< Ayubu 17 >
1 Roho yangu imemezwa, na siku zangu zimekwisha; kaburi lipo tayari kwa ajili yangu mimi.
O meu espirito se vae corrompendo, os meus dias se vão apagando, e tenho perante mim as sepulturas.
2 Hakika kuna wenye mzaha pamoja nami; ni lazima daima jicho langu litazame kukasirisha kwao.
Porventura não estão zombadores comigo? e os meus olhos não passam a noite chorando pelas suas amarguras?
3 Nipe sasa ahadi, uwe uthibitisho kwangu mimi pamoja na wewe mwenyewe; nani mwingine yuko pale ambaye atanisaidia mimi?
Promette agora, e dá-me um fiador para comtigo: quem ha que me dê a mão?
4 Kwa kuwa wewe Mungu umemeitunza mioyo yao kutoka katika ufahamu; kwa hiyo, wewe hautawaheshimisha wao juu yangu mimi.
Porque aos seus corações encobriste o entendimento, pelo que não os exaltarás.
5 Yeye ambaye huwapinga rafiki zake hadharani, kwa ajili ya tuzo, macho ya watoto wake yatashindwa kuona.
O que lisongeando falla aos amigos tambem os olhos de seus filhos desfallecerão.
6 Lakini amenifanya mimi kuwa neno la kuzungumziwa na watu; wao wananitemea mate katika uso wangu mimi.
Porém a mim me poz por um proverbio dos povos, de modo que já sou uma abominação perante o rosto de cada um.
7 Jicho langu pia halioni vizuri kwa sababu ya huzuni; sehemu zangu zote za mwili ni nyembamba kama vivuli.
Pelo que já se escureceram de magoa os meus olhos, e já todos os meus membros são como a sombra:
8 Watu wanyoofu watapendezwa na hiki; mtu asiye na hatia atajitia yeye mwenyewe juu ya kushindana dhidi ya watu wasiomcha Mungu.
Os rectos pasmarão d'isto, e o innocente se levantará contra o hypocrita.
9 Mtu mwenye haki ataendelea katika njia yake; yeye ambaye ana mikono iliyo safi ataendelea kuwa mwenye nguvu zaidi na zaidi.
E o justo seguirá o seu caminho firmemente, e o puro de mãos irá crescendo em força.
10 Lakini kama ilivyo kwenu ninyi nyote, njooni sasa; Mimi sitampata mtu mwenye hekima miongoni mwenu ninyi.
Mas, na verdade, tornae todos vós, e vinde cá; porque sabio nenhum acho entre vós.
11 Siku zangu zimepita; mipango yangu imenyamazishwa na hivyo ni matumaini ya moyo wangu.
Os meus dias passam, os meus propositos se quebraram, os pensamentos do meu coração.
12 Watu hawa, wenye kukejeli, badili usiku kuwa mchana; mchana uko karibu kuwa giza.
Trocaram o dia em noite; a luz está perto do fim, por causa das trevas.
13 Tangu mimi nitazame katika Kuzimu kama nyumbani kwangu; tangu Mimi nimetandaza kiti changu katika giza; (Sheol )
Se eu esperar, a sepultura será a minha casa; nas trevas estenderei a minha cama. (Sheol )
14 tangu Mimi nimesema na shimo 'Wewe ni baba yangu,' na kwa funza, 'Wewe ni mama yangu au dada yangu;
Á corrupção clamo: Tu és meu pae; e aos bichos: Vós sois minha mãe e minha irmã.
15 liko wapi tena tumaini langu? Kama kwa tumaini langu, nani awezaye kuona chochote?
Onde pois estaria agora a minha esperança? emquanto á minha esperança, quem a poderá ver
16 Tumaini litakwenda pamoja na mimi katika milango ya Kuzimu wakati sisi tutakapokwenda katika mavumbi? (Sheol )
As barras da sepultura descerão quando juntamente no pó haverá descanço. (Sheol )