< Ayubu 16 >
1 Ndipo Ayubu akajibu na kusema,
and to answer Job and to say
2 “Mimi nimevisikia vitu hivyo vingi; ninyi nyote ni wafariji wenye kuhuzunisha.
to hear: hear like/as these many to be sorry: comfort trouble all your
3 Maneno yenye upuuzi daima yanaweza kuwa na mwisho? Nini kimeharibika kwenu kwamba mnajibu kama hivi?
end to/for word spirit: breath or what? be sick you for to answer
4 Mimi pia ningeweza kuzungumza kama ninyi mnavyofanya, kama ninyi mngekuwa katika nafasi yangu; Mimi ningekusanya na kuunganisha maneno pamoja dhidi yenu na kutikisa kichwa changu kwenu ninyi katika dhihaka.
also I like/as you to speak: speak if there soul: myself your underneath: instead soul: myself my to unite upon you in/on/with speech and to shake upon you in/at/by head my
5 Laiti, jinsi gani Mimi ningewatia moyo na midomo yangu! Jinsi gani faraja kutoka midomo yangu ingenga'risha huzuni yenu!
to strengthen you in/at/by lip my and solace lips my to withhold
6 Ikiwa Mimi ninazungumza, kuomboleza kwangu hakujasikilizwa; Ikiwa nikiendelea katika kuzungumza, jinsi gani mimi ninaidiwa?
if to speak: speak not to withhold pain my and to cease what? from me to go: went
surely now be weary me be desolate: destroyed all congregation my
8 wewe umenifanya mimi kuchoka; wewe umeifanya familia yangu yote kuwa ukiwa. Wewe umenifanya mimi kukauka, ambayo yenyewe ni ushuhuda dhidi yangu mimi; kukonda kwa mwili wangu huinuka dhidi yangu, na kunashuhudia dhidi ya macho yangu.
and to seize me to/for witness to be and to arise: attack in/on/with me lie my in/on/with face my to answer
9 Mungu amenirarua mimi katika ghadhabu yake na amenitesa mimi; Yeye amenisaga mimi kwa meno yake; Adui yangu amenikazia macho yake juu yangu kama yeye anavyonirarua mimi vipande.
face: anger his to tear and to hate me to grind upon me in/on/with tooth his enemy my to sharpen eye his to/for me
10 Watu wameachama na midomo iliyowazi juu yangu; wamenipiga mimi katika shavu kwa kunitukana; wamekusanyika pamoja kinyume changu mimi.
to open upon me in/on/with lip their in/on/with reproach to smite jaw my unitedness upon me to fill [emph?]
11 Mungu amenikabidhi mimi juu ya watu wasio mcha Mungu, na kunitupa mimi ndani ya mikono ya watu waovu.
to shut me God to(wards) unjust one and upon hand wicked to wring me
12 Mimi nilikuwa katika wepesi, na yeye amenivunjavunja mimi vipande. Hakika, amenichukua mimi kwa shingo na ameniponda mimi vipande vipande; yeye pia ameniweka mimi juu kama shabaha yake.
at ease to be and to break me and to grasp in/on/with neck my and to shatter me and to arise: establish me to/for him to/for guardhouse
13 Wapiga upinde wake wote wamenizunguka mimi; Mungu huzikata vipande vipande figo zangu, na haniokoi mimi; yeye humwaga nje nyongo yangu juu ya ardhi.
to turn: surround upon me archer his to cleave kidney my and not to spare to pour: pour to/for land: soil gall my
14 yeye hukanyaga kanyaga kupitia ukuta wangu tena na tena; yeye hukimbia juu yangu mimi kama shujaa.
to break through me breach upon face of breach to run: run upon me like/as mighty man
15 nguo ya magunia juu ya ngozi yangu; Mimi nimeisukuma kwa nguvu pembe yangu ndani ya ardhi.
sackcloth to sew upon skin my and to thrust in/on/with dust horn my
16 Uso wangu ni mwekundu na kuomboleza; juu ya ngozi inayofunika macho kuna kivuli cha mauti
face my (be red *Q(K)*) from weeping and upon eyelid my shadow
17 ingawa hakuna dhuluma katika mikono yangu, na kuomba kwangu ni safi.
upon not violence in/on/with palm my and prayer my pure
18 Nchi, haifuniki juu damu yangu mimi; acha kulia kwangu kuwe hakuna mahali pa kupumzika.
land: soil not to cover blood my and not to be place to/for outcry my
19 Hata sasa, tazama, ushuhuda wangu uko mbinguni; yeye ambaye ashuhudiaye kwa ajili yangu mimi yuko juu.
also now behold in/on/with heaven witness my and advocate my in/on/with height
20 Rafiki zangu wananicheka kwa dharau, lakini jicho langu linamwaga machozi kwa Mungu.
to mock me neighbor my to(wards) god to drip eye my
21 Mimi ninaomba ule ushuhuda ulioko mbinguni kumtetea mtu huyu na Mungu kama mwanadamu afanyavyo na jirani yake.
and to rebuke to/for great man with god and son: child man to/for neighbor his
22 Kwa maana wakati miaka michache itakapokuwa imepita, Mimi nitakwenda mahali ambapo mimi sitaweza kurudi.
for year number to come and way not to return: return to go: went