< Ayubu 14 >
1 Mwanadamu, ambaye amezaliwa na mwanamke, huishi siku chache tu na amejaa mahangaiko.
Ti tao a maiyanak iti babai, agbiag laeng iti sumagmamano nga al-aldaw ken napnoan ti riribuk.
2 Yeye huchanua kutoka katika ardhi kama ua na kukatwa chini; yeye hukimbia kama kivuli na hawezi kudumu.
Agrusing isuna manipud iti daga a kasla maysa a sabong ket makeltay; agpukaw isuna a kasla aniniwan ken saan nga agpaut.
3 Je, wewe unatazama chochote katika hivi? Mnanileta mimi hukumuni pamoja nanyi?
Kumitkitaka kadi iti aniaman kadagitoy? Ikuyognak kadi iti pangukoman?
4 Ni nani anayeweza kukileta kitu safi kutoka katika kitu kichafu? Hakuna awaye yote.
Siasino ti makaiyeg ti maysa a banag a nadalus manipud ti maysa a banag a narugit? Awan.
5 Siku za mwanadamu zimeamriwa. Idadi ya miezi yake unayo wewe; umekiweka kikomo chake ambacho hawezi kukivuka.
Naikeddengen dagiti al-aldaw ti tao; Adda kenka dagiti bilang dagiti bulbulanna; dinutokam ti pagpatinggaanna a saanna a mabalin a labsan.
6 Tazama mbali kutoka kwake kwamba yeye aweze kupumzika, ili kwamba aweze kufurahia siku yake kama mtu aliyekodishwa kama yeye anaweza kufanya hivyo.
Iyadayom iti panagkitam kenkuana tapno makainana isuna, tapno maragragsakna ti aldawna a kas maysa a natangdanan a tao no maaramidna ti kasta.
7 Kunaweza kuwa na tumaini kwa mti; kama ukikatwa chini, unaweza kuchipua tena, hivyo chipukizi lake halitapotea.
Adda ti namnama iti kayo; no mapukan daytoy, mabalin nga agrusing manen, a saanto nga agsardeng ti naganus a sangana.
8 Japokuwa mizizi yake inakua na kuzeeka katika ardhi, na shina lake kufa katika udongo,
Uray no matangkenan ti ramutna iti daga, ken matay ti puonna iti daga,
9 hata kama bado lina harufu ya maji pekee, litachipua tena na kutoa nje matawi kama mche.
ngem uray makaangot laeng daytoy iti danum, agsaringitto daytoy ken agsanga a kas iti mula.
10 Lakini mwanadamu hufa; yeye huwa dhaifu; haswaa, mwanadamu hukoma kupumua, na tena yuko wapi yeye?
Ngem matay ti tao; kumapsot isuna; pudno nga agsardeng nga aganges ti tao, ket sadino ti ayanna?
11 Kama maji yanavyopotea kutoka ziwani, na kama vile mto upotezavyo maji na kukauka,
Kas ti panagawan ti danum iti dan-aw ken kas iti panagpukaw ken panagmaga ti danum iti karayan,
12 vivyo hivyo watu hulala chini na hawaamki tena. Mpaka pale mbingu zitakapokuwa hazipo tena, hawataamka wala kuamshwa kutoka katika kulala kwao.
kasta met ti panagidda dagiti tattao ken saanen a bumangon manen. Agingga nga awanen dagiti langit, saandanto nga agriing wenno mariing iti pannaturogda.
13 Laiti, kwamba ungenificha mimi mbali katika kuzimu mbali kutoka katika mahangaiko, na kwamba ungenitunza mimi katika siri hadi hasira yake imalizike, kwamba ungeniwekea mimi muda maalumu wa kukaa huko na kisha kuniita mimi katika fahamu! (Sheol )
O, nga ilemmengnak koma idiay sheol nga adayu manipud kadagiti riribuk, ken idulinnak iti nalimed agingga a malpas ti pungtotmo, a tudingannak iti maysa a nadutokan a tiempo nga agtalinaed sadiay ket lagipennak! (Sheol )
14 Ikiwa mwanadamu akifa, yeye ataishi tena? Ikiwa hivyo, ningependa kusubiri kule muda wangu wote wa kuharibika mpaka kufunguliwa kwangu kutakapokuja.
No matay ti tao, agbiagto aya manen? No kasta, tarigagayak nga urayen amin a pakabannogak sadiay agingga nga umay ti pannakawayawayak.
15 Wewe ungeita, na mimi ningekujibu wewe. Wewe ungekuwa na shauku ya kazi ya mikono yako.
Umawagkanto, ket sungbatanka. Agtarigagaykanto kadagiti trabaho dagiti imam.
16 Wewe ungehesabu na kutunza nyayo zangu; Wewe usingejali kumbukumbu ya dhambi yangu.
Bilangen ken imdengamto dagiti addangko; saanmonto a kankanayon a siputan ti basolko.
17 Uovu wangu ungetiwa muhuri katika mkoba; wewe ungeufunga uovu wangu.
Maidulinto dagiti basbasolko iti maysa a supot; kallubamto dagiti kinadakesko.
18 Lakini hata milima huanguka na kuwa si chochote; hata miamba huhamishwa kutoka mahali pake;
Ngem uray dagiti banbantay ket agriggaay ken agbalin nga awan mamaayna; uray dagiti batbato ket maiyakar kadagiti ayanda;
19 maji yaliyokuwa chini ya mawe; kufurika kwake huondoa mbali mavumbi ya nchi. Kama hivi, ninyi mnavyoharibu matumaini ya mwanadamu.
runoten dagiti danum dagiti batbato; iyanod ti panaglayusda ti tapuk ti daga. Kas iti daytoy, dadaelem dagiti namnama ti tao.
20 Ninyi daima humshinda yeye, na yeye hupita mbali; Ninyi mnabadilisha uso wake na kumtuma yeye mbali kufa.
Kankanayonmo a parmeken isuna, ket aglabas isuna; baliwam ti rupana ken papanawem tapno matay isuna.
21 Kama watoto wake wa kiume ni wa kuheshimiwa, yeye, hatambui hicho; na kama wakishushwa chini, yeye haoni hicho.
Maidaydayaw dagiti annakna a lallaki, ngem saanna nga ammo daytoy; mabalin a maipababada, ngem saanna a makita a mapasamak daytoy.
22 Yeye hujisikia tu maumivu ya mwili wake mwenyewe, na hujiombolezea yeye mwenyewe.
Mariknana laeng ti ut-ot ti bukodna a bagi, ken agladingit isuna para iti bagina.