< Ayubu 13 >
1 Tazama, jicho langu limeyaona haya yote; sikio langu limeyasikia na kuyaelewa hayo.
Ето, моето око е видяло всичко това, Ухото ми е чуло и го е разбрало.
2 Kile mnachokifahamu, ndicho hicho mimi pia ninachokifahamu; Mimi siyo duni kwenu ninyi.
Което знаете вие, това зная и аз; Не съм по-долен от вас.
3 Hata hivyo, Mimi ningeweza kuzungumza na mwenye nguvu; Mimi natamani kusemezana na Mungu.
Но аз бих говорил на Всемогъщия, И желая да разисквам с Бога;
4 Lakini ninyi mnauficha ukweli kwa uongo; ninyi nyote ni tabibu msiokuwa na thamani.
Защото вие сте измислители на лъжа; Всинца сте безполезни лекари.
5 Laiti, kwamba kwa pamoja mngeshikilia amani yenu! Hilo lingekuwa hekima yenu ninyi.
Дано млъкнехте съвсем! И това щеше да ви бъде за мъдрост.
6 Sikia sasa kuhoji kwangu; Sikiliza kusihi kwa midomo yangu mwenyewe.
Слушайте сега доводите ми, И дайте внимание в жалбата на устните ми.
7 Ninyi mtazungumza visivyo haki kwa ajili ya Mungu, na ninyi mtazungumza udanganyifu kwa yeye? Ni kweli ninyi mngeonyesha ukarimu kwa yeye?
Заради Бога несправедливо ли ще говорите? Заради Него измама ли ще изкажете?
8 Ni kweli ninyi mngetetea katika mahakama kama mawakili wa Mungu?
Заради Него пристрастие ли ще покажете? Заради Бога ще се съдите ли?
9 Je, kweli ingekuwa vizuri kwenu wakati yeye akiwatafuta ninyi? Mngeweza ninyi kumdanganya yeye kama mlivyoweza kuwadanganya watu?
Добро ли е да ви изпита Той? Или ще можете да Го излъжете, както лъжат човека?
10 Yeye kwa hakika angewathibitisha upya ninyi ikiwa katika siri ninyi mmeonyesha kutokukamilika.
Той непременно ще ви изобличи, Ако тайно показвате пристрастие.
11 Je, ukuu wake usingewafanya ninyi muogope? Je, utisho wake usingeshuka juu yenu?
Величието Му не ще ли ви уплаши? И ужасът Му не ще ли да ви нападне?
12 Hadithi zenu za misemo ya kukariri, ni mithali zimetengenezwa kwa majivu; utetezi wenu ni utetezi uliotengenezwa kwa udongo wa mfinyanzi.
Вашите паметни думи стават пред Него поговорки от пепел; Защитата ви става укрепление от кал.
13 Shikilieni amani yenu, mniache peke yangu, ili ya kwamba nipate kusema, acheni yaje yale yanayoweza kuja kwangu.
Млъкнете! оставете ме и аз да говоря; И нека дойде върху мене каквото ще.
14 Nitaichukua nyama yangu mwenywewe katika meno yangu; Nitayachukua maisha yangu katika mikono yangu.
Каквото и да стане, ще взема месата си в зъбите си, И ще туря живота в шепата си.
15 Tazama, ikiwa ataniua mimi, sitakuwa na tumaini lililobakia; hata hivyo, nitazitetea njia zangu mbele zake yeye.
Ако и да ме убие Той, аз ще Го чакам; Но пак ще защитя пътищата си пред Него.
16 Hiki kitakuwa sababu ya kutohesabiwa hatia, kwamba mimi sikuja mbele zake kama mtu asiyemcha Mungu.
Даже това ще ми бъде спасение, Че нечестив човек няма да дойде пред Него.
17 Mungu, sikiliza kwa makini kuzungumza kwangu; ruhusu kutangaza kwangu kuje kwenye masikio yako.
Послушайте внимателно думата ми; И изявлението ми нека бъде в ушите ви.
18 Tazama sasa, Nimeuweka utetezi wangu katika mpangilio, Mimi ninafahamu kwamba mimi sina hatia.
Ето сега, аз съм наредил делото си; Зная, че ще се оправдая.
19 Ni nani anayeweza kushindana na mimi katika mahakama? Ikiwa mlikuja kufanya hivyo, na kama mimi nilithibitishwa kukosea, ndipo ningekuwa kimya na kuyatoa maisha yangu.
Кой е оня, който ще се съди с мене? Защото, ако млъкна, сега ще издъхна.
20 Mungu, fanya mambo mawili kwa ajili yangu, na tena Mimi sitajificha kutoka katika uso wako.
Само две неща не ми направяй, Тогава не ще се скрия от лицето Ти,
21 Ondoa kutoka kwangu mkono wako unaotesa, na usiache utisho wako unifanye mimi kuogopa.
Не отказвай да оттеглиш ръката Си от мене, И нека ме не уплаши ужасът Ти.
22 Ndipo niite mimi, na mimi nitakujibu; au uniache mimi niseme na wewe na wewe unijibu mimi.
Тогава Ти повикай, и аз ще Ти отговоря; Или аз да говоря, и ти ми отговори.
23 Je, maovu yangu na dhambi zangu ni ngapi? Nijulishe kosa langu na dhambi yangu.
Колко са беззаконията ми и греховете ми? Яви ми престъплението ми и греха ми.
24 Kwa nini unaficha uso wako kutoka kwangu mimi na kunitendea mimi kama adui yako?
Защо криеш лицето Си, И ме считаш за Свой неприятел?
25 Je, wewe utalitesa jani linalopeperushwa? Je, utaendelea kulifuatilia bua kavu?
Ще изморяваш ли лист отвяван? И ще гониш ли суха плява?
26 Kwa maana wew unaandika chini vitu vichungu dhidi yangu mimi; wewe unanifanya mimi kurithi uovu wa ujana wangu.
Защо пишеш горести против мене, И ме правиш да наследявам беззаконията на младостта си,
27 Wewe pia unaiweka miguu yangu katika nguo nyembamba; wewe waangalia njia zangu zote; wewe wachunguza chini mahali ambapo nyayo za miguu yangu zimekanyaga.
И туряш нозете ми в клада, И наблюдаваш всичките ми пътища, Забелязваш дирите на нозете ми?
28 japokuwa mimi ni kama kitu kilichooza ambacho hutupwa mbali, kama vazi lile ambalo nondo wamelila.
При все, че аз като гнила вещ тлея, Като дреха от молец изядена.