< Ayubu 18 >

1 Ndipo Bildadi Mshuhi alijibu na kusema, “
Felele pedig a sukhi Bildád, és monda:
2 Je, lini utaacha kusema kwako? Fikiri, na baadaye tutazungumza.
Mikor akartok a beszédnek véget vetni? Értsétek meg a dolgot, azután szóljunk.
3 Kwa nini sisi tumehesabiwa kama wanyama mwitu; kwa nini tumekuwa wapumbavu machoni pako?
Miért állíttatunk barmoknak, és miért vagyunk tisztátalanok a ti szemeitekben?
4 Wewe ambaye wajirarua mwenyewe katika hasira yako, nchi haipaswi kuachwa kwa ajili yako au miamba inapaswa kuondolewa kutoka mahali pake?
Te éretted, a ki szaggatja lelkét haragjában, vajjon elhagyattatik-é a föld, és felszakasztatik-é a kőszikla helyéről?
5 Ni dhahiri, nuru ya watu waovu itawekwa nje; cheche ya moto wake haitanga'ra.
Sőt inkább a gonoszok világa kialuszik, és nem fénylik az ő tüzöknek szikrája.
6 Nuru itakuwa giza katika hema yake; taa yake juu yake yeye itawekwa nje.
A világosság elsötétedik az ő sátorában, szövétneke kialszik felette.
7 Hatua za nguvu zake yeye zitafanywa kuwa fupi; mipango yake yeye mwenyewe itamwangusha yeye chini.
Erős léptei aprókká lesznek, saját tanácsa rontja meg őt.
8 Kwa maana yeye atatupwa katika mtego kwa miguu yake mwenyewe; yeye atatembea katika mahangaiko.
Mert lábaival hálóba bonyolódik, és ó-verem felett jár.
9 Tanzi litamchukua yeye kwa kisigino; mtego utabaki kushikilia juu yake.
A sarka tőrbe akad, és kelepcze fogja meg őt.
10 Tanzi limefichwa kwa ajili yake chini ya ardhi; na mtego kwa ajili yake katika njia.
Hurok rejtetett el a földbe ellene, és zsineg az ő szokott ösvényén.
11 Watishao watamfanya yeye aogope juu ya sehemu zote; wao watamkimbiza yeye kwenye visigino vyake.
Mindenfelől félelmek rettentik őt, és üldözik őt léptennyomon.
12 Utajiri wake utageuka kuwa njaa, na majanga yatakuwa tayari upande wake.
Éhség emészti fel az ő erejét, és nyomorúság leselkedik oldala mellett.
13 Sehemu za mwili wake zitakuwa zimemezwa; Hakika, mzaliwa wa kwanza wa kifo atazila sehemu zake yeye.
Megemészti testének izmait, megemészti izmait a halál zsengéje.
14 Yeye ameraruliwa kutoka kwenye usalama wa hema yake na hakuweza kutembea kwenda kwa mfalme mwenye utisho.
Eltünik sátorából az ő bátorsága, és a félelmek királyához folyamodik ő.
15 Watu ambao siyo wa kwake wataishi kwenye hema yake baada ya kuona ule moto mesambaa ndani ya nyumba yake yeye.
Az lakik sátorában, a ki nem az övé, és hajlékára kénkövet szórnak.
16 Mizizi yake itanyauka chini yake; juu tawi lake yeye litakatwa.
Alant elszáradnak gyökerei, és felülről levágatik az ága.
17 Kumbukumbu lake yeye litapotea kutoka katika nchi; yeye hatakuwa na jina katika mtaa.
Emlékezete elvész a földről, még az utczákon sem marad fel a neve.
18 Yeye atafukuzwa kutoka katika nuru mpaka kwenye giza na kuwa amefukuzwa nje na ulimwengu huu.
A világosságról a sötétségbe taszítják, a föld kerekségéről elüldözik őt.
19 Hatakuwa na mtoto wa kiume wala mjukuu miongonni mwa watu wake, wala kizazi chochote kitakachobakia mahali alipokuwa amekaa.
Sem fia, sem unokája nem lesz az ő népében, és semmi maradéka az ő tanyáján.
20 Wale wanaoishi upande wa magharibi watakuwa wametiwa hofu kwa kile kitakachotokea kwake siku moja; wale wanaoishi upande wa mashariki watakuwa wameogopeshwa kwa hicho.
Az ő pusztulásától megborzadnak, a kik következnek és rettegés fogja el a most élő embereket.
21 Hakika hizo ni nyumba za watu wasio haki, ni sehemu ya wale wasiomjua Mungu.”
Ilyenek az álnok embernek hajlékai, és ilyen annak lakóhelye, a ki nem tiszteli Istent.

< Ayubu 18 >