< Ayubu 17 >
1 Roho yangu imemezwa, na siku zangu zimekwisha; kaburi lipo tayari kwa ajili yangu mimi.
Дыхание мое ослабело; дни мои угасают; гробы предо мною.
2 Hakika kuna wenye mzaha pamoja nami; ni lazima daima jicho langu litazame kukasirisha kwao.
Если бы не насмешки их, то и среди споров их око мое пребывало бы спокойно.
3 Nipe sasa ahadi, uwe uthibitisho kwangu mimi pamoja na wewe mwenyewe; nani mwingine yuko pale ambaye atanisaidia mimi?
Заступись, поручись Сам за меня пред Собою! иначе кто поручится за меня?
4 Kwa kuwa wewe Mungu umemeitunza mioyo yao kutoka katika ufahamu; kwa hiyo, wewe hautawaheshimisha wao juu yangu mimi.
Ибо Ты закрыл сердце их от разумения, и потому не дашь восторжествовать им.
5 Yeye ambaye huwapinga rafiki zake hadharani, kwa ajili ya tuzo, macho ya watoto wake yatashindwa kuona.
Кто обрекает друзей своих в добычу, у детей того глаза истают.
6 Lakini amenifanya mimi kuwa neno la kuzungumziwa na watu; wao wananitemea mate katika uso wangu mimi.
Он поставил меня притчею для народа и посмешищем для него.
7 Jicho langu pia halioni vizuri kwa sababu ya huzuni; sehemu zangu zote za mwili ni nyembamba kama vivuli.
Помутилось от горести око мое, и все члены мои, как тень.
8 Watu wanyoofu watapendezwa na hiki; mtu asiye na hatia atajitia yeye mwenyewe juu ya kushindana dhidi ya watu wasiomcha Mungu.
Изумятся о сем праведные, и невинный вознегодует на лицемера.
9 Mtu mwenye haki ataendelea katika njia yake; yeye ambaye ana mikono iliyo safi ataendelea kuwa mwenye nguvu zaidi na zaidi.
Но праведник будет крепко держаться пути своего, и чистый руками будет больше и больше утверждаться.
10 Lakini kama ilivyo kwenu ninyi nyote, njooni sasa; Mimi sitampata mtu mwenye hekima miongoni mwenu ninyi.
Выступайте, все вы, и подойдите; не найду я мудрого между вами.
11 Siku zangu zimepita; mipango yangu imenyamazishwa na hivyo ni matumaini ya moyo wangu.
Дни мои прошли; думы мои - достояние сердца моего - разбиты.
12 Watu hawa, wenye kukejeli, badili usiku kuwa mchana; mchana uko karibu kuwa giza.
А они ночь хотят превратить в день, свет приблизить к лицу тьмы.
13 Tangu mimi nitazame katika Kuzimu kama nyumbani kwangu; tangu Mimi nimetandaza kiti changu katika giza; (Sheol )
Если бы я и ожидать стал, то преисподняя - дом мой; во тьме постелю я постель мою; (Sheol )
14 tangu Mimi nimesema na shimo 'Wewe ni baba yangu,' na kwa funza, 'Wewe ni mama yangu au dada yangu;
гробу скажу: ты отец мой, червю: ты мать моя и сестра моя.
15 liko wapi tena tumaini langu? Kama kwa tumaini langu, nani awezaye kuona chochote?
Где же после этого надежда моя? и ожидаемое мною кто увидит?
16 Tumaini litakwenda pamoja na mimi katika milango ya Kuzimu wakati sisi tutakapokwenda katika mavumbi? (Sheol )
В преисподнюю сойдет она и будет покоиться со мною в прахе. (Sheol )