< Ayubu 17 >
1 Roho yangu imemezwa, na siku zangu zimekwisha; kaburi lipo tayari kwa ajili yangu mimi.
Moj dih je pokvarjen, moji dnevi so izumrli, zame so pripravljeni grobovi.
2 Hakika kuna wenye mzaha pamoja nami; ni lazima daima jicho langu litazame kukasirisha kwao.
Mar niso tukaj z menoj zasmehovalci? Mar moje oko ne vztraja v njihovem izzivanju?
3 Nipe sasa ahadi, uwe uthibitisho kwangu mimi pamoja na wewe mwenyewe; nani mwingine yuko pale ambaye atanisaidia mimi?
Sedaj se ulezi, postavi me v poroštvo s seboj. Kdo je ta, ki bo udaril roki z menoj?
4 Kwa kuwa wewe Mungu umemeitunza mioyo yao kutoka katika ufahamu; kwa hiyo, wewe hautawaheshimisha wao juu yangu mimi.
Kajti njihovo srce si skril pred razumevanjem, zato jih ne boš povišal.
5 Yeye ambaye huwapinga rafiki zake hadharani, kwa ajili ya tuzo, macho ya watoto wake yatashindwa kuona.
Kdor svojim prijateljem govori prilizovanja, bodo pešale celo oči njegovih otrok.
6 Lakini amenifanya mimi kuwa neno la kuzungumziwa na watu; wao wananitemea mate katika uso wangu mimi.
Naredil me je tudi za tarčo posmeha med ljudstvom in poprej sem bil kakor bobnič.
7 Jicho langu pia halioni vizuri kwa sababu ya huzuni; sehemu zangu zote za mwili ni nyembamba kama vivuli.
Tudi moje oko je zatemnjeno zaradi bridkosti in vsi moji udi so kakor senca.
8 Watu wanyoofu watapendezwa na hiki; mtu asiye na hatia atajitia yeye mwenyewe juu ya kushindana dhidi ya watu wasiomcha Mungu.
Pošteni možje bodo osupli ob tem in nedolžni se bo razvnel zoper hinavca.
9 Mtu mwenye haki ataendelea katika njia yake; yeye ambaye ana mikono iliyo safi ataendelea kuwa mwenye nguvu zaidi na zaidi.
Tudi pravični se bo držal svoje poti, kdor pa ima čiste roke, bo močnejši in močnejši.
10 Lakini kama ilivyo kwenu ninyi nyote, njooni sasa; Mimi sitampata mtu mwenye hekima miongoni mwenu ninyi.
Toda kar se tiče vas vseh, ali se vrnete in torej greste, kajti med vami ne morem najti enega modrega moža.
11 Siku zangu zimepita; mipango yangu imenyamazishwa na hivyo ni matumaini ya moyo wangu.
Moji dnevi so minili, moji nameni so zlomljeni, celó misli mojega srca.
12 Watu hawa, wenye kukejeli, badili usiku kuwa mchana; mchana uko karibu kuwa giza.
Noč spreminjajo v dan, svetloba je kratka zaradi teme.
13 Tangu mimi nitazame katika Kuzimu kama nyumbani kwangu; tangu Mimi nimetandaza kiti changu katika giza; (Sheol )
Če čakam, je moja hiša grob; svojo posteljo sem postlal v temi. (Sheol )
14 tangu Mimi nimesema na shimo 'Wewe ni baba yangu,' na kwa funza, 'Wewe ni mama yangu au dada yangu;
Trohnenju sem rekel: ›Ti si moj oče, ‹ ličinki: › Ti si moja mati in moja sestra.‹
15 liko wapi tena tumaini langu? Kama kwa tumaini langu, nani awezaye kuona chochote?
Kje je sedaj moje upanje? Glede mojega upanja, kdo ga bo videl?
16 Tumaini litakwenda pamoja na mimi katika milango ya Kuzimu wakati sisi tutakapokwenda katika mavumbi? (Sheol )
Šli bodo dol k zapahom jame, ko je naš skupni počitek v prahu.« (Sheol )