< Ayubu 16 >

1 Ndipo Ayubu akajibu na kusema,
Ket simmungbat ni Job ket kinunana,
2 “Mimi nimevisikia vitu hivyo vingi; ninyi nyote ni wafariji wenye kuhuzunisha.
“Nakanggegakon kadagiti adu a kakasta a banbanag; nakaay-ay-aykayo amin a mangliwliwa.
3 Maneno yenye upuuzi daima yanaweza kuwa na mwisho? Nini kimeharibika kwenu kwamba mnajibu kama hivi?
Addanto kadi paggibusan dagiti awan serserbina a sasao? Ania ti parikutmo ta sumungbatka a kas iti daytoy?
4 Mimi pia ningeweza kuzungumza kama ninyi mnavyofanya, kama ninyi mngekuwa katika nafasi yangu; Mimi ningekusanya na kuunganisha maneno pamoja dhidi yenu na kutikisa kichwa changu kwenu ninyi katika dhihaka.
Mabalinko met ti agsao a kas kadakayo, no addakayo iti saadko; Mabalinko nga urnongen ken pagtitiponen dagiti sasao a maibusor kadakayo ken agwingiwingak kadakayo iti pananglais.
5 Laiti, jinsi gani Mimi ningewatia moyo na midomo yangu! Jinsi gani faraja kutoka midomo yangu ingenga'risha huzuni yenu!
O, kasano a pabilgenkayo babaen ti ngiwatko! Kasano a pabang-aren ti panangliwliwa dagiti bibigko ti ladingityo!
6 Ikiwa Mimi ninazungumza, kuomboleza kwangu hakujasikilizwa; Ikiwa nikiendelea katika kuzungumza, jinsi gani mimi ninaidiwa?
No agsaoak, saan a mabang-aran ti ladingitko; no isardengko ti agsasao, kasano a matulonganak?
7 Lakini sasa, Mungu,
Ngem ita O Dios, binannognak; binaybay-am amin a pamiliak.
8 wewe umenifanya mimi kuchoka; wewe umeifanya familia yangu yote kuwa ukiwa. Wewe umenifanya mimi kukauka, ambayo yenyewe ni ushuhuda dhidi yangu mimi; kukonda kwa mwili wangu huinuka dhidi yangu, na kunashuhudia dhidi ya macho yangu.
Pinagkuretretnak, a maysa a saksi a maibusor kaniak; tumakder ti kinakuttong ti bagik a maibusor kaniak, ken agsaksi daytoy a maibusor iti rupak.
9 Mungu amenirarua mimi katika ghadhabu yake na amenitesa mimi; Yeye amenisaga mimi kwa meno yake; Adui yangu amenikazia macho yake juu yangu kama yeye anavyonirarua mimi vipande.
Pinirsa-pirsaynak ti Dios iti pungtotna ken indadanesnak; Pinagngarietannak babaen ti ngipenna; pinatadem ti kabusorko dagiti matana kabayatan pirpirsayennak.
10 Watu wameachama na midomo iliyowazi juu yangu; wamenipiga mimi katika shavu kwa kunitukana; wamekusanyika pamoja kinyume changu mimi.
Ginuyabandak dagiti tattao; tinungpadak a siuumsi; naguummongda a maibusor kaniak.
11 Mungu amenikabidhi mimi juu ya watu wasio mcha Mungu, na kunitupa mimi ndani ya mikono ya watu waovu.
Inyawatnak ti Dios kadagiti saan a nadiosan a tattao ken impurruaknak kadagiti ima dagiti nadangkes a tattao.
12 Mimi nilikuwa katika wepesi, na yeye amenivunjavunja mimi vipande. Hakika, amenichukua mimi kwa shingo na ameniponda mimi vipande vipande; yeye pia ameniweka mimi juu kama shabaha yake.
Natalnaak idi, ket binuraknak. Wen, binekkelnak ken indumudomnak a napirsa-pirsay; insaadnak pay a kas pagpuntaan.
13 Wapiga upinde wake wote wamenizunguka mimi; Mungu huzikata vipande vipande figo zangu, na haniokoi mimi; yeye humwaga nje nyongo yangu juu ya ardhi.
Palpalawlawandak dagiti pumapanana; tudtudoken ti Dios dagiti bekkelko, ken dinak kinaassian; imbukbokna ti aprok iti rabaw ti daga.
14 yeye hukanyaga kanyaga kupitia ukuta wangu tena na tena; yeye hukimbia juu yangu mimi kama shujaa.
Burburakenna ti didingko iti paulit-ulit; tumaray isuna nga umay kaniak a kasla maysa a mannakigubat.
15 nguo ya magunia juu ya ngozi yangu; Mimi nimeisukuma kwa nguvu pembe yangu ndani ya ardhi.
Nangidaitak iti nakirsang a lupot iti rabaw ti kudilko; Intudokko ti sarak iti rabaw iti daga.
16 Uso wangu ni mwekundu na kuomboleza; juu ya ngozi inayofunika macho kuna kivuli cha mauti
Nalabaga ti rupak iti panagsangsangit; adda kadagiti kalub ti matak ti aniniwan ni patay
17 ingawa hakuna dhuluma katika mikono yangu, na kuomba kwangu ni safi.
uray no awan ti kinaranggas kadagiti imak, ken nadalus ti kararagko.
18 Nchi, haifuniki juu damu yangu mimi; acha kulia kwangu kuwe hakuna mahali pa kupumzika.
O daga, saanmo nga abbongan ti darak; awan koma ti disso a paginanaan ti asugko.
19 Hata sasa, tazama, ushuhuda wangu uko mbinguni; yeye ambaye ashuhudiaye kwa ajili yangu mimi yuko juu.
Uray ita, adtoy, ti saksik ket adda iti langit; ti mangikalintegan kaniak ket adda iti ngato.
20 Rafiki zangu wananicheka kwa dharau, lakini jicho langu linamwaga machozi kwa Mungu.
Uy-uyawendak dagiti gagayyemko, ngem agar-arubos ti lulua dagiti matak iti Dios.
21 Mimi ninaomba ule ushuhuda ulioko mbinguni kumtetea mtu huyu na Mungu kama mwanadamu afanyavyo na jirani yake.
Dawatek iti dayta a saksi iti langit nga ikalinteganna daytoy a tao iti Dios a kas ti ar-aramiden ti maysa a tao iti kaarubana!
22 Kwa maana wakati miaka michache itakapokuwa imepita, Mimi nitakwenda mahali ambapo mimi sitaweza kurudi.
Ta no lumabas dagiti sumagmamano a tawtawen, mapanakto iti disso a saanakton a makasubli.

< Ayubu 16 >