< Ayubu 13 >
1 Tazama, jicho langu limeyaona haya yote; sikio langu limeyasikia na kuyaelewa hayo.
Се, сия виде око мое, и слыша ухо мое,
2 Kile mnachokifahamu, ndicho hicho mimi pia ninachokifahamu; Mimi siyo duni kwenu ninyi.
и вем, елика и вы весте: и не неразумнее есмь вас.
3 Hata hivyo, Mimi ningeweza kuzungumza na mwenye nguvu; Mimi natamani kusemezana na Mungu.
Но обаче и аз ко Господу возглаголю, обличу же пред Ним, аще восхощет.
4 Lakini ninyi mnauficha ukweli kwa uongo; ninyi nyote ni tabibu msiokuwa na thamani.
Вы бо есте врачеве неправеднии и целителе злых вси,
5 Laiti, kwamba kwa pamoja mngeshikilia amani yenu! Hilo lingekuwa hekima yenu ninyi.
буди же вам онемети, и сбудется вам в премудрость.
6 Sikia sasa kuhoji kwangu; Sikiliza kusihi kwa midomo yangu mwenyewe.
Слышите же обличение уст моих, суду же устен моих вонмите.
7 Ninyi mtazungumza visivyo haki kwa ajili ya Mungu, na ninyi mtazungumza udanganyifu kwa yeye? Ni kweli ninyi mngeonyesha ukarimu kwa yeye?
Не пред Богом ли глаголете и пред Ним вещаете лесть?
8 Ni kweli ninyi mngetetea katika mahakama kama mawakili wa Mungu?
Или уклонитеся, вы же сами судии будите.
9 Je, kweli ingekuwa vizuri kwenu wakati yeye akiwatafuta ninyi? Mngeweza ninyi kumdanganya yeye kama mlivyoweza kuwadanganya watu?
Добро бо, аще изследит вас: аще бо вси творящии приложитеся к нему, обаче обличит вы.
10 Yeye kwa hakika angewathibitisha upya ninyi ikiwa katika siri ninyi mmeonyesha kutokukamilika.
Аще же и тай лицам удивитеся,
11 Je, ukuu wake usingewafanya ninyi muogope? Je, utisho wake usingeshuka juu yenu?
не движение ли Его смятет вас, боязнь же от Него нападет на вы?
12 Hadithi zenu za misemo ya kukariri, ni mithali zimetengenezwa kwa majivu; utetezi wenu ni utetezi uliotengenezwa kwa udongo wa mfinyanzi.
Отидет же величание ваше равно пепелу, тело же бренно.
13 Shikilieni amani yenu, mniache peke yangu, ili ya kwamba nipate kusema, acheni yaje yale yanayoweza kuja kwangu.
Умолчите, да возглаголю и почию от гнева.
14 Nitaichukua nyama yangu mwenywewe katika meno yangu; Nitayachukua maisha yangu katika mikono yangu.
Вземля плоти моя зубами, душу же мою положу в руце моей.
15 Tazama, ikiwa ataniua mimi, sitakuwa na tumaini lililobakia; hata hivyo, nitazitetea njia zangu mbele zake yeye.
Аще мя убиет Сильный, понеже и нача, обаче возглаголю и обличу пред Ним:
16 Hiki kitakuwa sababu ya kutohesabiwa hatia, kwamba mimi sikuja mbele zake kama mtu asiyemcha Mungu.
и сие ми сбудется во спасение: не внидет бо пред Ним лесть.
17 Mungu, sikiliza kwa makini kuzungumza kwangu; ruhusu kutangaza kwangu kuje kwenye masikio yako.
Послушайте, послушайте глагол моих: возвещу бо вам слышащым.
18 Tazama sasa, Nimeuweka utetezi wangu katika mpangilio, Mimi ninafahamu kwamba mimi sina hatia.
Се, аз близ есмь суда моего, вем аз, яко праведен явлюся.
19 Ni nani anayeweza kushindana na mimi katika mahakama? Ikiwa mlikuja kufanya hivyo, na kama mimi nilithibitishwa kukosea, ndipo ningekuwa kimya na kuyatoa maisha yangu.
Кто бо есть судяйся со мною, да ныне умолчу и изчезну?
20 Mungu, fanya mambo mawili kwa ajili yangu, na tena Mimi sitajificha kutoka katika uso wako.
Двое же ми сотвориши, тогда от лица Твоего не скрыюся:
21 Ondoa kutoka kwangu mkono wako unaotesa, na usiache utisho wako unifanye mimi kuogopa.
руку от мене отими, страх же Твой да не ужасает мя:
22 Ndipo niite mimi, na mimi nitakujibu; au uniache mimi niseme na wewe na wewe unijibu mimi.
посем призовеши, аз же Тя послушаю, или возглаголеши, аз же Ти дам ответ.
23 Je, maovu yangu na dhambi zangu ni ngapi? Nijulishe kosa langu na dhambi yangu.
Колицы суть греси мои и беззакония моя? Научи мя, кая суть?
24 Kwa nini unaficha uso wako kutoka kwangu mimi na kunitendea mimi kama adui yako?
Почто крыешися от мене? Мниши же мя противна суща Тебе?
25 Je, wewe utalitesa jani linalopeperushwa? Je, utaendelea kulifuatilia bua kavu?
Или яко лист движимь ветром убоишися? Или яко сену носиму ветром противляешимися?
26 Kwa maana wew unaandika chini vitu vichungu dhidi yangu mimi; wewe unanifanya mimi kurithi uovu wa ujana wangu.
Яко написал еси на мя злая, обложил же ми еси юностныя грехи:
27 Wewe pia unaiweka miguu yangu katika nguo nyembamba; wewe waangalia njia zangu zote; wewe wachunguza chini mahali ambapo nyayo za miguu yangu zimekanyaga.
положил же еси ногу мою в возбранение: сохранил же еси дела моя вся: в корения же ног моих пришел еси:
28 japokuwa mimi ni kama kitu kilichooza ambacho hutupwa mbali, kama vazi lile ambalo nondo wamelila.
иже обетшают якоже мех, или якоже риза молием изядена.