< Ayubu 18 >

1 Ndipo Bildadi Mshuhi alijibu na kusema, “
Shuxaliq Bildad jawaben mundaq dédi: —
2 Je, lini utaacha kusema kwako? Fikiri, na baadaye tutazungumza.
Sendek ademler qachan’ghiche mundaq sözlerni toxtatmaysiler? Siler obdan oylap béqinglar, andin biz söz qilimiz.
3 Kwa nini sisi tumehesabiwa kama wanyama mwitu; kwa nini tumekuwa wapumbavu machoni pako?
Biz némishqa silerning aldinglarda haywanlar hésablinimiz? Némishqa aldinglarda exmeq tonulimiz?
4 Wewe ambaye wajirarua mwenyewe katika hasira yako, nchi haipaswi kuachwa kwa ajili yako au miamba inapaswa kuondolewa kutoka mahali pake?
Hey özüngning ghezipide özüngni yirtquchi, séni depla yer-zémin tashliwétilemdu?! Tagh-tashlar öz ornidin kötürülüp kétemdu?!
5 Ni dhahiri, nuru ya watu waovu itawekwa nje; cheche ya moto wake haitanga'ra.
Qandaqla bolmisun, yaman ademning chirighi öchürülidu, Uning ot-uchqunliri yalqunlimaydu.
6 Nuru itakuwa giza katika hema yake; taa yake juu yake yeye itawekwa nje.
Chédiridiki nur qarangghuluqqa aylinidu, Uning üstige asqan chirighi öchürülidu.
7 Hatua za nguvu zake yeye zitafanywa kuwa fupi; mipango yake yeye mwenyewe itamwangusha yeye chini.
Uning mezmut qedemliri qisilidu, Özining nesihetliri özini mollaq atquzidu.
8 Kwa maana yeye atatupwa katika mtego kwa miguu yake mwenyewe; yeye atatembea katika mahangaiko.
Chünki öz putliri özini torgha ewetidu, U del torning üstige desseydighan bolidu.
9 Tanzi litamchukua yeye kwa kisigino; mtego utabaki kushikilia juu yake.
Qiltaq uni tapinidin iliwalidu, Tuzaq uni tutuwalidu.
10 Tanzi limefichwa kwa ajili yake chini ya ardhi; na mtego kwa ajili yake katika njia.
Yerde uni kütidighan yoshurun arghamcha bar, Yolida uni tutmaqchi bolghan bir qapqan bar.
11 Watishao watamfanya yeye aogope juu ya sehemu zote; wao watamkimbiza yeye kwenye visigino vyake.
Uni her tereptin wehimiler bésip qorqitiwatidu, Hem ular uni iz qoghlap qoghlawatidu.
12 Utajiri wake utageuka kuwa njaa, na majanga yatakuwa tayari upande wake.
Maghdurini acharchiliq yep tügetti; Palaket uning yénida paylap yüridu.
13 Sehemu za mwili wake zitakuwa zimemezwa; Hakika, mzaliwa wa kwanza wa kifo atazila sehemu zake yeye.
Ölümning chong balisi uning térisini yewatidu; Uning ezalirini shoraydu.
14 Yeye ameraruliwa kutoka kwenye usalama wa hema yake na hakuweza kutembea kwenda kwa mfalme mwenye utisho.
U öz chédiridiki amanliqtin yulup tashlinidu, [Ölümning tunjisi] uni «wehimilerning padishahi»ning aldigha yalap apiridu.
15 Watu ambao siyo wa kwake wataishi kwenye hema yake baada ya kuona ule moto mesambaa ndani ya nyumba yake yeye.
Öyidikiler emes, belki bashqilar uning chédirida turidu; Turalghusining üstige günggürt yaghdurulidu.
16 Mizizi yake itanyauka chini yake; juu tawi lake yeye litakatwa.
Uning yiltizi tégidin qurutulidu; Üstidiki shaxliri késilidu.
17 Kumbukumbu lake yeye litapotea kutoka katika nchi; yeye hatakuwa na jina katika mtaa.
Uning eslimisimu yer yüzidikilerning ésidin kötürülüp kétidu, Sirtlarda uning nam-abruyi qalmaydu.
18 Yeye atafukuzwa kutoka katika nuru mpaka kwenye giza na kuwa amefukuzwa nje na ulimwengu huu.
U yoruqluqtin qarangghuluqqa qoghliwétilgen bolup, Bu dunyadin heydiwétilidu.
19 Hatakuwa na mtoto wa kiume wala mjukuu miongonni mwa watu wake, wala kizazi chochote kitakachobakia mahali alipokuwa amekaa.
El-yurtta héchqandaq perzentliri yaki ewladliri qalmaydu, U musapir bolup turghan yerlerdimu nesli qalmaydu.
20 Wale wanaoishi upande wa magharibi watakuwa wametiwa hofu kwa kile kitakachotokea kwake siku moja; wale wanaoishi upande wa mashariki watakuwa wameogopeshwa kwa hicho.
Uningdin kéyinkiler uning künige qarap alaqzade bolidu, Xuddi aldinqilarmu chöchüp ketkendek.
21 Hakika hizo ni nyumba za watu wasio haki, ni sehemu ya wale wasiomjua Mungu.”
Mana, qebih ademning makanliri shübhisiz shundaq, Tengrini tonumaydighan kishiningmu orni choqum shundaqtur.

< Ayubu 18 >