< Ayubu 15 >

1 Ndipo Elifazi Mtemani alijibu na kusema,
І відповів теманянин Еліфа́з та й сказав:
2 Mtu mwenye hekima anapaswa kujibu kwa maarifa yasiyofaa na kujijaza mwenyewe na upepo wa mashariki?
„Чи відповідатиме мудра люди́на знання́м вітряни́м, і східнім вітром напо́внить утробу свою?
3 Anapaswa kuhojiana na mazungumzo yasiyo na faida au na hotuba ambazo kwa hizo yeye hawezi kufanya mema?
Бу́де виправдуватися тим словом, що не надається, чи тими реча́ми, що пожитку немає від них?
4 Dhahiri, wewe wafifisha heshima ya Mungu; Wewe wazuia heshima kwa yeye,
Ти страх Божий руйнуєш тако́ж, і пусто́шиш молитву до Бога,
5 kwa maana uovu wako hufundisha midomo yako; Wewe wachagua kuwa na ulimi wa mtu mwenye hila.
бо навчає провина твоя — твої уста, і ти вибираєш собі язика хитрунів.
6 Mdomo wako mwenyewe hukukukumu wewe, siyo wangu; hakika, midomo yako mwenyewe hushuhudia dhidi yako wewe.
Оскаржа́ють тебе твої уста, не я, й твої губи свідкують на те́бе:
7 Je, wewe ni mwanadamu wa kwanza ambaye aliyezaliwa? Wewe ulikuwepo kabla ya vilima kuwepo?
Чи ти народився люди́ною першою, чи раніше, ніж згі́р'я, ти ство́рений?
8 Wewe Umewahi kusikia maarifa ya siri ya Mungu? Je, wewe wajihesabia mwenye hekima wewe mwenyewe?
Чи ти слухав у Божій таємній нара́ді, та мудрість для себе забрав?
9 Ni kitu gani unachokifahamu wewe ambacho sisi hatukijui? Ni kitu gani unachokifahamu wewe ambacho hakiko katika sisi?
Що ти знаєш, чого б ми не знали? Що ти зрозумів, — і не з нами воно?
10 Pamoja nasi wapo pia wenye mvi na watu wazee sana ambao ni wazee zaidi kuliko baba yako.
Поміж нами і сивий, ото́й і старий, старший днями від ба́тька твого́.
11 Je, faraja ya Mungu ni ndogo sana kwako, maneno ambayo ni ya upole dhidi yako wewe?
Чи мало для тебе — поті́шення Божі та слово, яке Він сховав у тобі́?
12 Kwa nini moyo wako wewe unakupeleka mbali? Kwa nini macho yako yananga'ra,
Чого то підно́сить тебе твоє серце, й які то знаки́ твої очі дають,
13 ili ya kwamba kuirejesha roho yako kwa Mungu na kuyatoa maneno hayo kutoka katika mdomo wako?
що на Бога зверта́єш ти духа свого́, і з своїх уст випускаєш подібні слова́?
14 Je, mwanadamu yeye ni nini kwamba yeye anapaswa kuwa safi? Yeye mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke ni nini kwamba yeye anapaswa awe mwenye haki?
Що таке чоловік, щоб опра́вданим бути, і щоб був справедливим від жінки наро́джений?
15 Tazama, Mungu haweki tumaini lake hata kwa mmoja wake aliye mtakatifu; Hakika, mbingu haziko safi machoni pake yeye;
Таж Він на́віть святим Своїм не довіря́є, і не опра́вдані в о́чах Його небеса́, —
16 jinsi gani asivyo safi ni mmoja aliye mbaya na mla rushwa, mtu ambaye hunywa uovu kama maji!
що ж тоді чоловік той бридки́й та зіпсутий, що п'є кривду, як воду?
17 Mimi nitakuonyesha wewe; Nisikilize mimi; Mimi nitakutangazia wewe vitu ambavyo nimeviona,
Я тобі розповім, — ти послухай мене, а що бачив, то те розкажу́,
18 vitu ambavyo watu wenye hekima wamepita chini yake kutoka kwa baba zao, vile vitu ambavyo mababu zao hawakuvificha.
про що мудрі доне́сли та від батьків своїх не затаїли того, —
19 Hawa walikuwa mababu zao, ambao kwao pekee nchi walipewa, na miongoni mwao hakuna mgeni aliyepita.
їм самим була да́на земля, і не прихо́див чужий поміж них.
20 Mtu mwovu hupitia katika maumivu siku zake zote, idadi ya miaka iliyowekwa juu kwa mtesaji kuteseka.
Безбожний тремти́ть по всі дні, а наси́льникові мало років захо́вано.
21 Sauti ya vitisho katika masikio yake; pindi yeye yuko katika kufanikiwa, mharibu atakuja juu yake yeye.
Вереск жа́хів — у нього в уша́х, серед ми́ру прихо́дить на нього грабі́жник.
22 Yeye hafikiri kwamba yeye atarudi kutoka katika giza; Upanga humngojea yeye.
Він не вірить, що ве́рнеться від темноти́, й він вичі́кується для меча́.
23 Yeye huenda sehemu mbali mbali kwa ajili ya mkate, akisema, 'Kiko wapi? ' Yeye anatambua kuwa siku ya giza iko mkononi.
Він мандру́є за хлібом, — та де він? Знає він, що для нього встано́влений день темноти́.
24 Dhiki na mateso makali humfanya aogope; wao hushinda dhidi yake yeye, kama mfalme tayari kwa vita.
Страша́ть його у́тиск та гно́блення, хапають його, немов цар, що готовий до бо́ю,
25 Kwa sababu yeye ameunyosha mkono wake dhidi ya Mungu na ameishi kwa kiburi dhidi ya aliye mkuu,
бо руку свою простягав він на Бога, і повставав на Всемогу́тнього,
26 huyu mtu mwovu hukimbia kwa Mungu na shingo ngumu, kwa vifundo vikubwa vya ngao.
проти Нього твердо́ю він шиєю бігав, товсти́ми хребта́ми щитів своїх.
27 Hii ni kweli, hata ingawa yeye amefunika uso wake kwa mafuta yake na amekusanya mafuta juu ya viuno vyake,
Бо закрив він обличчя своє своїм салом, і бо́ки обклав своїм жиром,
28 na ameishi katika miji yenye ukiwa; katika nyumba ambazo hakuna mwanadamu anayeishi humo sasa na ambazo zilikuwa tayari kuwa magofu.
і сидів у міста́х поруйно́ваних, у дома́х тих, що в них не сидять, що на купи каміння призна́чені.
29 Yeye hatakuwa tajiri; utajiri wake yeye hautadumu; hata kivuli chake hakitadumu katika nchi.
Він не буде багатий, і не всто́їться сила його, і по землі не поши́ряться їхні маєтки.
30 Yeye hatatoka nje ya giza; mwali wa moto utakausha matawi yake; katika pumzi ya kinywa cha Mungu yeye ataenda zake.
Не всту́питься з те́мности він, по́лум'я висушить па́рост його, й духом уст Його буде він схо́плений.
31 Mwacheni yeye asitumaini katika vitu visivyofanya kazi, akijidanganya yeye mwenyewe; maana upuuzi utakuwa mshahara wake yeye.
Хай не вірить в марно́ту заблу́каний, бо марно́тою буде заплата йому́, —
32 Itatokea kabla ya wakati wake yeye atapaswa kufa; tawi lake halitakuwa kijani.
вона ви́повниться не за днів його, а його верхові́ття не буде зелене!
33 Yeye atazipukutisha zabibu zake zisizovunwa kama mzabibu; yeye atayaondoa maua yake kama mti wa mzeituni.
Поскидає наси́ллям, немов виноград, недозрілість свою, поро́нить він квіття своє, як оливка, —
34 Kwa maana msaada wa watu wasiomcha Mungu utakuwa tasa; moto utateketeza hema za rushwa.
бо збори безбожних спусто́шені будуть, а огонь пожере́ дім хаба́рника:
35 Wao wanabeba mimba yenye ubaya na kuzaa uovu; tumbo lao hutunga mimba ya udanganifu.
він злом вагітні́є, й породить марно́ту, й ома́ну готує утро́ба його“.

< Ayubu 15 >