< Ayubu 17 >

1 Roho yangu imemezwa, na siku zangu zimekwisha; kaburi lipo tayari kwa ajili yangu mimi.
Мій дух залама́всь, мої дні погаса́ють, — зоста́лись мені самі гроби!
2 Hakika kuna wenye mzaha pamoja nami; ni lazima daima jicho langu litazame kukasirisha kwao.
Дійсно, насмі́шки зо мною, й моє око в розгі́рченні їхнім ночує.
3 Nipe sasa ahadi, uwe uthibitisho kwangu mimi pamoja na wewe mwenyewe; nani mwingine yuko pale ambaye atanisaidia mimi?
Поклади, дай заста́ву за мене Ти Сам, — хто ж то той, що умову зо мною заб'є по рука́х?
4 Kwa kuwa wewe Mungu umemeitunza mioyo yao kutoka katika ufahamu; kwa hiyo, wewe hautawaheshimisha wao juu yangu mimi.
Бо від розуміння закрив Ти їх серце тому не звели́чуєш їх.
5 Yeye ambaye huwapinga rafiki zake hadharani, kwa ajili ya tuzo, macho ya watoto wake yatashindwa kuona.
Він призна́чує ближніх на по́діл, а очі синів його те́мніють,
6 Lakini amenifanya mimi kuwa neno la kuzungumziwa na watu; wao wananitemea mate katika uso wangu mimi.
Він поставив мене за прислі́в'я в наро́дів, і став я таким, на якого плюють.
7 Jicho langu pia halioni vizuri kwa sababu ya huzuni; sehemu zangu zote za mwili ni nyembamba kama vivuli.
З безтала́ння поте́мніло око моє, а всі члени мої — як та тінь...
8 Watu wanyoofu watapendezwa na hiki; mtu asiye na hatia atajitia yeye mwenyewe juu ya kushindana dhidi ya watu wasiomcha Mungu.
Праведники остовпі́ють на це, і невинний встає на безбожного.
9 Mtu mwenye haki ataendelea katika njia yake; yeye ambaye ana mikono iliyo safi ataendelea kuwa mwenye nguvu zaidi na zaidi.
І праведний буде держа́тись дороги своєї, а хто чистору́кий — побі́льшиться в силі.
10 Lakini kama ilivyo kwenu ninyi nyote, njooni sasa; Mimi sitampata mtu mwenye hekima miongoni mwenu ninyi.
Але всі ви пове́рнетеся, — і прихо́дьте, та я не зиахо́джу між вами розумного.
11 Siku zangu zimepita; mipango yangu imenyamazishwa na hivyo ni matumaini ya moyo wangu.
Мої дні проминули, порвалися ду́ми мої, мого серця маєток, —
12 Watu hawa, wenye kukejeli, badili usiku kuwa mchana; mchana uko karibu kuwa giza.
вони мені ніч оберта́ють на день, набли́жують світло при те́мряві!
13 Tangu mimi nitazame katika Kuzimu kama nyumbani kwangu; tangu Mimi nimetandaza kiti changu katika giza; (Sheol h7585)
Якщо сподіва́юсь, то тільки шео́лу, як дому свого, в темноті постелю́ своє ло́же. (Sheol h7585)
14 tangu Mimi nimesema na shimo 'Wewe ni baba yangu,' na kwa funza, 'Wewe ni mama yangu au dada yangu;
До гро́бу я кличу: „О батьку ти мій!“До черви́: „Моя мамо та се́стро моя!“
15 liko wapi tena tumaini langu? Kama kwa tumaini langu, nani awezaye kuona chochote?
Де ж тоді та наді́я моя? А надія моя, — хто побачить її?
16 Tumaini litakwenda pamoja na mimi katika milango ya Kuzimu wakati sisi tutakapokwenda katika mavumbi? (Sheol h7585)
До шео́лових за́сувів зі́йде вона, коли зі́йдемо ра́зом до по́роху“. (Sheol h7585)

< Ayubu 17 >