< Ayubu 16 >
1 Ndipo Ayubu akajibu na kusema,
Andin Ayup jawabǝn mundaⱪ dedi: —
2 “Mimi nimevisikia vitu hivyo vingi; ninyi nyote ni wafariji wenye kuhuzunisha.
Mǝn muxundaⱪ gǝplǝrni kɵp angliƣanmǝn; Silǝr ⱨǝmminglar azab yǝtküzidiƣan ajayib tǝsǝlli bǝrgüqi ikǝnsilǝr-ⱨǝ!
3 Maneno yenye upuuzi daima yanaweza kuwa na mwisho? Nini kimeharibika kwenu kwamba mnajibu kama hivi?
Mundaⱪ watildap ⱪilƣan gǝpliringlarning qeki barmu? Silǝrgǝ mundaⱪ jawab berixkǝ zadi nemǝ ⱪutratⱪuluⱪ ⱪildi?
4 Mimi pia ningeweza kuzungumza kama ninyi mnavyofanya, kama ninyi mngekuwa katika nafasi yangu; Mimi ningekusanya na kuunganisha maneno pamoja dhidi yenu na kutikisa kichwa changu kwenu ninyi katika dhihaka.
Halisamla ɵzüm silǝrgǝ ohxax sɵz ⱪilalayttim; Silǝr mening ornumda bolidiƣan bolsanglar, Mǝnmu sɵzlǝrni baƣlaxturup eytip, silǝrgǝ zǝrbǝ ⱪilalaytim, Beximnimu silǝrgǝ ⱪaritip qayⱪiyalayttim!
5 Laiti, jinsi gani Mimi ningewatia moyo na midomo yangu! Jinsi gani faraja kutoka midomo yangu ingenga'risha huzuni yenu!
Ⱨalbuki, mǝn ǝksiqǝ aƣzim bilǝn silǝrni riƣbǝtlǝndürǝttim, Lǝwlirimning tǝsǝllisi silǝrgǝ dora-dǝrman bolatti.
6 Ikiwa Mimi ninazungumza, kuomboleza kwangu hakujasikilizwa; Ikiwa nikiendelea katika kuzungumza, jinsi gani mimi ninaidiwa?
Lekin mening sɵzlixim bilǝn azabim azaymaydu; Yaki gepimni iqimgǝ yutuwalisammu, manga nemǝ aramqiliⱪ bolsun?
Biraⱪ U meni ⱨalsizlandürüwǝtti; Xundaⱪ, Sǝn pütkül ailǝmni wǝyran ⱪiliwǝtting!
8 wewe umenifanya mimi kuchoka; wewe umeifanya familia yangu yote kuwa ukiwa. Wewe umenifanya mimi kukauka, ambayo yenyewe ni ushuhuda dhidi yangu mimi; kukonda kwa mwili wangu huinuka dhidi yangu, na kunashuhudia dhidi ya macho yangu.
Sǝn meni ⱪamalliding! Xuning bilǝn [ǝⱨwalim manga] guwaⱨliⱪ ⱪilmaⱪta; Mening oruⱪ-ⱪaⱪxal [bǝdinim] ornidin turup ɵzümni ǝyiblǝp guwaⱨliⱪ ⱪilidu!
9 Mungu amenirarua mimi katika ghadhabu yake na amenitesa mimi; Yeye amenisaga mimi kwa meno yake; Adui yangu amenikazia macho yake juu yangu kama yeye anavyonirarua mimi vipande.
Uning ƣǝzipi meni titma ⱪilip, Meni ow oljisi ⱪilidu; U manga ⱪarap qixini ƣuqurlitidu; Mening düxminimdǝk kɵzini alayitip manga tikidu.
10 Watu wameachama na midomo iliyowazi juu yangu; wamenipiga mimi katika shavu kwa kunitukana; wamekusanyika pamoja kinyume changu mimi.
[Adǝmlǝr] manga ⱪarap [mazaⱪ ⱪilixip] aƣzini aqidu; Ular nǝprǝt bilǝn mǝngzimgǝ kaqatlaydu; Manga ⱨujum ⱪilay dǝp sǝp tüzidu.
11 Mungu amenikabidhi mimi juu ya watu wasio mcha Mungu, na kunitupa mimi ndani ya mikono ya watu waovu.
Huda meni ǝskilǝrgǝ tapxurƣan; Meni rǝzillǝrning ⱪoliƣa taxliwǝtkǝnikǝn.
12 Mimi nilikuwa katika wepesi, na yeye amenivunjavunja mimi vipande. Hakika, amenichukua mimi kwa shingo na ameniponda mimi vipande vipande; yeye pia ameniweka mimi juu kama shabaha yake.
Əslidǝ mǝn tinq-amanliⱪta turattim, biraⱪ u meni paqaⱪlidi; U boynumdin silkip bitqit ⱪiliwǝtti, Meni Ɵz nixani ⱪilƣanikǝn.
13 Wapiga upinde wake wote wamenizunguka mimi; Mungu huzikata vipande vipande figo zangu, na haniokoi mimi; yeye humwaga nje nyongo yangu juu ya ardhi.
Uning oⱪyaqiliri meni ⱪapsiwaldi; Ⱨeq ayimay U üqǝy-baƣrimni yirtip, Ɵtümni yǝrgǝ tɵküwǝtti.
14 yeye hukanyaga kanyaga kupitia ukuta wangu tena na tena; yeye hukimbia juu yangu mimi kama shujaa.
U u yǝr-bu yerimgǝ üsti-üstilǝp zǝhim ⱪilip bɵsüp kiridu; U palwandǝk manga ⱪarap etilidu.
15 nguo ya magunia juu ya ngozi yangu; Mimi nimeisukuma kwa nguvu pembe yangu ndani ya ardhi.
Terǝmning üstigǝ bɵz rǝht tikip ⱪoydum; Ɵz izzǝt-ⱨɵrmitimni topa-qangƣa selip ⱪoydum.
16 Uso wangu ni mwekundu na kuomboleza; juu ya ngozi inayofunika macho kuna kivuli cha mauti
Gǝrqǝ ⱪolumda ⱨeqⱪandaⱪ zorawanliⱪ bolmisimu, Duayim qin dilimdin bolƣan bolsimu, Yüzüm yiƣa-zaridin ⱪizirip kǝtti; Ⱪapaⱪlirimni ɵlüm sayisi basti.
17 ingawa hakuna dhuluma katika mikono yangu, na kuomba kwangu ni safi.
18 Nchi, haifuniki juu damu yangu mimi; acha kulia kwangu kuwe hakuna mahali pa kupumzika.
Aⱨ, yǝr-zemin, ⱪenimni yapmiƣin! Nalǝ-pǝryadim tohtaydiƣanƣa jay bolmiƣay!
19 Hata sasa, tazama, ushuhuda wangu uko mbinguni; yeye ambaye ashuhudiaye kwa ajili yangu mimi yuko juu.
Biraⱪ mana, asmanlarda ⱨazirmu manga xaⱨit Bolƣuqi bar! Ərxlǝrdǝ manga kapalǝt Bolƣuqi bar!
20 Rafiki zangu wananicheka kwa dharau, lakini jicho langu linamwaga machozi kwa Mungu.
Ɵz dostlirim meni mazaⱪ ⱪilƣini bilǝn, Biraⱪ kɵzüm tehiqǝ Tǝngrigǝ yax tɵkmǝktǝ.
21 Mimi ninaomba ule ushuhuda ulioko mbinguni kumtetea mtu huyu na Mungu kama mwanadamu afanyavyo na jirani yake.
Aⱨ, insan balisi dosti üqün kelixtürgüqi bolƣandǝk, Tǝngri bilǝn adǝm otturisidimu kelixtürgüqi bolsidi!
22 Kwa maana wakati miaka michache itakapokuwa imepita, Mimi nitakwenda mahali ambapo mimi sitaweza kurudi.
Qünki yǝnǝ birnǝqqǝ yil ɵtüxi bilǝnla, Mǝn barsa ⱪaytmas yolda mengip ⱪalimǝn.