< Ayubu 17 >

1 Roho yangu imemezwa, na siku zangu zimekwisha; kaburi lipo tayari kwa ajili yangu mimi.
Ka mueihla he pat tih ka khohnin loh khum coeng, kai hamla coeng tih phuel om coeng.
2 Hakika kuna wenye mzaha pamoja nami; ni lazima daima jicho langu litazame kukasirisha kwao.
Ka taengah a omsasaipat pai moenih a? Te dongah amih koek ham khaw ka mik ah rhaeh pai saeh.
3 Nipe sasa ahadi, uwe uthibitisho kwangu mimi pamoja na wewe mwenyewe; nani mwingine yuko pale ambaye atanisaidia mimi?
Kai kah rhikhang he namah hamla khueh laeh. Anih te ulong ka kut dongla a khoom eh?
4 Kwa kuwa wewe Mungu umemeitunza mioyo yao kutoka katika ufahamu; kwa hiyo, wewe hautawaheshimisha wao juu yangu mimi.
Amih kah lungbuei te lungmingnah lamloh na khoem pah coeng. Te dongah na pomsang sak mahpawh.
5 Yeye ambaye huwapinga rafiki zake hadharani, kwa ajili ya tuzo, macho ya watoto wake yatashindwa kuona.
Khoyo la a hui a phoe vaengah a ca rhoek mik tah hma coeng.
6 Lakini amenifanya mimi kuwa neno la kuzungumziwa na watu; wao wananitemea mate katika uso wangu mimi.
Kai he pilnam kah a thuidoek la n'khueh tih maelhmai dongkah timthoeihnah la ka om.
7 Jicho langu pia halioni vizuri kwa sababu ya huzuni; sehemu zangu zote za mwili ni nyembamba kama vivuli.
Ka mik he konoinah neh hmang coeng tih ka pumrho he khokhawn bangla boeih om.
8 Watu wanyoofu watapendezwa na hiki; mtu asiye na hatia atajitia yeye mwenyewe juu ya kushindana dhidi ya watu wasiomcha Mungu.
Te dongah aka thuem khaw a pong sak tih lailak taengah ommongsitoe a haenghang sak.
9 Mtu mwenye haki ataendelea katika njia yake; yeye ambaye ana mikono iliyo safi ataendelea kuwa mwenye nguvu zaidi na zaidi.
Tedae aka dueng loh amah longpuei te a tuuk vetih a kut cim khaw a thaa sai ni.
10 Lakini kama ilivyo kwenu ninyi nyote, njooni sasa; Mimi sitampata mtu mwenye hekima miongoni mwenu ninyi.
Amih te boeih na mael sak uh coeng. Na pawk uh to cakhaw nangmih ah hlangcueih ka hmu mahpawh.
11 Siku zangu zimepita; mipango yangu imenyamazishwa na hivyo ni matumaini ya moyo wangu.
Ka khohnin loh thok coeng. Ka thinko kah kohnek la ka poeknah mawth coeng.
12 Watu hawa, wenye kukejeli, badili usiku kuwa mchana; mchana uko karibu kuwa giza.
Khoyin te khothaih la a khueh tih, a hmuep tom te vangnah neh a yoei sak.
13 Tangu mimi nitazame katika Kuzimu kama nyumbani kwangu; tangu Mimi nimetandaza kiti changu katika giza; (Sheol h7585)
Saelkhui te ka im bangla ka lamtawn tih, hmaisuep ah ka rhaenghmuen ka saelh. (Sheol h7585)
14 tangu Mimi nimesema na shimo 'Wewe ni baba yangu,' na kwa funza, 'Wewe ni mama yangu au dada yangu;
Vaam taengah, “A pa nang,” ka ti nah tih a rhit taengah, “A nu neh ka ngannu,” ka ti nah coeng.
15 liko wapi tena tumaini langu? Kama kwa tumaini langu, nani awezaye kuona chochote?
Te dongah menim ka ngaiuepnah tih ka ngaiuepnah he unim aka mae?
16 Tumaini litakwenda pamoja na mimi katika milango ya Kuzimu wakati sisi tutakapokwenda katika mavumbi? (Sheol h7585)
Saelkhui thohka te suntla vetih laipi khuila rhenten n'ael aya?,” a ti. (Sheol h7585)

< Ayubu 17 >