< Ayubu 17 >
1 Roho yangu imemezwa, na siku zangu zimekwisha; kaburi lipo tayari kwa ajili yangu mimi.
Min Aand er brudt, mine Dage ere udslukkede, Gravene vente mig.
2 Hakika kuna wenye mzaha pamoja nami; ni lazima daima jicho langu litazame kukasirisha kwao.
Er der ikke Spot omkring mig, og maa mit Øje ikke dvæle ved deres Genstridighed?
3 Nipe sasa ahadi, uwe uthibitisho kwangu mimi pamoja na wewe mwenyewe; nani mwingine yuko pale ambaye atanisaidia mimi?
Kære, stil mig Borgen hos dig, lov for mig; hvo er der ellers, der giver mig Haandslag?
4 Kwa kuwa wewe Mungu umemeitunza mioyo yao kutoka katika ufahamu; kwa hiyo, wewe hautawaheshimisha wao juu yangu mimi.
Thi du har lukket deres Hjerte for Indsigt, derfor skal du ikke ophøje dem.
5 Yeye ambaye huwapinga rafiki zake hadharani, kwa ajili ya tuzo, macho ya watoto wake yatashindwa kuona.
Man byder Venner ud til Bytte, og deres Børns Øjne hentæres.
6 Lakini amenifanya mimi kuwa neno la kuzungumziwa na watu; wao wananitemea mate katika uso wangu mimi.
Men han har stillet mig til at være et Ordsprog iblandt Folkene, og jeg er bleven som den, man spytter i Ansigtet.
7 Jicho langu pia halioni vizuri kwa sababu ya huzuni; sehemu zangu zote za mwili ni nyembamba kama vivuli.
Derfor er mit Øje mørkt af Harm, og alle mine Lemmer ere som en Skygge.
8 Watu wanyoofu watapendezwa na hiki; mtu asiye na hatia atajitia yeye mwenyewe juu ya kushindana dhidi ya watu wasiomcha Mungu.
For sligt maa de oprigtige forskrækkes, og den uskyldige harmes over den vanhellige.
9 Mtu mwenye haki ataendelea katika njia yake; yeye ambaye ana mikono iliyo safi ataendelea kuwa mwenye nguvu zaidi na zaidi.
Dog holder den retfærdige fast ved sin Vej, og den, som har rene Hænder, faar mere Styrke.
10 Lakini kama ilivyo kwenu ninyi nyote, njooni sasa; Mimi sitampata mtu mwenye hekima miongoni mwenu ninyi.
Men I, kommer kun alle frem igen, og jeg vil dog ikke finde en viis iblandt eder.
11 Siku zangu zimepita; mipango yangu imenyamazishwa na hivyo ni matumaini ya moyo wangu.
Mine Dage ere gangne forbi; oprykkede ere mine Tanker, hvilke mit Hjerte besad.
12 Watu hawa, wenye kukejeli, badili usiku kuwa mchana; mchana uko karibu kuwa giza.
De gøre Nat til Dag; og Lyset skal være nær, naar Mørket kommer.
13 Tangu mimi nitazame katika Kuzimu kama nyumbani kwangu; tangu Mimi nimetandaza kiti changu katika giza; (Sheol )
Dersom jeg end forventer noget, da er det Graven som min Bolig; jeg har redet mit Leje i Mørket. (Sheol )
14 tangu Mimi nimesema na shimo 'Wewe ni baba yangu,' na kwa funza, 'Wewe ni mama yangu au dada yangu;
Jeg har raabt til Graven: Du er min Fader! til Ormen: Min Moder og min Søster!
15 liko wapi tena tumaini langu? Kama kwa tumaini langu, nani awezaye kuona chochote?
Hvor skulde da min Forventelse være? ja min Forventelse — hvo skuer den?
16 Tumaini litakwenda pamoja na mimi katika milango ya Kuzimu wakati sisi tutakapokwenda katika mavumbi? (Sheol )
Den skal nedfare til Gravens Porte, naar der tilmed bliver Ro i Støvet. (Sheol )