< Ayubu 17 >

1 Roho yangu imemezwa, na siku zangu zimekwisha; kaburi lipo tayari kwa ajili yangu mimi.
Mi espíritu está quebrado, mis días han terminado, el sepulcro está listo para mí.
2 Hakika kuna wenye mzaha pamoja nami; ni lazima daima jicho langu litazame kukasirisha kwao.
En verdad, los que se burlan, están a mi alrededor, y mis ojos continúan viendo su amarga risa.
3 Nipe sasa ahadi, uwe uthibitisho kwangu mimi pamoja na wewe mwenyewe; nani mwingine yuko pale ambaye atanisaidia mimi?
Pon ahora tu fiador; porque no hay otro que ponga su mano en la mía.
4 Kwa kuwa wewe Mungu umemeitunza mioyo yao kutoka katika ufahamu; kwa hiyo, wewe hautawaheshimisha wao juu yangu mimi.
Guardaste sus corazones de la sabiduría; por esta razón no les darás honor.
5 Yeye ambaye huwapinga rafiki zake hadharani, kwa ajili ya tuzo, macho ya watoto wake yatashindwa kuona.
En cuanto al que es falso a su amigo por una recompensa, la luz se cortará de los ojos de sus hijos.
6 Lakini amenifanya mimi kuwa neno la kuzungumziwa na watu; wao wananitemea mate katika uso wangu mimi.
Me ha hecho vergüenza a los pueblos; y que me escupan en la cara.
7 Jicho langu pia halioni vizuri kwa sababu ya huzuni; sehemu zangu zote za mwili ni nyembamba kama vivuli.
Mis ojos se han oscurecido debido a mi dolor, y todo mi cuerpo es como una sombra.
8 Watu wanyoofu watapendezwa na hiki; mtu asiye na hatia atajitia yeye mwenyewe juu ya kushindana dhidi ya watu wasiomcha Mungu.
Los rectos se sorprenden de esto, y el que no ha hecho nada malo se levantará contra él hipócrita.
9 Mtu mwenye haki ataendelea katika njia yake; yeye ambaye ana mikono iliyo safi ataendelea kuwa mwenye nguvu zaidi na zaidi.
Todavía los rectos mantendrán su camino, y el que tiene las manos limpias obtiene nuevas fuerzas.
10 Lakini kama ilivyo kwenu ninyi nyote, njooni sasa; Mimi sitampata mtu mwenye hekima miongoni mwenu ninyi.
Pero regresen, ahora, todos ustedes, vengan; y no hallaré en ustedes a un hombre sabio.
11 Siku zangu zimepita; mipango yangu imenyamazishwa na hivyo ni matumaini ya moyo wangu.
Mis días han pasado, mis propósitos se han roto, incluso los deseos de mi corazón.
12 Watu hawa, wenye kukejeli, badili usiku kuwa mchana; mchana uko karibu kuwa giza.
Están cambiando la noche en día; Dicen: La luz está cerca de la oscuridad.
13 Tangu mimi nitazame katika Kuzimu kama nyumbani kwangu; tangu Mimi nimetandaza kiti changu katika giza; (Sheol h7585)
Si estoy esperando el sepulcro como mi casa, si he hecho mi cama en la oscuridad; (Sheol h7585)
14 tangu Mimi nimesema na shimo 'Wewe ni baba yangu,' na kwa funza, 'Wewe ni mama yangu au dada yangu;
Si digo al sepulcro: Tú eres mi padre; y al gusano, mi madre y mi hermana;
15 liko wapi tena tumaini langu? Kama kwa tumaini langu, nani awezaye kuona chochote?
¿Dónde está mi esperanza? ¿Y quién verá mi deseo?
16 Tumaini litakwenda pamoja na mimi katika milango ya Kuzimu wakati sisi tutakapokwenda katika mavumbi? (Sheol h7585)
¿Bajarán conmigo al inframundo? ¿Descansaremos juntos en polvo? (Sheol h7585)

< Ayubu 17 >