< Ayubu 19 >

1 Ndipo Ayubu akajibu na kusema,
Then Job answered and said,
2 lini mtanifanya mimi kuteseka na kunivunja vunja mimi vipande vipnde kwa maneno?
“How long will you make me suffer and break me into pieces with words?
3 Mara kumi hivi mmenishutumu mimi; ninyi hamuoni aibu kwamba mmenitendea mimi kwa ukatili.
These ten times you have reproached me; you are not ashamed that you have treated me harshly.
4 Kama ni dhahiri kweli mimi nimekosa, makosa yangu hubaki kuwa wajibu wangu.
If it is indeed true that I have erred, my error remains my own concern.
5 Kama ni dhahiri ninyi mtajiinua juu yangu mimi na kuutumia uvumilivu wangu kunipinga mimi,
If indeed you will exalt yourselves above me and use my humiliation against me,
6 kisha ninyi mnapaswa kutambua kwamba Mungu amefanya mabaya kwangu mimi na amenikamata mimi katika mtego wake yeye.
then you should know that God has done wrong to me and has caught me in his net.
7 Tazama, Mimi ninalia kwa sauti, “dhuluma!” lakini sipati jibu. Mimi ninaita kwa ajili ya msaada, lakini hakuna haki.
See, I cry out, “Violence!” but I get no answer. I call out for help, but there is no justice.
8 Yeye ameiwekea ukuta njia yangu, ili kwamba mimi nisiweze kupita, na yeye ameweka giza katika njia yangu.
He has walled up my way so that I cannot pass, and he has set darkness in my path.
9 Yeye ameniondoa Mimi kutoka katika utukufu wangu, na ameichukua taji kutoka kwenye kichwa changu mimi.
He has stripped me of my glory, and he has taken the crown from my head.
10 Yeye amenivunjavunja mimi chini kwa kila upande, na Mimi nimetoweka; yeye amelikokota juu tumaini langu kama mti.
He has broken me down on every side, and I am gone; he has pulled up my hope like a tree.
11 Yeye pia ameiongeza ghadhabu yake dhidi yangu mimi; yeye ananihesabu mimi kama mmoja wa adui zake.
He has also kindled his wrath against me; he regards me as one of his adversaries.
12 Majeshi yake huja juu pamoja; wao wananikosesha tumaini kwa kuniteka nyara kwa kundi kubwa kupigana na mimi wakizunguka hema yangu.
His troops come on together; they cast up siege mounds against me and encamp around my tent.
13 Yeye amewaweka ndugu zangu mbali kutoka kwangu mimi; watu wangu wa karibu wote wamejitenga kutoka kwangu mimi.
He has put my brothers far from me; my acquaintances are wholly alienated from me.
14 Vizazi vyangu vimeniangusha mimi; rafiki zangu wa karibu wamenisahamu mimi.
My kinsfolk have failed me; my close friends have forgotten me.
15 Wale ambao mwanzoni walikaa kama wageni ndani ya nyumba yangu na watumishi wangu wa kike, hunihesabu mimi kama mgeni. Mimi nimekuwa mgeni katika macho yao.
Those who once stayed as guests in my house and my female servants regard me as a stranger; I am an alien in their sight.
16 Mimi ninamwita mtumishi wangu, lakini yeye hanipi jibu japokuwa Mimi nimemsihi yeye kwa midomo yangu.
I call to my servant, but he gives me no answer although I entreat him with my mouth.
17 Pumzi yangu mimi ni chukizo kwa mke wangu; Hata mimi ninachukiwa na wale ambao walizaliwa kutoka katika tumbo la mama yangu mimi.
My breath is offensive to my wife; I am even disgusting to those who were born from my mother's womb.
18 Hata watoto wachanga wananichukia mimi; ikiwa Mimi nitainuka kuzungumza, wao huzungumza dhidi yangu mimi.
Even young children despise me; if I rise to speak, they speak against me.
19 Rafiki zangu wote ninaowazoea wananichukia sana mimi; wale ambao Mimi ninawapenda wamegeuka kinyume na mimi.
All my familiar friends abhor me; those whom I love have turned against me.
20 Mifupa yangu inashikamana kwenye ngozi yangu na kwenye mwili wangu; Mimi ninaishi tu kwa ngozi ya meno yangu.
My bones cling to my skin and to my flesh; I survive only by the skin of my teeth.
21 Iweni na huruma juu yangu mimi, muwe na huruma juu yangu mimi, rafiki zangu, kwa maana mkono wa Mungu umenigusa mimi.
Have pity upon me, have pity upon me, my friends, for the hand of God has touched me.
22 Kwa nini mnanitesa mimi kama ninyi mlikuwa Mungu? kwa nini hamjatosheka bado kwa kula mwili wangu?
Why do you pursue me like God does? Will you ever be satisfied with my flesh?
23 Laiti, hayo maneno yangu yangekuwa yameandikwa chini! Laiti, hayo yangekuwa yameandikwa katika kitabu!
Oh, that my words were now written down! Oh, that they were inscribed in a book!
24 Laiti, kwa kalamu ya chuma na risasi hayo yangekuwa yamechorwa katika mwamba siku zote!
Oh, that with an iron pen and lead they were engraved in the rock forever!
25 Lakini kama ilivyo kwangu mimi, Mimi ninafahamu kwamba mkombozi wangu anaishi, na kwamba hata mwisho atasimama katika nchi;
But as for me, I know that my Redeemer lives, and that at last he will stand on the earth;
26 baada ya ngozi yangu, hivyo ndivyo, mwili huu, unaharibiwa, ndipo katika mwili wangu mimi Nitamwona Mungu.
after my skin, that is, this body, is destroyed, then in my flesh I will see God.
27 Mimi nitamwona yeye kwa macho yangu mwenyewe-Mimi, na siyo mtu mwingine. Moyo wangu hushindwa ndani yangu mimi.
I will see him with my own eyes—I, and not someone else. My heart fails within me.
28 Kama mnatasema, 'Kwa jinsi gani tutamtesa yeye? Mzizi wa mahangaiko yake unakaa katika yeye;
If you say, 'How we will persecute him! The root of his troubles lies in him,'
29 ndipo uwe umeogopeshwa kwa ule upanga, kwa sababu ghadhabu huleta hukumu ya upanga, hivyo kwamba wewe uweze kutambua kuna hukumu.”
then be afraid of the sword, because wrath brings the punishment of the sword, so that you may know there is a judgment.”

< Ayubu 19 >