< Ayubu 18 >

1 Ndipo Bildadi Mshuhi alijibu na kusema, “
Ipapo Bhiridhadhi muShuhi akapindura akati:
2 Je, lini utaacha kusema kwako? Fikiri, na baadaye tutazungumza.
“Muchapedza kutaura uku riiniko? Chimbonyatsofungai, ipapo tigotaurirana hedu.
3 Kwa nini sisi tumehesabiwa kama wanyama mwitu; kwa nini tumekuwa wapumbavu machoni pako?
Tinobatirweiko semombe uye tichionekwa samapenzi pamberi penyu?
4 Wewe ambaye wajirarua mwenyewe katika hasira yako, nchi haipaswi kuachwa kwa ajili yako au miamba inapaswa kuondolewa kutoka mahali pake?
Iyewe unozvibvamburanya mukutsamwa kwako, nyika ingasiyiwa nokuda kwako here? Kana matombo angafanira kubviswa panzvimbo yawo here?
5 Ni dhahiri, nuru ya watu waovu itawekwa nje; cheche ya moto wake haitanga'ra.
“Mwenje weakaipa unodzimwa; murazvo womoto wake unopera kupisa.
6 Nuru itakuwa giza katika hema yake; taa yake juu yake yeye itawekwa nje.
Chiedza chiri mutende rake chinova rima; mwenje uri parutivi pake unodzima.
7 Hatua za nguvu zake yeye zitafanywa kuwa fupi; mipango yake yeye mwenyewe itamwangusha yeye chini.
Simba renhambwe dzake rinorukutika; mano ake pachake anomuwisira pasi.
8 Kwa maana yeye atatupwa katika mtego kwa miguu yake mwenyewe; yeye atatembea katika mahangaiko.
Tsoka dzake dzinomuwisira mumumbure, uye anodzungaira ari mumaburi awo.
9 Tanzi litamchukua yeye kwa kisigino; mtego utabaki kushikilia juu yake.
Musungo unomubata chitsitsinho; rugombe runomubatisisa.
10 Tanzi limefichwa kwa ajili yake chini ya ardhi; na mtego kwa ajili yake katika njia.
Chishwe chakavanzwa muvhu nokuda kwake; musungo wakaradzikwa munzira yake.
11 Watishao watamfanya yeye aogope juu ya sehemu zote; wao watamkimbiza yeye kwenye visigino vyake.
Kutyisa kunomuvhundutsa kumativi ose, uye kunomuteverera panhambwe dzake dzose.
12 Utajiri wake utageuka kuwa njaa, na majanga yatakuwa tayari upande wake.
Pfumvu inomudokwairira; njodzi yakamugaririra paanowa.
13 Sehemu za mwili wake zitakuwa zimemezwa; Hakika, mzaliwa wa kwanza wa kifo atazila sehemu zake yeye.
Inodya zvikamu zveganda rake; dangwe rorufu rinopedza mitezo yake.
14 Yeye ameraruliwa kutoka kwenye usalama wa hema yake na hakuweza kutembea kwenda kwa mfalme mwenye utisho.
Anodzurwa kubva patende raanovimba naro agoendeswa kuna mambo anotyisa kwazvo.
15 Watu ambao siyo wa kwake wataishi kwenye hema yake baada ya kuona ule moto mesambaa ndani ya nyumba yake yeye.
Moto unogara mutende rake; safuri inopisa inoparadzirwa pamusoro pougaro hwake.
16 Mizizi yake itanyauka chini yake; juu tawi lake yeye litakatwa.
Moto unogara mutende rake; uye matavi ake anosvava kumusoro.
17 Kumbukumbu lake yeye litapotea kutoka katika nchi; yeye hatakuwa na jina katika mtaa.
Kurangarirwa kwake kunopera panyika; haana zita munyika.
18 Yeye atafukuzwa kutoka katika nuru mpaka kwenye giza na kuwa amefukuzwa nje na ulimwengu huu.
Anobviswa pachiedza achiendeswa murima, uye anodzingwa panyika.
19 Hatakuwa na mtoto wa kiume wala mjukuu miongonni mwa watu wake, wala kizazi chochote kitakachobakia mahali alipokuwa amekaa.
Haana mwana kana chizvarwa chinotevera pakati pavanhu vokwake, hakuna akasara kwaaimbogara.
20 Wale wanaoishi upande wa magharibi watakuwa wametiwa hofu kwa kile kitakachotokea kwake siku moja; wale wanaoishi upande wa mashariki watakuwa wameogopeshwa kwa hicho.
Varume vokumavirira vakakatyamara namagumo ake; varume vokumabvazuva vakabatwa nokutya kukuru.
21 Hakika hizo ni nyumba za watu wasio haki, ni sehemu ya wale wasiomjua Mungu.”
Zvirokwazvo, ndizvo zvakaita ugaro hwomurume akaipa; iyoyi ndiyo nzvimbo yomunhu asingazivi Mwari.”

< Ayubu 18 >