< Ayubu 18 >

1 Ndipo Bildadi Mshuhi alijibu na kusema, “
И отвечал Вилдад Савхеянин и сказал:
2 Je, lini utaacha kusema kwako? Fikiri, na baadaye tutazungumza.
когда же положите вы конец таким речам? обдумайте, и потом будем говорить.
3 Kwa nini sisi tumehesabiwa kama wanyama mwitu; kwa nini tumekuwa wapumbavu machoni pako?
Зачем считаться нам за животных и быть униженными в собственных глазах ваших?
4 Wewe ambaye wajirarua mwenyewe katika hasira yako, nchi haipaswi kuachwa kwa ajili yako au miamba inapaswa kuondolewa kutoka mahali pake?
О ты, раздирающий душу твою в гневе твоем! Неужели для тебя опустеть земле, и скале сдвинуться с места своего?
5 Ni dhahiri, nuru ya watu waovu itawekwa nje; cheche ya moto wake haitanga'ra.
Да, свет у беззаконного потухнет, и не останется искры от огня его.
6 Nuru itakuwa giza katika hema yake; taa yake juu yake yeye itawekwa nje.
Померкнет свет в шатре его, и светильник его угаснет над ним.
7 Hatua za nguvu zake yeye zitafanywa kuwa fupi; mipango yake yeye mwenyewe itamwangusha yeye chini.
Сократятся шаги могущества его, и низложит его собственный замысел его,
8 Kwa maana yeye atatupwa katika mtego kwa miguu yake mwenyewe; yeye atatembea katika mahangaiko.
ибо он попадет в сеть своими ногами и по тенетам ходить будет.
9 Tanzi litamchukua yeye kwa kisigino; mtego utabaki kushikilia juu yake.
Петля зацепит за ногу его, и грабитель уловит его.
10 Tanzi limefichwa kwa ajili yake chini ya ardhi; na mtego kwa ajili yake katika njia.
Скрытно разложены по земле силки для него и западни на дороге.
11 Watishao watamfanya yeye aogope juu ya sehemu zote; wao watamkimbiza yeye kwenye visigino vyake.
Со всех сторон будут страшить его ужасы и заставят его бросаться туда и сюда.
12 Utajiri wake utageuka kuwa njaa, na majanga yatakuwa tayari upande wake.
Истощится от голода сила его, и гибель готова, сбоку у него.
13 Sehemu za mwili wake zitakuwa zimemezwa; Hakika, mzaliwa wa kwanza wa kifo atazila sehemu zake yeye.
Съест члены тела его, съест члены его первенец смерти.
14 Yeye ameraruliwa kutoka kwenye usalama wa hema yake na hakuweza kutembea kwenda kwa mfalme mwenye utisho.
Изгнана будет из шатра его надежда его, и это низведет его к царю ужасов.
15 Watu ambao siyo wa kwake wataishi kwenye hema yake baada ya kuona ule moto mesambaa ndani ya nyumba yake yeye.
Поселятся в шатре его, потому что он уже не его; жилище его посыпано будет серою.
16 Mizizi yake itanyauka chini yake; juu tawi lake yeye litakatwa.
Снизу подсохнут корни его, и сверху увянут ветви его.
17 Kumbukumbu lake yeye litapotea kutoka katika nchi; yeye hatakuwa na jina katika mtaa.
Память о нем исчезнет с земли, и имени его не будет на площади.
18 Yeye atafukuzwa kutoka katika nuru mpaka kwenye giza na kuwa amefukuzwa nje na ulimwengu huu.
Изгонят его из света во тьму и сотрут его с лица земли.
19 Hatakuwa na mtoto wa kiume wala mjukuu miongonni mwa watu wake, wala kizazi chochote kitakachobakia mahali alipokuwa amekaa.
Ни сына его, ни внука не будет в народе его, и никого не останется в жилищах его.
20 Wale wanaoishi upande wa magharibi watakuwa wametiwa hofu kwa kile kitakachotokea kwake siku moja; wale wanaoishi upande wa mashariki watakuwa wameogopeshwa kwa hicho.
О дне его ужаснутся потомки, и современники будут объяты трепетом.
21 Hakika hizo ni nyumba za watu wasio haki, ni sehemu ya wale wasiomjua Mungu.”
Таковы жилища беззаконного, и таково место того, кто не знает Бога.

< Ayubu 18 >