< Ayubu 14 >
1 Mwanadamu, ambaye amezaliwa na mwanamke, huishi siku chache tu na amejaa mahangaiko.
Człowiek, urodzony przez kobietę, ma dni niewiele i ma pełno kłopotów;
2 Yeye huchanua kutoka katika ardhi kama ua na kukatwa chini; yeye hukimbia kama kivuli na hawezi kudumu.
Wyrasta jak kwiat i zostaje podcięty, znika jak cień i się nie ostaje.
3 Je, wewe unatazama chochote katika hivi? Mnanileta mimi hukumuni pamoja nanyi?
A jednak na takiego otwierasz swoje oczy i wzywasz mnie przed siebie na sąd.
4 Ni nani anayeweza kukileta kitu safi kutoka katika kitu kichafu? Hakuna awaye yote.
Któż może wydobyć czystego z nieczystego? Ani jeden.
5 Siku za mwanadamu zimeamriwa. Idadi ya miezi yake unayo wewe; umekiweka kikomo chake ambacho hawezi kukivuka.
Gdyż jego dni są ustalone, liczba jego miesięcy jest u ciebie; wyznaczyłeś mu kres, którego nie może przekroczyć.
6 Tazama mbali kutoka kwake kwamba yeye aweze kupumzika, ili kwamba aweze kufurahia siku yake kama mtu aliyekodishwa kama yeye anaweza kufanya hivyo.
Odstąp od niego, aby odpoczął, aż zakończy swój dzień jak najemnik.
7 Kunaweza kuwa na tumaini kwa mti; kama ukikatwa chini, unaweza kuchipua tena, hivyo chipukizi lake halitapotea.
[Dla] drzewa bowiem jest nadzieja, choć je wytną, że znowu odrośnie, że jego latorośl nie ustanie.
8 Japokuwa mizizi yake inakua na kuzeeka katika ardhi, na shina lake kufa katika udongo,
Choć jego korzeń zestarzeje się w ziemi i jego pień umrze w prochu;
9 hata kama bado lina harufu ya maji pekee, litachipua tena na kutoa nje matawi kama mche.
[To jednak] gdy poczuje wodę, odrasta i rozpuszcza gałęzie jak sadzonka.
10 Lakini mwanadamu hufa; yeye huwa dhaifu; haswaa, mwanadamu hukoma kupumua, na tena yuko wapi yeye?
Ale człowiek umiera i marnieje; a gdy oddaje ducha, gdzie on jest?
11 Kama maji yanavyopotea kutoka ziwani, na kama vile mto upotezavyo maji na kukauka,
Jak ubywa wód z morza i rzeka opada, i wysycha;
12 vivyo hivyo watu hulala chini na hawaamki tena. Mpaka pale mbingu zitakapokuwa hazipo tena, hawataamka wala kuamshwa kutoka katika kulala kwao.
Tak jest z człowiekiem, gdy się położy i już nie wstanie; dopóki niebiosa będą trwać, nie ocknie się ani nie będzie obudzony ze swego snu.
13 Laiti, kwamba ungenificha mimi mbali katika kuzimu mbali kutoka katika mahangaiko, na kwamba ungenitunza mimi katika siri hadi hasira yake imalizike, kwamba ungeniwekea mimi muda maalumu wa kukaa huko na kisha kuniita mimi katika fahamu! (Sheol )
Obyś mnie w grobie ukrył i schował, aż twój gniew się uciszy, wyznaczył mi czas i wspomniał na mnie. (Sheol )
14 Ikiwa mwanadamu akifa, yeye ataishi tena? Ikiwa hivyo, ningependa kusubiri kule muda wangu wote wa kuharibika mpaka kufunguliwa kwangu kutakapokuja.
Gdy człowiek umrze, czy [znowu] ożyje? Przez wszystkie dni wyznaczonego mi czasu będę czekał, aż nadejdzie moja zmiana.
15 Wewe ungeita, na mimi ningekujibu wewe. Wewe ungekuwa na shauku ya kazi ya mikono yako.
Zawołasz, a ja ci odpowiem; zatęsknisz za dziełem swoich rąk.
16 Wewe ungehesabu na kutunza nyayo zangu; Wewe usingejali kumbukumbu ya dhambi yangu.
Teraz jednak liczysz moje kroki. Czy nie zważasz na mój grzech?
17 Uovu wangu ungetiwa muhuri katika mkoba; wewe ungeufunga uovu wangu.
Mój występek jest zapieczętowany w woreczku, gromadzisz moje nieprawości.
18 Lakini hata milima huanguka na kuwa si chochote; hata miamba huhamishwa kutoka mahali pake;
Doprawdy, góra pada i rozsypuje się, i skała przesuwa się ze swego miejsca.
19 maji yaliyokuwa chini ya mawe; kufurika kwake huondoa mbali mavumbi ya nchi. Kama hivi, ninyi mnavyoharibu matumaini ya mwanadamu.
Wody wydrążają kamienie, ulewa podrywa to, co wyrośnie z prochu ziemi, a ty nadzieję człowieka obracasz wniwecz.
20 Ninyi daima humshinda yeye, na yeye hupita mbali; Ninyi mnabadilisha uso wake na kumtuma yeye mbali kufa.
Stale pokonujesz go, a on odchodzi; zmieniasz jego oblicze i odprawiasz go.
21 Kama watoto wake wa kiume ni wa kuheshimiwa, yeye, hatambui hicho; na kama wakishushwa chini, yeye haoni hicho.
Jego synowie darzeni są szacunkiem, lecz on o tym nie wie; żyją w pogardzie, lecz na to nie zważa.
22 Yeye hujisikia tu maumivu ya mwili wake mwenyewe, na hujiombolezea yeye mwenyewe.
Ale jego własne ciało odczuwa ból, a jego dusza w nim płacze.