< Ayubu 16 >
1 Ndipo Ayubu akajibu na kusema,
Тогава Иов в отговор рече:
2 “Mimi nimevisikia vitu hivyo vingi; ninyi nyote ni wafariji wenye kuhuzunisha.
Много такива неща съм слушал; Окаяни утешители сте всички.
3 Maneno yenye upuuzi daima yanaweza kuwa na mwisho? Nini kimeharibika kwenu kwamba mnajibu kama hivi?
Свършват ли се празните думи? Или що ти дава смелост, та отговаряш?
4 Mimi pia ningeweza kuzungumza kama ninyi mnavyofanya, kama ninyi mngekuwa katika nafasi yangu; Mimi ningekusanya na kuunganisha maneno pamoja dhidi yenu na kutikisa kichwa changu kwenu ninyi katika dhihaka.
И аз можех да говоря като вас; Ако беше вашата душа на мястото на моята душа, Можех да натрупам думи против вас И да клатя глава против вас.
5 Laiti, jinsi gani Mimi ningewatia moyo na midomo yangu! Jinsi gani faraja kutoka midomo yangu ingenga'risha huzuni yenu!
Но аз бих ви подкрепил с устата си, И утехата си от устните ми би олекчила скръбта ви.
6 Ikiwa Mimi ninazungumza, kuomboleza kwangu hakujasikilizwa; Ikiwa nikiendelea katika kuzungumza, jinsi gani mimi ninaidiwa?
Ако говоря, болката ми не олеква; И ако мълча, до колко съм по-на покой?
Но сега Той ме много умори; Ти запусти цялото ми семейство.
8 wewe umenifanya mimi kuchoka; wewe umeifanya familia yangu yote kuwa ukiwa. Wewe umenifanya mimi kukauka, ambayo yenyewe ni ushuhuda dhidi yangu mimi; kukonda kwa mwili wangu huinuka dhidi yangu, na kunashuhudia dhidi ya macho yangu.
Набръчкал си ме в свидетелство против мене; И мършавостта ми се издига срещу мене И заявява в лицето ми.
9 Mungu amenirarua mimi katika ghadhabu yake na amenitesa mimi; Yeye amenisaga mimi kwa meno yake; Adui yangu amenikazia macho yake juu yangu kama yeye anavyonirarua mimi vipande.
Разкъсва ме в гнева Си, и ме мрази; Скърца със зъбите Си против мене; Неприятелят ми остри очите си върху мене.
10 Watu wameachama na midomo iliyowazi juu yangu; wamenipiga mimi katika shavu kwa kunitukana; wamekusanyika pamoja kinyume changu mimi.
Зяпат против мене с устата си, Удрят ме по челюстта с хулене, Трупат се всички против мене.
11 Mungu amenikabidhi mimi juu ya watu wasio mcha Mungu, na kunitupa mimi ndani ya mikono ya watu waovu.
Бог ме предаде на неправедния, И ме хвърли в ръцете на нечестивите.
12 Mimi nilikuwa katika wepesi, na yeye amenivunjavunja mimi vipande. Hakika, amenichukua mimi kwa shingo na ameniponda mimi vipande vipande; yeye pia ameniweka mimi juu kama shabaha yake.
Бях в охолност, но Той ме разкъса, Дори хвана ме за врата и строши ме, И постави ме за Своя прицел.
13 Wapiga upinde wake wote wamenizunguka mimi; Mungu huzikata vipande vipande figo zangu, na haniokoi mimi; yeye humwaga nje nyongo yangu juu ya ardhi.
Стрелците Му ме обиколиха; Пронизва бъбреците ми, и не щади; Излива жлъчката ми на земята.
14 yeye hukanyaga kanyaga kupitia ukuta wangu tena na tena; yeye hukimbia juu yangu mimi kama shujaa.
Съсипва ме с удар върху удар; Спуска се върху мене като исполин.
15 nguo ya magunia juu ya ngozi yangu; Mimi nimeisukuma kwa nguvu pembe yangu ndani ya ardhi.
Вретище съших върху кожата си, И окалях рога си в пръстта.
16 Uso wangu ni mwekundu na kuomboleza; juu ya ngozi inayofunika macho kuna kivuli cha mauti
Лицето ми подпухна от плач, И мрачна сянка има върху клепачите ми,
17 ingawa hakuna dhuluma katika mikono yangu, na kuomba kwangu ni safi.
Ако и да няма неправда в ръцете ми, И да е чиста молитвата ми.
18 Nchi, haifuniki juu damu yangu mimi; acha kulia kwangu kuwe hakuna mahali pa kupumzika.
О земле, не покривай кръвта ми! И за вика ми да няма място за почивка.
19 Hata sasa, tazama, ushuhuda wangu uko mbinguni; yeye ambaye ashuhudiaye kwa ajili yangu mimi yuko juu.
Ето и сега, свидетелят ми е на небеса, И свидетелството ми във височините.
20 Rafiki zangu wananicheka kwa dharau, lakini jicho langu linamwaga machozi kwa Mungu.
Моите приятели ми се присмиват; Но окото ми рони сълзи към Бога,
21 Mimi ninaomba ule ushuhuda ulioko mbinguni kumtetea mtu huyu na Mungu kama mwanadamu afanyavyo na jirani yake.
Дано Той сам защити човека пред Бога. И човешкия син пред ближния му!
22 Kwa maana wakati miaka michache itakapokuwa imepita, Mimi nitakwenda mahali ambapo mimi sitaweza kurudi.
Защото като се изминат малко години Аз ще отида на път, отгдето няма да се върна.