< Ayubu 18 >

1 Ndipo Bildadi Mshuhi alijibu na kusema, “
Shuhi Bildad loh a doo tih,
2 Je, lini utaacha kusema kwako? Fikiri, na baadaye tutazungumza.
“Olthui kah taikhaihnah te me hil nim na khueh ve. Yakming lamtah a hnukah thui sih.
3 Kwa nini sisi tumehesabiwa kama wanyama mwitu; kwa nini tumekuwa wapumbavu machoni pako?
Balae tih rhamsa bangla nan poek, na mikhmuh ah ka angvawk a?
4 Wewe ambaye wajirarua mwenyewe katika hasira yako, nchi haipaswi kuachwa kwa ajili yako au miamba inapaswa kuondolewa kutoka mahali pake?
A thintoek ah amah hinglu pataeng a baeh ta. Diklai loh a hnoo tih lungpang te a hmuen lamloh a thoeih akhaw nang hut a?
5 Ni dhahiri, nuru ya watu waovu itawekwa nje; cheche ya moto wake haitanga'ra.
Halang rhoek kah vangnah ngawn tah thi tih a hmai te hmaihli bang lam pataeng aa pawh.
6 Nuru itakuwa giza katika hema yake; taa yake juu yake yeye itawekwa nje.
Vangnah khaw a dap khuiah hmuep tih a hmaithoi khaw amah taengah a thih pah.
7 Hatua za nguvu zake yeye zitafanywa kuwa fupi; mipango yake yeye mwenyewe itamwangusha yeye chini.
A thahuem kah khokan pataeng caek tih a cilsuep loh amah a voeih.
8 Kwa maana yeye atatupwa katika mtego kwa miguu yake mwenyewe; yeye atatembea katika mahangaiko.
A kho loh lawk khuila a tueih tih sahamlong khuila a pongpa sak.
9 Tanzi litamchukua yeye kwa kisigino; mtego utabaki kushikilia juu yake.
A khodil te pael loh a tuuk tih amah te kokthah dongah man.
10 Tanzi limefichwa kwa ajili yake chini ya ardhi; na mtego kwa ajili yake katika njia.
A rhuihet te diklai dongah a tung tih, a sutaeh te a hawn ah a khueh pah.
11 Watishao watamfanya yeye aogope juu ya sehemu zote; wao watamkimbiza yeye kwenye visigino vyake.
Anih te mueirhih loh a kaepvai ah a let sak tih a kho ah taekyak uh.
12 Utajiri wake utageuka kuwa njaa, na majanga yatakuwa tayari upande wake.
A boethae ah bungpong la om tih a cungdonah hamla rhainah khaw a sikim pah.
13 Sehemu za mwili wake zitakuwa zimemezwa; Hakika, mzaliwa wa kwanza wa kifo atazila sehemu zake yeye.
Dueknah caming loh a vin saa a caak pah tih a rhuhrhong a hnom pah.
14 Yeye ameraruliwa kutoka kwenye usalama wa hema yake na hakuweza kutembea kwenda kwa mfalme mwenye utisho.
A pangtungnah a dap lamloh a poh tih mueirhih manghai taengla a luei sak.
15 Watu ambao siyo wa kwake wataishi kwenye hema yake baada ya kuona ule moto mesambaa ndani ya nyumba yake yeye.
Amah kah pawt long khaw anih kah dap ah kho a sak tih, a tolkhoeng te yam a phul thil.
16 Mizizi yake itanyauka chini yake; juu tawi lake yeye litakatwa.
A yung khui ah koh tih a so duela a pae khaw ngat.
17 Kumbukumbu lake yeye litapotea kutoka katika nchi; yeye hatakuwa na jina katika mtaa.
Anih poekkoepnah te diklai lamloh paltham tih a ming te rhamvoel hmai ah om pawh.
18 Yeye atafukuzwa kutoka katika nuru mpaka kwenye giza na kuwa amefukuzwa nje na ulimwengu huu.
Anih te vangnah lamloh a hmuep la a thaek uh tih anih te lunglai lamloh a poeng sakuh.
19 Hatakuwa na mtoto wa kiume wala mjukuu miongonni mwa watu wake, wala kizazi chochote kitakachobakia mahali alipokuwa amekaa.
A taengah a ca tal tih a pilnam taengah a cadil om pawh. A lampahnah ah khaw rhaengnaeng om pawh.
20 Wale wanaoishi upande wa magharibi watakuwa wametiwa hofu kwa kile kitakachotokea kwake siku moja; wale wanaoishi upande wa mashariki watakuwa wameogopeshwa kwa hicho.
Amah tue vaengah pong tih a hnuk a hmai la hlithae loh a tuuk.
21 Hakika hizo ni nyumba za watu wasio haki, ni sehemu ya wale wasiomjua Mungu.”
He tah boethae kah dungtlungim tih Pathen aka ming pawt kah a hmuen khaw he tlam ni,” a ti nah.

< Ayubu 18 >