< Ayubu 18 >

1 Ndipo Bildadi Mshuhi alijibu na kusema, “
Bildad il Suchita prese a dire:
2 Je, lini utaacha kusema kwako? Fikiri, na baadaye tutazungumza.
Quando porrai fine alle tue chiacchiere? Rifletti bene e poi parleremo.
3 Kwa nini sisi tumehesabiwa kama wanyama mwitu; kwa nini tumekuwa wapumbavu machoni pako?
Perché considerarci come bestie, ci fai passare per bruti ai tuoi occhi?
4 Wewe ambaye wajirarua mwenyewe katika hasira yako, nchi haipaswi kuachwa kwa ajili yako au miamba inapaswa kuondolewa kutoka mahali pake?
Tu che ti rodi l'anima nel tuo furore, forse per causa tua sarà abbandonata la terra e le rupi si staccheranno dal loro posto?
5 Ni dhahiri, nuru ya watu waovu itawekwa nje; cheche ya moto wake haitanga'ra.
Certamente la luce del malvagio si spegnerà e più non brillerà la fiamma del suo focolare.
6 Nuru itakuwa giza katika hema yake; taa yake juu yake yeye itawekwa nje.
La luce si offuscherà nella sua tenda e la lucerna si estinguerà sopra di lui.
7 Hatua za nguvu zake yeye zitafanywa kuwa fupi; mipango yake yeye mwenyewe itamwangusha yeye chini.
Il suo energico passo s'accorcerà e i suoi progetti lo faran precipitare,
8 Kwa maana yeye atatupwa katika mtego kwa miguu yake mwenyewe; yeye atatembea katika mahangaiko.
poiché incapperà in una rete con i suoi piedi e sopra un tranello camminerà.
9 Tanzi litamchukua yeye kwa kisigino; mtego utabaki kushikilia juu yake.
Un laccio l'afferrerà per il calcagno, un nodo scorsoio lo stringerà.
10 Tanzi limefichwa kwa ajili yake chini ya ardhi; na mtego kwa ajili yake katika njia.
Gli è nascosta per terra una fune e gli è tesa una trappola sul sentiero.
11 Watishao watamfanya yeye aogope juu ya sehemu zote; wao watamkimbiza yeye kwenye visigino vyake.
Lo spaventano da tutte le parti terrori e lo inseguono alle calcagna.
12 Utajiri wake utageuka kuwa njaa, na majanga yatakuwa tayari upande wake.
Diventerà carestia la sua opulenza e la rovina è lì in piedi al suo fianco.
13 Sehemu za mwili wake zitakuwa zimemezwa; Hakika, mzaliwa wa kwanza wa kifo atazila sehemu zake yeye.
Un malanno divorerà la sua pelle, roderà le sue membra il primogenito della morte.
14 Yeye ameraruliwa kutoka kwenye usalama wa hema yake na hakuweza kutembea kwenda kwa mfalme mwenye utisho.
Sarà tolto dalla tenda in cui fidava, per essere trascinato al re dei terrori!
15 Watu ambao siyo wa kwake wataishi kwenye hema yake baada ya kuona ule moto mesambaa ndani ya nyumba yake yeye.
Potresti abitare nella tenda che non è più sua; sulla sua dimora si spargerà zolfo.
16 Mizizi yake itanyauka chini yake; juu tawi lake yeye litakatwa.
Al di sotto, le sue radici si seccheranno, sopra, saranno tagliati i suoi rami.
17 Kumbukumbu lake yeye litapotea kutoka katika nchi; yeye hatakuwa na jina katika mtaa.
Il suo ricordo sparirà dalla terra e il suo nome più non si udrà per la contrada.
18 Yeye atafukuzwa kutoka katika nuru mpaka kwenye giza na kuwa amefukuzwa nje na ulimwengu huu.
Lo getteranno dalla luce nel buio e dal mondo lo stermineranno.
19 Hatakuwa na mtoto wa kiume wala mjukuu miongonni mwa watu wake, wala kizazi chochote kitakachobakia mahali alipokuwa amekaa.
Non famiglia, non discendenza avrà nel suo popolo, non superstiti nei luoghi della sua dimora.
20 Wale wanaoishi upande wa magharibi watakuwa wametiwa hofu kwa kile kitakachotokea kwake siku moja; wale wanaoishi upande wa mashariki watakuwa wameogopeshwa kwa hicho.
Della sua fine stupirà l'occidente e l'oriente ne prenderà orrore.
21 Hakika hizo ni nyumba za watu wasio haki, ni sehemu ya wale wasiomjua Mungu.”
Ecco qual è la sorte dell'iniquo: questa è la dimora di chi misconosce Dio.

< Ayubu 18 >