< Ayubu 18 >

1 Ndipo Bildadi Mshuhi alijibu na kusema, “
Entonces Bildad el suhita respondió y dijo:
2 Je, lini utaacha kusema kwako? Fikiri, na baadaye tutazungumza.
¿Cuánto tiempo pasará antes de que hayas terminado de hablar? muestren entendimiento, y luego diremos lo que está en nuestras mentes.
3 Kwa nini sisi tumehesabiwa kama wanyama mwitu; kwa nini tumekuwa wapumbavu machoni pako?
¿Por qué parecemos bestias y estúpidos ante tus ojos?
4 Wewe ambaye wajirarua mwenyewe katika hasira yako, nchi haipaswi kuachwa kwa ajili yako au miamba inapaswa kuondolewa kutoka mahali pake?
Tu crees que en tu enojo, que te estás desgarrando con rabia, ¿la tierra será desierta por tu culpa, o se moverá una roca de su lugar?
5 Ni dhahiri, nuru ya watu waovu itawekwa nje; cheche ya moto wake haitanga'ra.
Porque la luz del pecador se apaga, y la llama de su fuego no brilla.
6 Nuru itakuwa giza katika hema yake; taa yake juu yake yeye itawekwa nje.
La luz está oscura en su casa, y la luz que brilla sobre él se apaga.
7 Hatua za nguvu zake yeye zitafanywa kuwa fupi; mipango yake yeye mwenyewe itamwangusha yeye chini.
Los pasos de su fuerza se vuelven cortos, y caerá en su propia trampa.
8 Kwa maana yeye atatupwa katika mtego kwa miguu yake mwenyewe; yeye atatembea katika mahangaiko.
Sus pies lo llevan a la red, y él va caminando por las cuerdas.
9 Tanzi litamchukua yeye kwa kisigino; mtego utabaki kushikilia juu yake.
Su pie es tomado en la red; él entra en su agarre.
10 Tanzi limefichwa kwa ajili yake chini ya ardhi; na mtego kwa ajili yake katika njia.
La cuerda se pone secretamente en la tierra para atraparlo, y la cuerda se coloca en su camino.
11 Watishao watamfanya yeye aogope juu ya sehemu zote; wao watamkimbiza yeye kwenye visigino vyake.
Lo superan los miedos por todos lados, lo persiguen a cada paso.
12 Utajiri wake utageuka kuwa njaa, na majanga yatakuwa tayari upande wake.
Su fuerza es debilitada por la necesidad de comida, y la destrucción está esperando su paso.
13 Sehemu za mwili wake zitakuwa zimemezwa; Hakika, mzaliwa wa kwanza wa kifo atazila sehemu zake yeye.
Su piel es desperdiciada por una enfermedad, le devora la carne poco a poco; él primogénito de la muerte.
14 Yeye ameraruliwa kutoka kwenye usalama wa hema yake na hakuweza kutembea kwenda kwa mfalme mwenye utisho.
Lo desarraigan de su tienda donde estaba a salvo, y se lo llevan al rey de los temores.
15 Watu ambao siyo wa kwake wataishi kwenye hema yake baada ya kuona ule moto mesambaa ndani ya nyumba yake yeye.
En su tienda se verá lo que no es suyo, azufre se deja caer sobre su casa.
16 Mizizi yake itanyauka chini yake; juu tawi lake yeye litakatwa.
Bajo la tierra, sus raíces están secas, y sobre ella se corta su rama.
17 Kumbukumbu lake yeye litapotea kutoka katika nchi; yeye hatakuwa na jina katika mtaa.
Su memoria se ha ido de la tierra, y en las calles no hay conocimiento de su nombre.
18 Yeye atafukuzwa kutoka katika nuru mpaka kwenye giza na kuwa amefukuzwa nje na ulimwengu huu.
Él es enviado de la luz a la oscuridad; Él es obligado a salir del mundo.
19 Hatakuwa na mtoto wa kiume wala mjukuu miongonni mwa watu wake, wala kizazi chochote kitakachobakia mahali alipokuwa amekaa.
No tiene descendencia ni familia entre su pueblo, y en su lugar de residencia no hay nadie de su nombre.
20 Wale wanaoishi upande wa magharibi watakuwa wametiwa hofu kwa kile kitakachotokea kwake siku moja; wale wanaoishi upande wa mashariki watakuwa wameogopeshwa kwa hicho.
A su destino, los del oeste se sorprenden, y los del este son vencidos por el miedo.
21 Hakika hizo ni nyumba za watu wasio haki, ni sehemu ya wale wasiomjua Mungu.”
En verdad, estas son las casas del pecador, y este es el lugar de aquel que no tiene conocimiento de Dios.

< Ayubu 18 >