< Ayubu 17 >
1 Roho yangu imemezwa, na siku zangu zimekwisha; kaburi lipo tayari kwa ajili yangu mimi.
Мій дух залама́всь, мої дні погаса́ють, — зоста́лись мені самі гроби!
2 Hakika kuna wenye mzaha pamoja nami; ni lazima daima jicho langu litazame kukasirisha kwao.
Дійсно, насмі́шки зо мною, й моє око в розгі́рченні їхнім ночує.
3 Nipe sasa ahadi, uwe uthibitisho kwangu mimi pamoja na wewe mwenyewe; nani mwingine yuko pale ambaye atanisaidia mimi?
Поклади, дай заста́ву за мене Ти Сам, — хто ж то той, що умову зо мною заб'є по рука́х?
4 Kwa kuwa wewe Mungu umemeitunza mioyo yao kutoka katika ufahamu; kwa hiyo, wewe hautawaheshimisha wao juu yangu mimi.
Бо від розуміння закрив Ти їх серце тому не звели́чуєш їх.
5 Yeye ambaye huwapinga rafiki zake hadharani, kwa ajili ya tuzo, macho ya watoto wake yatashindwa kuona.
Він призна́чує ближніх на по́діл, а очі синів його те́мніють,
6 Lakini amenifanya mimi kuwa neno la kuzungumziwa na watu; wao wananitemea mate katika uso wangu mimi.
Він поставив мене за прислі́в'я в наро́дів, і став я таким, на якого плюють.
7 Jicho langu pia halioni vizuri kwa sababu ya huzuni; sehemu zangu zote za mwili ni nyembamba kama vivuli.
З безтала́ння поте́мніло око моє, а всі члени мої — як та тінь...
8 Watu wanyoofu watapendezwa na hiki; mtu asiye na hatia atajitia yeye mwenyewe juu ya kushindana dhidi ya watu wasiomcha Mungu.
Праведники остовпі́ють на це, і невинний встає на безбожного.
9 Mtu mwenye haki ataendelea katika njia yake; yeye ambaye ana mikono iliyo safi ataendelea kuwa mwenye nguvu zaidi na zaidi.
І праведний буде держа́тись дороги своєї, а хто чистору́кий — побі́льшиться в силі.
10 Lakini kama ilivyo kwenu ninyi nyote, njooni sasa; Mimi sitampata mtu mwenye hekima miongoni mwenu ninyi.
Але всі ви пове́рнетеся, — і прихо́дьте, та я не зиахо́джу між вами розумного.
11 Siku zangu zimepita; mipango yangu imenyamazishwa na hivyo ni matumaini ya moyo wangu.
Мої дні проминули, порвалися ду́ми мої, мого серця маєток, —
12 Watu hawa, wenye kukejeli, badili usiku kuwa mchana; mchana uko karibu kuwa giza.
вони мені ніч оберта́ють на день, набли́жують світло при те́мряві!
13 Tangu mimi nitazame katika Kuzimu kama nyumbani kwangu; tangu Mimi nimetandaza kiti changu katika giza; (Sheol )
Якщо сподіва́юсь, то тільки шео́лу, як дому свого, в темноті постелю́ своє ло́же. (Sheol )
14 tangu Mimi nimesema na shimo 'Wewe ni baba yangu,' na kwa funza, 'Wewe ni mama yangu au dada yangu;
До гро́бу я кличу: „О батьку ти мій!“До черви́: „Моя мамо та се́стро моя!“
15 liko wapi tena tumaini langu? Kama kwa tumaini langu, nani awezaye kuona chochote?
Де ж тоді та наді́я моя? А надія моя, — хто побачить її?
16 Tumaini litakwenda pamoja na mimi katika milango ya Kuzimu wakati sisi tutakapokwenda katika mavumbi? (Sheol )
До шео́лових за́сувів зі́йде вона, коли зі́йдемо ра́зом до по́роху“. (Sheol )