< Ayubu 15 >

1 Ndipo Elifazi Mtemani alijibu na kusema,
and to answer Eliphaz [the] Temanite and to say
2 Mtu mwenye hekima anapaswa kujibu kwa maarifa yasiyofaa na kujijaza mwenyewe na upepo wa mashariki?
wise to answer knowledge spirit: breath and to fill east belly: abdomen his
3 Anapaswa kuhojiana na mazungumzo yasiyo na faida au na hotuba ambazo kwa hizo yeye hawezi kufanya mema?
to rebuke in/on/with word: speaking not be useful and speech not to gain in/on/with them
4 Dhahiri, wewe wafifisha heshima ya Mungu; Wewe wazuia heshima kwa yeye,
also you(m. s.) to break fear and to dimish meditation to/for face: before God
5 kwa maana uovu wako hufundisha midomo yako; Wewe wachagua kuwa na ulimi wa mtu mwenye hila.
for to teach/learn iniquity: crime your lip your and to choose tongue prudent
6 Mdomo wako mwenyewe hukukukumu wewe, siyo wangu; hakika, midomo yako mwenyewe hushuhudia dhidi yako wewe.
be wicked you lip your and not I and lips your to answer in/on/with you
7 Je, wewe ni mwanadamu wa kwanza ambaye aliyezaliwa? Wewe ulikuwepo kabla ya vilima kuwepo?
first man to beget and to/for face: before hill to twist: give birth
8 Wewe Umewahi kusikia maarifa ya siri ya Mungu? Je, wewe wajihesabia mwenye hekima wewe mwenyewe?
in/on/with counsel god to hear: hear and to dimish to(wards) you wisdom
9 Ni kitu gani unachokifahamu wewe ambacho sisi hatukijui? Ni kitu gani unachokifahamu wewe ambacho hakiko katika sisi?
what? to know and not to know to understand and not with us he/she/it
10 Pamoja nasi wapo pia wenye mvi na watu wazee sana ambao ni wazee zaidi kuliko baba yako.
also be gray also aged in/on/with us mighty from father your day: old
11 Je, faraja ya Mungu ni ndogo sana kwako, maneno ambayo ni ya upole dhidi yako wewe?
little from you consolation God and word to/for softly with you
12 Kwa nini moyo wako wewe unakupeleka mbali? Kwa nini macho yako yananga'ra,
what? to take: take you heart your and what? to flash [emph?] eye your
13 ili ya kwamba kuirejesha roho yako kwa Mungu na kuyatoa maneno hayo kutoka katika mdomo wako?
for to return: turn back to(wards) God spirit your and to come out: speak from lip your speech
14 Je, mwanadamu yeye ni nini kwamba yeye anapaswa kuwa safi? Yeye mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke ni nini kwamba yeye anapaswa awe mwenye haki?
what? human for to clean and for to justify to beget woman
15 Tazama, Mungu haweki tumaini lake hata kwa mmoja wake aliye mtakatifu; Hakika, mbingu haziko safi machoni pake yeye;
look! (in/on/with holy his *Q(K)*) not be faithful and heaven not be clean in/on/with eye: seeing his
16 jinsi gani asivyo safi ni mmoja aliye mbaya na mla rushwa, mtu ambaye hunywa uovu kama maji!
also for to abhor and to corrupt man to drink like/as water injustice
17 Mimi nitakuonyesha wewe; Nisikilize mimi; Mimi nitakutangazia wewe vitu ambavyo nimeviona,
to explain you to hear: hear to/for me and this to see and to recount
18 vitu ambavyo watu wenye hekima wamepita chini yake kutoka kwa baba zao, vile vitu ambavyo mababu zao hawakuvificha.
which wise to tell and not to hide from father their
19 Hawa walikuwa mababu zao, ambao kwao pekee nchi walipewa, na miongoni mwao hakuna mgeni aliyepita.
to/for them to/for alone them to give: give [the] land: country/planet and not to pass be a stranger in/on/with midst their
20 Mtu mwovu hupitia katika maumivu siku zake zote, idadi ya miaka iliyowekwa juu kwa mtesaji kuteseka.
all day wicked he/she/it to twist: writh in pain and number year to treasure to/for ruthless
21 Sauti ya vitisho katika masikio yake; pindi yeye yuko katika kufanikiwa, mharibu atakuja juu yake yeye.
voice: sound dread in/on/with ear his in/on/with peace: well-being to ruin to come (in): come him
22 Yeye hafikiri kwamba yeye atarudi kutoka katika giza; Upanga humngojea yeye.
not be faithful to return: return from darkness (and to watch *Q(k)*) he/she/it to(wards) sword
23 Yeye huenda sehemu mbali mbali kwa ajili ya mkate, akisema, 'Kiko wapi? ' Yeye anatambua kuwa siku ya giza iko mkononi.
to wander he/she/it to/for food: bread where? to know for to establish: prepare in/on/with hand his day darkness
24 Dhiki na mateso makali humfanya aogope; wao hushinda dhidi yake yeye, kama mfalme tayari kwa vita.
to terrify him distress and distress to prevail him like/as king ready to/for battle
25 Kwa sababu yeye ameunyosha mkono wake dhidi ya Mungu na ameishi kwa kiburi dhidi ya aliye mkuu,
for to stretch to(wards) God hand his and to(wards) Almighty to prevail
26 huyu mtu mwovu hukimbia kwa Mungu na shingo ngumu, kwa vifundo vikubwa vya ngao.
to run: run to(wards) him in/on/with neck in/on/with thickness back/rim/brow shield his
27 Hii ni kweli, hata ingawa yeye amefunika uso wake kwa mafuta yake na amekusanya mafuta juu ya viuno vyake,
for to cover face his in/on/with fat his and to make excess fat upon loin
28 na ameishi katika miji yenye ukiwa; katika nyumba ambazo hakuna mwanadamu anayeishi humo sasa na ambazo zilikuwa tayari kuwa magofu.
and to dwell city to hide house: home not to dwell to/for them which be ready to/for heap
29 Yeye hatakuwa tajiri; utajiri wake yeye hautadumu; hata kivuli chake hakitadumu katika nchi.
not to enrich and not to arise: establish strength: rich his and not to stretch to/for land: country/planet gain their
30 Yeye hatatoka nje ya giza; mwali wa moto utakausha matawi yake; katika pumzi ya kinywa cha Mungu yeye ataenda zake.
not to turn aside: depart from darkness shoot his to wither flame and to turn aside: depart in/on/with spirit: breath lip his
31 Mwacheni yeye asitumaini katika vitu visivyofanya kazi, akijidanganya yeye mwenyewe; maana upuuzi utakuwa mshahara wake yeye.
not be faithful (in/on/with vanity: vain *Q(K)*) to go astray for vanity: vain to be exchange his
32 Itatokea kabla ya wakati wake yeye atapaswa kufa; tawi lake halitakuwa kijani.
in/on/with not day his to fill and branch his not be fresh
33 Yeye atazipukutisha zabibu zake zisizovunwa kama mzabibu; yeye atayaondoa maua yake kama mti wa mzeituni.
to injure like/as vine unripe grape his and to throw like/as olive flower his
34 Kwa maana msaada wa watu wasiomcha Mungu utakuwa tasa; moto utateketeza hema za rushwa.
for congregation profane solitary and fire to eat tent bribe
35 Wao wanabeba mimba yenye ubaya na kuzaa uovu; tumbo lao hutunga mimba ya udanganifu.
to conceive trouble and to beget evil: wickedness and belly: womb their to establish: prepare deceit

< Ayubu 15 >