< Ayubu 19 >

1 Ndipo Ayubu akajibu na kusema,
Hiti hin Job in asei kit e:
2 lini mtanifanya mimi kuteseka na kunivunja vunja mimi vipande vipnde kwa maneno?
Itih chan nei suhgenthei nahlai dingu ham? Itih chan nathu sei uva chu suhchip ding neigot nahlai diu ham?
3 Mara kumi hivi mmenishutumu mimi; ninyi hamuoni aibu kwamba mmenitendea mimi kwa ukatili.
Nanghon somvei jen neijumsou ahitai, aphalouva neibol u hi najachat pi louvu ham?
4 Kama ni dhahiri kweli mimi nimekosa, makosa yangu hubaki kuwa wajibu wangu.
Keiman chonsetna nei jeng jong leng hichu keija bou ahin nangho a ahipoi.
5 Kama ni dhahiri ninyi mtajiinua juu yangu mimi na kuutumia uvumilivu wangu kunipinga mimi,
Kei sanga phajo a nakigel u ham? Nei suh jachat nau hi kachonset hettohsahna a man ding natiu ham?
6 kisha ninyi mnapaswa kutambua kwamba Mungu amefanya mabaya kwangu mimi na amenikamata mimi katika mtego wake yeye.
Themmo eichanna chu Pathen ahin, alenna eimat ahi.
7 Tazama, Mimi ninalia kwa sauti, “dhuluma!” lakini sipati jibu. Mimi ninaita kwa ajili ya msaada, lakini hakuna haki.
Nei kithopiuvin tia kapen jah vang'in koima chan ei donbut poi, kanel kal in ahinlah thudih'a thu kitanna aum deh poi.
8 Yeye ameiwekea ukuta njia yangu, ili kwamba mimi nisiweze kupita, na yeye ameweka giza katika njia yangu.
Pathen in kalampi akhotan jeh in kachat thei poi, kalampi muthim lah a eilhun lut peh e.
9 Yeye ameniondoa Mimi kutoka katika utukufu wangu, na ameichukua taji kutoka kwenye kichwa changu mimi.
Aman kaloupina eilah mang peh in chule kalu chunga konin kalal lukhuuh eilahdoh peh tai.
10 Yeye amenivunjavunja mimi chini kwa kila upande, na Mimi nimetoweka; yeye amelikokota juu tumaini langu kama mti.
Aman kasih lang jousea eikai lhun chuleh abeipai kahitai. Thingphung lhusa bangin kahinna jung jouse eibodoh peh tai.
11 Yeye pia ameiongeza ghadhabu yake dhidi yangu mimi; yeye ananihesabu mimi kama mmoja wa adui zake.
Alunghanna chu kachunga ahung deujah jengin amelma khat bangin eisem e.
12 Majeshi yake huja juu pamoja; wao wananikosesha tumaini kwa kuniteka nyara kwa kundi kubwa kupigana na mimi wakizunguka hema yangu.
Asepai honpi amasan amahon kei bulu nading lampi asem uvin kaponbuh kimvella ngahmun asauve.
13 Yeye amewaweka ndugu zangu mbali kutoka kwangu mimi; watu wangu wa karibu wote wamejitenga kutoka kwangu mimi.
Kasopi jouse kakomma konin gamla tah a aum uvin chule kaloi kagol te jong kei doudin akihei gam tauve.
14 Vizazi vyangu vimeniangusha mimi; rafiki zangu wa karibu wamenisahamu mimi.
Ka inkote akichai soh tai, chule kakinai pi kagol ten jong eisumil tauve.
15 Wale ambao mwanzoni walikaa kama wageni ndani ya nyumba yangu na watumishi wangu wa kike, hunihesabu mimi kama mgeni. Mimi nimekuwa mgeni katika macho yao.
Kasohte le kasoh numei ten hetkhah lou mi danin eigel tauvin, keihi amaho dinga gamchom mi toh kabang tai.
16 Mimi ninamwita mtumishi wangu, lakini yeye hanipi jibu japokuwa Mimi nimemsihi yeye kwa midomo yangu.
Kasohpa kakou chun ama ahung tapoi, amapa koma katao ding angaije.
17 Pumzi yangu mimi ni chukizo kwa mke wangu; Hata mimi ninachukiwa na wale ambao walizaliwa kutoka katika tumbo la mama yangu mimi.
Kahai jong kajinu dinga theida um ahin, keihi kain koten eile mang u ahitai.
18 Hata watoto wachanga wananichukia mimi; ikiwa Mimi nitainuka kuzungumza, wao huzungumza dhidi yangu mimi.
Chapang neucha cha ho jengin jong ija se louvin eibol uvin, thusei dinga kadin doh chun amahon anunglam eingat uve.
19 Rafiki zangu wote ninaowazoea wananichukia sana mimi; wale ambao Mimi ninawapenda wamegeuka kinyume na mimi.
Kakinaipi kagolten eikidah uvin kangai tah tah hon jong eidou tauve.
20 Mifupa yangu inashikamana kwenye ngozi yangu na kwenye mwili wangu; Mimi ninaishi tu kwa ngozi ya meno yangu.
Kavun leh kagu kachang bouseh a eikikoi ahitan, chule kanevun teni khu apang kaven maimai jeh a thina a kona jamdoh kahi.
21 Iweni na huruma juu yangu mimi, muwe na huruma juu yangu mimi, rafiki zangu, kwa maana mkono wa Mungu umenigusa mimi.
Nei khotouvin, kagol kapai ho, nei khotuvin, ijeh inem itile Pathen khut in eitham khah ahi.
22 Kwa nini mnanitesa mimi kama ninyi mlikuwa Mungu? kwa nini hamjatosheka bado kwa kula mwili wangu?
Pathen in eibolna banga nangin jong nei bolgim ding ham? Nei lhaingem lou jeh a hi chimlou nahim?
23 Laiti, hayo maneno yangu yangekuwa yameandikwa chini! Laiti, hayo yangekuwa yameandikwa katika kitabu!
O kathusei hohi sahlut thei hihen, O hiche hohi hetjing nathei khat a kimin chon sah hile,
24 Laiti, kwa kalamu ya chuma na risasi hayo yangekuwa yamechorwa katika mwamba siku zote!
Thih paicha in kikhen doh hen lang chuleh ngen twi kisunkhum hen lang a itih a umjing ding songpi chunga kikhen doh hen.
25 Lakini kama ilivyo kwangu mimi, Mimi ninafahamu kwamba mkombozi wangu anaishi, na kwamba hata mwisho atasimama katika nchi;
Ahinlah keija dingin vang eilhandampu ahinge ti keiman kahei. Akhon naleh leiset chunga hung ding ding ahi.
26 baada ya ngozi yangu, hivyo ndivyo, mwili huu, unaharibiwa, ndipo katika mwili wangu mimi Nitamwona Mungu.
Chule katahsa akemsuh jou nung hihen, hijeng jongle katahsa tah a Pathen kamu ding ahi.
27 Mimi nitamwona yeye kwa macho yangu mwenyewe-Mimi, na siyo mtu mwingine. Moyo wangu hushindwa ndani yangu mimi.
Keima mong mongin ama chu kamu ding ahi.
28 Kama mnatasema, 'Kwa jinsi gani tutamtesa yeye? Mzizi wa mahangaiko yake unakaa katika yeye;
Keima gimbolna dinga ichan geija hangsan nahim? Hiche hi ama thepmo ahi natijiu ham?
29 ndipo uwe umeogopeshwa kwa ule upanga, kwa sababu ghadhabu huleta hukumu ya upanga, hivyo kwamba wewe uweze kutambua kuna hukumu.”
Nang chunga chu ding gimbolna chu naki chat ding ahi. Na chonna toh kitoh bep a gimbolna nachan kihet in.

< Ayubu 19 >