< Ayubu 16 >

1 Ndipo Ayubu akajibu na kusema,
Na Job el topuk ac fahk,
2 “Mimi nimevisikia vitu hivyo vingi; ninyi nyote ni wafariji wenye kuhuzunisha.
“Nga lohng tari kain sramsram ingan meet; Ac kas in kasru lomtal ingan mwe na akkeok.
3 Maneno yenye upuuzi daima yanaweza kuwa na mwisho? Nini kimeharibika kwenu kwamba mnajibu kama hivi?
Mea, komtal ac sramsram na nwe tok? Ya komtal lungse in komtal na pa aksafye sramsram uh pacl nukewa?
4 Mimi pia ningeweza kuzungumza kama ninyi mnavyofanya, kama ninyi mngekuwa katika nafasi yangu; Mimi ningekusanya na kuunganisha maneno pamoja dhidi yenu na kutikisa kichwa changu kwenu ninyi katika dhihaka.
Funu komtal pa nga, ac nga pa komtal, Nga lukun ku pac in fahk ma nukewa komtal fahk ingan. Nga lukun usruk pac sifuk oana ngan pakomutomtal, Ac fahkot kas puspis in lain kowos.
5 Laiti, jinsi gani Mimi ningewatia moyo na midomo yangu! Jinsi gani faraja kutoka midomo yangu ingenga'risha huzuni yenu!
Nga lukun akkeye komtal ke kas in kasru, Ac srumun pacna kutu kas saya in akwoye komtal.
6 Ikiwa Mimi ninazungumza, kuomboleza kwangu hakujasikilizwa; Ikiwa nikiendelea katika kuzungumza, jinsi gani mimi ninaidiwa?
“Tusruktu kas nga fahk uh tiana kasreyu, Ac nga fin mutana tia kas, ac tia pacna aksrikyela mwaiok luk uh.
7 Lakini sasa, Mungu,
O God, kom oru nga arulana foroti; Kom tuh lela sou luk in anwukla.
8 wewe umenifanya mimi kuchoka; wewe umeifanya familia yangu yote kuwa ukiwa. Wewe umenifanya mimi kukauka, ambayo yenyewe ni ushuhuda dhidi yangu mimi; kukonda kwa mwili wangu huinuka dhidi yangu, na kunashuhudia dhidi ya macho yangu.
Kom kapriyuwi. Kom mwet lokoalok luk. Inge nga sri na kolo, Ac mwet uh pangon mu ma inge akpwayei lah oasr ma koluk luk.
9 Mungu amenirarua mimi katika ghadhabu yake na amenitesa mimi; Yeye amenisaga mimi kwa meno yake; Adui yangu amenikazia macho yake juu yangu kama yeye anavyonirarua mimi vipande.
“In kasrkusrak lal, God El eya kupasr nukewa ke monuk, El foloyak ac suiyuwi.
10 Watu wameachama na midomo iliyowazi juu yangu; wamenipiga mimi katika shavu kwa kunitukana; wamekusanyika pamoja kinyume changu mimi.
Mwet uh isrunyu; Elos kahkeni nu yuruk ac puok likintupuk.
11 Mungu amenikabidhi mimi juu ya watu wasio mcha Mungu, na kunitupa mimi ndani ya mikono ya watu waovu.
God El eisyuyang nu inpoun mwet koluk.
12 Mimi nilikuwa katika wepesi, na yeye amenivunjavunja mimi vipande. Hakika, amenichukua mimi kwa shingo na ameniponda mimi vipande vipande; yeye pia ameniweka mimi juu kama shabaha yake.
Nga tuh muta in misla, Na God El sruokya kwawuk; El puokyu nwe itungyuwi. El oreyu oana sie mwe lutlut pisr,
13 Wapiga upinde wake wote wamenizunguka mimi; Mungu huzikata vipande vipande figo zangu, na haniokoi mimi; yeye humwaga nje nyongo yangu juu ya ardhi.
Ac pisrik sukan pisr nu keik liki acn nukewa — Sukan pisr inge fakisyu ac kanteyuwi; Ne ouinge, el tiana luman pakomutuk.
14 yeye hukanyaga kanyaga kupitia ukuta wangu tena na tena; yeye hukimbia juu yangu mimi kama shujaa.
El nuna fakisyu na Oana sie mwet mweun ma wella ke srunga lal uh.
15 nguo ya magunia juu ya ngozi yangu; Mimi nimeisukuma kwa nguvu pembe yangu ndani ya ardhi.
“Nga asor ac nokomang nuknuk yohk eoa, Ac nga pituki na muta infohk uh, lip na pwaye.
16 Uso wangu ni mwekundu na kuomboleza; juu ya ngozi inayofunika macho kuna kivuli cha mauti
Nga tung nwe srusrala atronmutuk, Ac kulun mutuk fafwak ac inken tungla.
17 ingawa hakuna dhuluma katika mikono yangu, na kuomba kwangu ni safi.
Tusruktu nga tiana oru kutena ouiya sulallal, Ac nga pre nu sin God ke inse na pwaye.
18 Nchi, haifuniki juu damu yangu mimi; acha kulia kwangu kuwe hakuna mahali pa kupumzika.
“O Faclu, nimet okanla ma koluk ma orek nu sik! Nimet tulokinya pang luk ke nga suk nununku suwohs!
19 Hata sasa, tazama, ushuhuda wangu uko mbinguni; yeye ambaye ashuhudiaye kwa ajili yangu mimi yuko juu.
Aok pwayena, oasr mwet se inkusrao Su ac fah tuyak wiyu lac, ac kasreyu.
20 Rafiki zangu wananicheka kwa dharau, lakini jicho langu linamwaga machozi kwa Mungu.
Mwet kawuk luk inge elos aksruksrukeyu; Ac sronin mutuk kahkla nu sin God.
21 Mimi ninaomba ule ushuhuda ulioko mbinguni kumtetea mtu huyu na Mungu kama mwanadamu afanyavyo na jirani yake.
Nga ke sie mwet ah in kwafe sin God keik, Oana ke sie mwet el kwafe ke mwet kawuk lal.
22 Kwa maana wakati miaka michache itakapokuwa imepita, Mimi nitakwenda mahali ambapo mimi sitaweza kurudi.
Yac luk somsomlana, Ac nga fahsr ke soko inkanek ma nga tia ku in foloko we me.

< Ayubu 16 >