann mwen tout kote e mwen fin disparèt; Li te dechouke espwa m kon yon pyebwa.
11 Yeye pia ameiongeza ghadhabu yake dhidi yangu mimi; yeye ananihesabu mimi kama mmoja wa adui zake.
Anplis, Li te limen lakòlè Li kont mwen e te konsidere m kon lènmi Li.
12 Majeshi yake huja juu pamoja; wao wananikosesha tumaini kwa kuniteka nyara kwa kundi kubwa kupigana na mimi wakizunguka hema yangu.
Lame Li a vin rasanble pou bati chemen pa yo kont mwen. Yo fè kan kap antoure tant mwen an.
13 Yeye amewaweka ndugu zangu mbali kutoka kwangu mimi; watu wangu wa karibu wote wamejitenga kutoka kwangu mimi.
“Li te retire frè m yo byen lwen mwen e sila mwen te konnen yo vin separe de mwen nèt.
14 Vizazi vyangu vimeniangusha mimi; rafiki zangu wa karibu wamenisahamu mimi.
Fanmi mwen yo vin fè fayit e pi pwòch zami m yo te bliye m.
15 Wale ambao mwanzoni walikaa kama wageni ndani ya nyumba yangu na watumishi wangu wa kike, hunihesabu mimi kama mgeni. Mimi nimekuwa mgeni katika macho yao.
Sila ki rete lakay mwen yo ak sèvant mwen yo konsidere m kon yon etranje. Mwen se yon etranje menm nan zye yo.
16 Mimi ninamwita mtumishi wangu, lakini yeye hanipi jibu japokuwa Mimi nimemsihi yeye kwa midomo yangu.
Mwen rele sèvitè mwen an, men li pa reponn; mwen oblije sipliye l ak bouch mwen.
17 Pumzi yangu mimi ni chukizo kwa mke wangu; Hata mimi ninachukiwa na wale ambao walizaliwa kutoka katika tumbo la mama yangu mimi.
Menm souf mwen fè bay ofans a madanm mwen, e mwen vin abominab a pwòp frè m.
18 Hata watoto wachanga wananichukia mimi; ikiwa Mimi nitainuka kuzungumza, wao huzungumza dhidi yangu mimi.
Timoun yo meprize mwen. Mwen leve e yo pale kont mwen.
19 Rafiki zangu wote ninaowazoea wananichukia sana mimi; wale ambao Mimi ninawapenda wamegeuka kinyume na mimi.
Tout asosye m yo etone ak krent devan m. Sila ke m byen renmen yo te vire kont mwen.
20 Mifupa yangu inashikamana kwenye ngozi yangu na kwenye mwili wangu; Mimi ninaishi tu kwa ngozi ya meno yangu.
Zo m yo kole sou po m ak chè m; se sèl pa po dan m ke m chape lanmò.
21 Iweni na huruma juu yangu mimi, muwe na huruma juu yangu mimi, rafiki zangu, kwa maana mkono wa Mungu umenigusa mimi.
“Gen pitye pou mwen, gen pitye, O nou menm ki zanmi mwen yo, paske men Bondye vin frape mwen.
22 Kwa nini mnanitesa mimi kama ninyi mlikuwa Mungu? kwa nini hamjatosheka bado kwa kula mwili wangu?
Poukisa n ap pèsekite mwen menm tankou Bondye e pa satisfè ak chè mwen.
23 Laiti, hayo maneno yangu yangekuwa yameandikwa chini! Laiti, hayo yangekuwa yameandikwa katika kitabu!
O ke pawòl mwen yo te ekri! O ke yo te enskri nan yon liv!
24 Laiti, kwa kalamu ya chuma na risasi hayo yangekuwa yamechorwa katika mwamba siku zote!
Ke avèk pwent plim ak plon, yo te grave sou wòch la jis pou tout tan!
25 Lakini kama ilivyo kwangu mimi, Mimi ninafahamu kwamba mkombozi wangu anaishi, na kwamba hata mwisho atasimama katika nchi;
Men pou mwen, mwen konnen ke Redanmtè mwen an vivan. Epi apre tout sa a, li va vin kanpe sou latè.
26 baada ya ngozi yangu, hivyo ndivyo, mwili huu, unaharibiwa, ndipo katika mwili wangu mimi Nitamwona Mungu.
Menm lè po m fin detwi, malgre chè m fin sòti, mwen va wè Bondye nan chè a;
27 Mimi nitamwona yeye kwa macho yangu mwenyewe-Mimi, na siyo mtu mwingine. Moyo wangu hushindwa ndani yangu mimi.
ke mwen, mwen menm va wè, ke zye m va wè, e se pa kon yon etranje. “Kè m vin fèb anndan m.
28 Kama mnatasema, 'Kwa jinsi gani tutamtesa yeye? Mzizi wa mahangaiko yake unakaa katika yeye;
Si nou di: ‘Men kijan nou va pèsekite li!’ pwiska rasin ka sa a se nan mwen,’
29 ndipo uwe umeogopeshwa kwa ule upanga, kwa sababu ghadhabu huleta hukumu ya upanga, hivyo kwamba wewe uweze kutambua kuna hukumu.”
fè lakrent nepe a pou kont nou, paske lakòlè Bondye mennen pinisyon nepe a. Fòk nou kab konnen, gen jijman.”