< Ayubu 18 >

1 Ndipo Bildadi Mshuhi alijibu na kusema, “
Bildad de Schuach prit la parole et dit:
2 Je, lini utaacha kusema kwako? Fikiri, na baadaye tutazungumza.
Quand mettrez-vous un terme à ces discours? Ayez de l’intelligence, puis nous parlerons.
3 Kwa nini sisi tumehesabiwa kama wanyama mwitu; kwa nini tumekuwa wapumbavu machoni pako?
Pourquoi sommes-nous regardés comme des bêtes? Pourquoi ne sommes-nous à vos yeux que des brutes?
4 Wewe ambaye wajirarua mwenyewe katika hasira yako, nchi haipaswi kuachwa kwa ajili yako au miamba inapaswa kuondolewa kutoka mahali pake?
O toi qui te déchires dans ta fureur, Faut-il, à cause de toi, que la terre devienne déserte? Faut-il que les rochers disparaissent de leur place?
5 Ni dhahiri, nuru ya watu waovu itawekwa nje; cheche ya moto wake haitanga'ra.
La lumière du méchant s’éteindra, Et la flamme qui en jaillit cessera de briller.
6 Nuru itakuwa giza katika hema yake; taa yake juu yake yeye itawekwa nje.
La lumière s’obscurcira sous sa tente, Et sa lampe au-dessus de lui s’éteindra.
7 Hatua za nguvu zake yeye zitafanywa kuwa fupi; mipango yake yeye mwenyewe itamwangusha yeye chini.
Ses pas assurés seront à l’étroit; Malgré ses efforts, il tombera.
8 Kwa maana yeye atatupwa katika mtego kwa miguu yake mwenyewe; yeye atatembea katika mahangaiko.
Car il met les pieds sur un filet, Il marche dans les mailles,
9 Tanzi litamchukua yeye kwa kisigino; mtego utabaki kushikilia juu yake.
Il est saisi au piège par le talon, Et le filet s’empare de lui;
10 Tanzi limefichwa kwa ajili yake chini ya ardhi; na mtego kwa ajili yake katika njia.
Le cordeau est caché dans la terre, Et la trappe est sur son sentier.
11 Watishao watamfanya yeye aogope juu ya sehemu zote; wao watamkimbiza yeye kwenye visigino vyake.
Des terreurs l’assiègent, l’entourent, Le poursuivent par derrière.
12 Utajiri wake utageuka kuwa njaa, na majanga yatakuwa tayari upande wake.
La faim consume ses forces, La misère est à ses côtés.
13 Sehemu za mwili wake zitakuwa zimemezwa; Hakika, mzaliwa wa kwanza wa kifo atazila sehemu zake yeye.
Les parties de sa peau sont l’une après l’autre dévorées, Ses membres sont dévorés par le premier-né de la mort.
14 Yeye ameraruliwa kutoka kwenye usalama wa hema yake na hakuweza kutembea kwenda kwa mfalme mwenye utisho.
Il est arraché de sa tente où il se croyait en sûreté, Il se traîne vers le roi des épouvantements.
15 Watu ambao siyo wa kwake wataishi kwenye hema yake baada ya kuona ule moto mesambaa ndani ya nyumba yake yeye.
Nul des siens n’habite sa tente, Le soufre est répandu sur sa demeure.
16 Mizizi yake itanyauka chini yake; juu tawi lake yeye litakatwa.
En bas, ses racines se dessèchent; En haut, ses branches sont coupées.
17 Kumbukumbu lake yeye litapotea kutoka katika nchi; yeye hatakuwa na jina katika mtaa.
Sa mémoire disparaît de la terre, Son nom n’est plus sur la face des champs.
18 Yeye atafukuzwa kutoka katika nuru mpaka kwenye giza na kuwa amefukuzwa nje na ulimwengu huu.
Il est poussé de la lumière dans les ténèbres, Il est chassé du monde.
19 Hatakuwa na mtoto wa kiume wala mjukuu miongonni mwa watu wake, wala kizazi chochote kitakachobakia mahali alipokuwa amekaa.
Il ne laisse ni descendants ni postérité parmi son peuple, Ni survivant dans les lieux qu’il habitait.
20 Wale wanaoishi upande wa magharibi watakuwa wametiwa hofu kwa kile kitakachotokea kwake siku moja; wale wanaoishi upande wa mashariki watakuwa wameogopeshwa kwa hicho.
Les générations à venir seront étonnées de sa ruine, Et la génération présente sera saisie d’effroi.
21 Hakika hizo ni nyumba za watu wasio haki, ni sehemu ya wale wasiomjua Mungu.”
Point d’autre destinée pour le méchant, Point d’autre sort pour qui ne connaît pas Dieu!

< Ayubu 18 >