< Ayubu 16 >
1 Ndipo Ayubu akajibu na kusema,
А Йов відповів та й сказав:
2 “Mimi nimevisikia vitu hivyo vingi; ninyi nyote ni wafariji wenye kuhuzunisha.
„Чув я такого багато, — даремні розра́дники всі ви!
3 Maneno yenye upuuzi daima yanaweza kuwa na mwisho? Nini kimeharibika kwenu kwamba mnajibu kama hivi?
Чи настане кінець вітряни́м цим слова́м? Або що зміцни́ло тебе, що так відповідаєш?
4 Mimi pia ningeweza kuzungumza kama ninyi mnavyofanya, kama ninyi mngekuwa katika nafasi yangu; Mimi ningekusanya na kuunganisha maneno pamoja dhidi yenu na kutikisa kichwa changu kwenu ninyi katika dhihaka.
I я говорив би, як ви, якби ви на місці моє́му були́, — я додав би слова́ми на вас, і головою своєю кива́в би на вас,
5 Laiti, jinsi gani Mimi ningewatia moyo na midomo yangu! Jinsi gani faraja kutoka midomo yangu ingenga'risha huzuni yenu!
уста́ми своїми зміцня́в би я вас, і не стримав би рух своїх губ на розраду!
6 Ikiwa Mimi ninazungumza, kuomboleza kwangu hakujasikilizwa; Ikiwa nikiendelea katika kuzungumza, jinsi gani mimi ninaidiwa?
Якщо я говоритиму, біль мій не стри́мається, а якщо перестану, що віді́йде від мене?
Та тепер ось Він змучив мене: Всю громаду мою Ти спусто́шив,
8 wewe umenifanya mimi kuchoka; wewe umeifanya familia yangu yote kuwa ukiwa. Wewe umenifanya mimi kukauka, ambayo yenyewe ni ushuhuda dhidi yangu mimi; kukonda kwa mwili wangu huinuka dhidi yangu, na kunashuhudia dhidi ya macho yangu.
і помо́рщив мене, і це стало за сві́дчення, і змарні́лість моя проти мене повстала, — і очеви́дьки мені докоряє!
9 Mungu amenirarua mimi katika ghadhabu yake na amenitesa mimi; Yeye amenisaga mimi kwa meno yake; Adui yangu amenikazia macho yake juu yangu kama yeye anavyonirarua mimi vipande.
Його гнів мене ша́рпає та ненави́дить мене, скрего́че на мене зубами своїми, мій ворог виго́стрює очі свої проти мене...
10 Watu wameachama na midomo iliyowazi juu yangu; wamenipiga mimi katika shavu kwa kunitukana; wamekusanyika pamoja kinyume changu mimi.
Вони па́щі свої роззявля́ють на мене, б'ють гане́бно по що́ках мене, збираються ра́зом на мене:
11 Mungu amenikabidhi mimi juu ya watu wasio mcha Mungu, na kunitupa mimi ndani ya mikono ya watu waovu.
Бог злочи́нцеві видав мене, і кинув у руки безбожних мене́.
12 Mimi nilikuwa katika wepesi, na yeye amenivunjavunja mimi vipande. Hakika, amenichukua mimi kwa shingo na ameniponda mimi vipande vipande; yeye pia ameniweka mimi juu kama shabaha yake.
Спокійний я був, — та тремтя́чим мене Він зробив. І за шию вхопи́в Він мене — й розторо́щив мене, та й поставив мене Собі ціллю:
13 Wapiga upinde wake wote wamenizunguka mimi; Mungu huzikata vipande vipande figo zangu, na haniokoi mimi; yeye humwaga nje nyongo yangu juu ya ardhi.
Його стрі́льці мене оточи́ли, розриває нирки́ мої Він не жалі́вши, мою жовч виливає на землю.
14 yeye hukanyaga kanyaga kupitia ukuta wangu tena na tena; yeye hukimbia juu yangu mimi kama shujaa.
Він робить пролі́м на проло́мі в мені, Він на мене біжить, як сила́ч.
15 nguo ya magunia juu ya ngozi yangu; Mimi nimeisukuma kwa nguvu pembe yangu ndani ya ardhi.
Вере́ту пошив я на шкіру свою та під по́рох знизи́в свою го́лову.
16 Uso wangu ni mwekundu na kuomboleza; juu ya ngozi inayofunika macho kuna kivuli cha mauti
Зашарі́лось обличчя моє від плачу́, й на пові́ках моїх залягла́ смертна тінь,
17 ingawa hakuna dhuluma katika mikono yangu, na kuomba kwangu ni safi.
хоч насильства немає в доло́нях моїх, і чи́ста молитва моя!
18 Nchi, haifuniki juu damu yangu mimi; acha kulia kwangu kuwe hakuna mahali pa kupumzika.
Не прикри́й, земле, крови моєї, і хай місця не буде для зо́йку мого́, —
19 Hata sasa, tazama, ushuhuda wangu uko mbinguni; yeye ambaye ashuhudiaye kwa ajili yangu mimi yuko juu.
бо тепер ось на небі мій Свідок, Самови́дець мій на висоті́.
20 Rafiki zangu wananicheka kwa dharau, lakini jicho langu linamwaga machozi kwa Mungu.
Глузли́вці мої, мої дру́зі, — моє око до Бога сльози́ть,
21 Mimi ninaomba ule ushuhuda ulioko mbinguni kumtetea mtu huyu na Mungu kama mwanadamu afanyavyo na jirani yake.
і нехай Він дозволить люди́ні змага́ння із Богом, як між сином лю́дським і ближнім його, —
22 Kwa maana wakati miaka michache itakapokuwa imepita, Mimi nitakwenda mahali ambapo mimi sitaweza kurudi.
бо почи́слені роки мину́ть, і піду́ я дорогою, та й не верну́сь.