< Ayubu 19 >
1 Ndipo Ayubu akajibu na kusema,
約伯回答說:
2 lini mtanifanya mimi kuteseka na kunivunja vunja mimi vipande vipnde kwa maneno?
你們叫我的心悲傷,說話苦惱我,要到何時﹖
3 Mara kumi hivi mmenishutumu mimi; ninyi hamuoni aibu kwamba mmenitendea mimi kwa ukatili.
你們侮辱我,已有十次之多,苛待我卻不知羞愧。
4 Kama ni dhahiri kweli mimi nimekosa, makosa yangu hubaki kuwa wajibu wangu.
我若實在錯了,錯自由我承當。
5 Kama ni dhahiri ninyi mtajiinua juu yangu mimi na kuutumia uvumilivu wangu kunipinga mimi,
如果你們真要對我自誇,證明我的醜惡,
6 kisha ninyi mnapaswa kutambua kwamba Mungu amefanya mabaya kwangu mimi na amenikamata mimi katika mtego wake yeye.
你們應當知道:是天主虐待了我,是他用自己的羅網圍困了我。
7 Tazama, Mimi ninalia kwa sauti, “dhuluma!” lakini sipati jibu. Mimi ninaita kwa ajili ya msaada, lakini hakuna haki.
我若高呼說:「殘暴,」但得不到答覆;我大聲呼冤,卻沒有正義。
8 Yeye ameiwekea ukuta njia yangu, ili kwamba mimi nisiweze kupita, na yeye ameweka giza katika njia yangu.
他攔住我的去路,使我不得過去,使黑暗籠罩著我的去路。
9 Yeye ameniondoa Mimi kutoka katika utukufu wangu, na ameichukua taji kutoka kwenye kichwa changu mimi.
他奪去了我的光榮,摘下了我頭上的冠冕;
10 Yeye amenivunjavunja mimi chini kwa kila upande, na Mimi nimetoweka; yeye amelikokota juu tumaini langu kama mti.
他四面打擊我,使我逝去;拔除我的希望,猶如拔樹。
11 Yeye pia ameiongeza ghadhabu yake dhidi yangu mimi; yeye ananihesabu mimi kama mmoja wa adui zake.
他對我怒火如焚,拿我當作他的仇敵。
12 Majeshi yake huja juu pamoja; wao wananikosesha tumaini kwa kuniteka nyara kwa kundi kubwa kupigana na mimi wakizunguka hema yangu.
他的軍隊一齊開來,修好道路攻擊我,圍著我的帳幕紮營。
13 Yeye amewaweka ndugu zangu mbali kutoka kwangu mimi; watu wangu wa karibu wote wamejitenga kutoka kwangu mimi.
他使我的弟兄離棄我,使我的知己疏遠我。
14 Vizazi vyangu vimeniangusha mimi; rafiki zangu wa karibu wamenisahamu mimi.
鄰人和相識者都不見了,寄居我家的人都忘了我。
15 Wale ambao mwanzoni walikaa kama wageni ndani ya nyumba yangu na watumishi wangu wa kike, hunihesabu mimi kama mgeni. Mimi nimekuwa mgeni katika macho yao.
我的婢女拿我當作外人,視我如一陌生人。
16 Mimi ninamwita mtumishi wangu, lakini yeye hanipi jibu japokuwa Mimi nimemsihi yeye kwa midomo yangu.
我呼喚僕人,他不回答;我必須親口央求他。
17 Pumzi yangu mimi ni chukizo kwa mke wangu; Hata mimi ninachukiwa na wale ambao walizaliwa kutoka katika tumbo la mama yangu mimi.
我的氣味使妻子憎厭,我的同胞視我作臭物。
18 Hata watoto wachanga wananichukia mimi; ikiwa Mimi nitainuka kuzungumza, wao huzungumza dhidi yangu mimi.
連孩子們也輕慢我,我一起來,他們就凌辱我。
19 Rafiki zangu wote ninaowazoea wananichukia sana mimi; wale ambao Mimi ninawapenda wamegeuka kinyume na mimi.
我的知交密友都憎惡我,我所愛的人也對我變了臉。
20 Mifupa yangu inashikamana kwenye ngozi yangu na kwenye mwili wangu; Mimi ninaishi tu kwa ngozi ya meno yangu.
我的骨頭緊貼著皮,我很徼幸還保留牙床。
21 Iweni na huruma juu yangu mimi, muwe na huruma juu yangu mimi, rafiki zangu, kwa maana mkono wa Mungu umenigusa mimi.
我的朋友,你們可憐可憐我罷! 因為天主的手打傷了我。
22 Kwa nini mnanitesa mimi kama ninyi mlikuwa Mungu? kwa nini hamjatosheka bado kwa kula mwili wangu?
你們為何如同天主一樣逼迫我,吃了我的肉還不知足呢﹖
23 Laiti, hayo maneno yangu yangekuwa yameandikwa chini! Laiti, hayo yangekuwa yameandikwa katika kitabu!
惟願我的話都記錄下來,都刻在銅板上;
24 Laiti, kwa kalamu ya chuma na risasi hayo yangekuwa yamechorwa katika mwamba siku zote!
用鐵鑿刻在鉛版上,永遠鑿在磐石上。
25 Lakini kama ilivyo kwangu mimi, Mimi ninafahamu kwamba mkombozi wangu anaishi, na kwamba hata mwisho atasimama katika nchi;
我確實知道為我伸冤者還活著,我的辯護人要在地上起立。
26 baada ya ngozi yangu, hivyo ndivyo, mwili huu, unaharibiwa, ndipo katika mwili wangu mimi Nitamwona Mungu.
我的皮膚雖由我身上脫落,但我仍要看見天主;
27 Mimi nitamwona yeye kwa macho yangu mwenyewe-Mimi, na siyo mtu mwingine. Moyo wangu hushindwa ndani yangu mimi.
要看見他站在我這一方,我親眼要看見他,並非外人;我的五內因熱望而耗盡。
28 Kama mnatasema, 'Kwa jinsi gani tutamtesa yeye? Mzizi wa mahangaiko yake unakaa katika yeye;
如果你們說:「我們怎能難為他﹖怎能在他身上尋到這事的根由﹖」
29 ndipo uwe umeogopeshwa kwa ule upanga, kwa sababu ghadhabu huleta hukumu ya upanga, hivyo kwamba wewe uweze kutambua kuna hukumu.”
你們應當害怕刀劍,因為報復罪惡者是刀劍;如此你們知道終有一個審判者。