< Ayubu 18 >

1 Ndipo Bildadi Mshuhi alijibu na kusema, “
Then Bildad replied [again]:
2 Je, lini utaacha kusema kwako? Fikiri, na baadaye tutazungumza.
“When are you going to stop talking [RHQ]? If you would stop talking and listen, we could tell you something.
3 Kwa nini sisi tumehesabiwa kama wanyama mwitu; kwa nini tumekuwa wapumbavu machoni pako?
Why do you think that we are [as stupid] as cattle? [DOU, RHQ]
4 Wewe ambaye wajirarua mwenyewe katika hasira yako, nchi haipaswi kuachwa kwa ajili yako au miamba inapaswa kuondolewa kutoka mahali pake?
By being [very] angry and hurting yourself, do you think that doing that will shake the earth, or cause the rocks in the mountains to move? [RHQ]?
5 Ni dhahiri, nuru ya watu waovu itawekwa nje; cheche ya moto wake haitanga'ra.
“What will happen is that the lives of wicked people [like you] end [as quickly as we can] put out a light or extinguish the flame of a fire.
6 Nuru itakuwa giza katika hema yake; taa yake juu yake yeye itawekwa nje.
And when the lamps above them [in their tents] are extinguished, there will be no light in those tents.
7 Hatua za nguvu zake yeye zitafanywa kuwa fupi; mipango yake yeye mwenyewe itamwangusha yeye chini.
[For many years] they walked confidently, but later [in life it was as though] they stumbled and fell, because [they themselves did not heed] the advice [that they gave to others].
8 Kwa maana yeye atatupwa katika mtego kwa miguu yake mwenyewe; yeye atatembea katika mahangaiko.
[It was as though] they walked into their own net or fell into a pit that they themselves have dug.
9 Tanzi litamchukua yeye kwa kisigino; mtego utabaki kushikilia juu yake.
[It was as though] a trap grabbed their heels and held them fast [DOU],
10 Tanzi limefichwa kwa ajili yake chini ya ardhi; na mtego kwa ajili yake katika njia.
[as though the noose of] a rope that was hidden on the ground, [whose other end was fastened to the limb of a tree], seized them when they walked into it.
11 Watishao watamfanya yeye aogope juu ya sehemu zote; wao watamkimbiza yeye kwenye visigino vyake.
Everywhere they went, there were things that caused them to be terrified; [it was as though] those things were pursuing them and biting at their heels.
12 Utajiri wake utageuka kuwa njaa, na majanga yatakuwa tayari upande wake.
They became hungry, with the result that they had no strength. They experienced disasters [PRS] constantly.
13 Sehemu za mwili wake zitakuwa zimemezwa; Hakika, mzaliwa wa kwanza wa kifo atazila sehemu zake yeye.
Diseases spread all over their skin/bodies; diseases that (caused their bodies to decay/destroyed their arms and legs).
14 Yeye ameraruliwa kutoka kwenye usalama wa hema yake na hakuweza kutembea kwenda kwa mfalme mwenye utisho.
[When they died, ] they were snatched away from their tents and brought to the one who rules over the dead.
15 Watu ambao siyo wa kwake wataishi kwenye hema yake baada ya kuona ule moto mesambaa ndani ya nyumba yake yeye.
Now their tents will burn down, when burning sulfur rains down on those tents!
16 Mizizi yake itanyauka chini yake; juu tawi lake yeye litakatwa.
[Because those who died had no descendants], they were [like trees whose] roots have dried up and whose branches have all withered [MET].
17 Kumbukumbu lake yeye litapotea kutoka katika nchi; yeye hatakuwa na jina katika mtaa.
No one on the earth will remember them any more; no [one on any] street [will even remember] their names [MTY].
18 Yeye atafukuzwa kutoka katika nuru mpaka kwenye giza na kuwa amefukuzwa nje na ulimwengu huu.
They will be expelled from the earth where there is light, and they will be sent into the place where it is dark.
19 Hatakuwa na mtoto wa kiume wala mjukuu miongonni mwa watu wake, wala kizazi chochote kitakachobakia mahali alipokuwa amekaa.
They will have no children or grandchildren, no descendants where they previously lived.
20 Wale wanaoishi upande wa magharibi watakuwa wametiwa hofu kwa kile kitakachotokea kwake siku moja; wale wanaoishi upande wa mashariki watakuwa wameogopeshwa kwa hicho.
People from the east to the west [who hear about what happened to them], will be shocked and horrified.
21 Hakika hizo ni nyumba za watu wasio haki, ni sehemu ya wale wasiomjua Mungu.”
And that is what happens to ungodly/sinful people [like you], to people who (have no interest in/have rejected) God.”

< Ayubu 18 >