< Ayubu 16 >
1 Ndipo Ayubu akajibu na kusema,
Wtedy Hiob odpowiedział:
2 “Mimi nimevisikia vitu hivyo vingi; ninyi nyote ni wafariji wenye kuhuzunisha.
Słyszałem wiele takich rzeczy; wy wszyscy jesteście przykrymi pocieszycielami.
3 Maneno yenye upuuzi daima yanaweza kuwa na mwisho? Nini kimeharibika kwenu kwamba mnajibu kama hivi?
Kiedy [będzie] koniec tych próżnych słów? Albo co cię skłania do tego, że tak odpowiadasz?
4 Mimi pia ningeweza kuzungumza kama ninyi mnavyofanya, kama ninyi mngekuwa katika nafasi yangu; Mimi ningekusanya na kuunganisha maneno pamoja dhidi yenu na kutikisa kichwa changu kwenu ninyi katika dhihaka.
Ja także mógłbym mówić jak wy; gdybyście byli w moim położeniu, mógłbym nagromadzić słów przeciwko wam i potrząsać głową nad wami.
5 Laiti, jinsi gani Mimi ningewatia moyo na midomo yangu! Jinsi gani faraja kutoka midomo yangu ingenga'risha huzuni yenu!
Ja jednak pokrzepiałbym was swoimi ustami i poruszanie moich warg ulżyłoby [waszym cierpieniom].
6 Ikiwa Mimi ninazungumza, kuomboleza kwangu hakujasikilizwa; Ikiwa nikiendelea katika kuzungumza, jinsi gani mimi ninaidiwa?
[Ale] jeśli będę mówił, mojemu bólowi to nie ulży, a jeśli przestanę, czyż opuści mnie?
A teraz zmęczył mnie. Spustoszyłeś całe moje zgromadzenie.
8 wewe umenifanya mimi kuchoka; wewe umeifanya familia yangu yote kuwa ukiwa. Wewe umenifanya mimi kukauka, ambayo yenyewe ni ushuhuda dhidi yangu mimi; kukonda kwa mwili wangu huinuka dhidi yangu, na kunashuhudia dhidi ya macho yangu.
Pomarszczyłeś mnie na świadectwo, a moje wychudzenie powstaje i świadczy przeciwko mnie w twarz.
9 Mungu amenirarua mimi katika ghadhabu yake na amenitesa mimi; Yeye amenisaga mimi kwa meno yake; Adui yangu amenikazia macho yake juu yangu kama yeye anavyonirarua mimi vipande.
Jego gniew [mnie] porwał, nienawidzi mnie; zgrzyta na mnie zębami. Mój wróg przeszywa mnie wzrokiem.
10 Watu wameachama na midomo iliyowazi juu yangu; wamenipiga mimi katika shavu kwa kunitukana; wamekusanyika pamoja kinyume changu mimi.
Otworzyli na mnie swe usta; znieważając, bili mnie po policzkach; zebrali się razem przeciwko mnie.
11 Mungu amenikabidhi mimi juu ya watu wasio mcha Mungu, na kunitupa mimi ndani ya mikono ya watu waovu.
Bóg wydał mnie przewrotnemu, oddał mnie w ręce niegodziwych.
12 Mimi nilikuwa katika wepesi, na yeye amenivunjavunja mimi vipande. Hakika, amenichukua mimi kwa shingo na ameniponda mimi vipande vipande; yeye pia ameniweka mimi juu kama shabaha yake.
Żyłem w spokoju, ale on mnie pokruszył; chwycił mnie za kark, roztrzaskał i postawił sobie za cel.
13 Wapiga upinde wake wote wamenizunguka mimi; Mungu huzikata vipande vipande figo zangu, na haniokoi mimi; yeye humwaga nje nyongo yangu juu ya ardhi.
Otoczyli mnie jego strzelcy; przeszywa moje nerki, a nie oszczędził; wylał na ziemię moją żółć.
14 yeye hukanyaga kanyaga kupitia ukuta wangu tena na tena; yeye hukimbia juu yangu mimi kama shujaa.
Rozbija mnie, ranę za raną; naciera na mnie jak olbrzym.
15 nguo ya magunia juu ya ngozi yangu; Mimi nimeisukuma kwa nguvu pembe yangu ndani ya ardhi.
Uszyłem wór na swoją skórę i prochem zbezcześciłem swój róg.
16 Uso wangu ni mwekundu na kuomboleza; juu ya ngozi inayofunika macho kuna kivuli cha mauti
Moja twarz jest czerwona od płaczu i na moich powiekach [jest] cień śmierci.
17 ingawa hakuna dhuluma katika mikono yangu, na kuomba kwangu ni safi.
Chociaż nie ma żadnej krzywdy na moich rękach, a moja modlitwa jest czysta.
18 Nchi, haifuniki juu damu yangu mimi; acha kulia kwangu kuwe hakuna mahali pa kupumzika.
Ziemio, nie zakrywaj mojej krwi i niech moje wołanie nie znajdzie miejsca!
19 Hata sasa, tazama, ushuhuda wangu uko mbinguni; yeye ambaye ashuhudiaye kwa ajili yangu mimi yuko juu.
Oto teraz mój świadek jest w niebie, mój obrońca na wysokości.
20 Rafiki zangu wananicheka kwa dharau, lakini jicho langu linamwaga machozi kwa Mungu.
Moi przyjaciele szydzą ze mnie, ale moje oko wylewa łzy ku Bogu.
21 Mimi ninaomba ule ushuhuda ulioko mbinguni kumtetea mtu huyu na Mungu kama mwanadamu afanyavyo na jirani yake.
Oby ktoś spierał się z Bogiem o człowieka jak człowiek [spiera się] o swego bliźniego!
22 Kwa maana wakati miaka michache itakapokuwa imepita, Mimi nitakwenda mahali ambapo mimi sitaweza kurudi.
Upłynie bowiem niewiele lat, a pójdę ścieżką, skąd nie powrócę.