< Ayubu 12 >

1 Ndipo Ayubu akajibu na kusema,
Ayup jawaben mundaq dédi: —
2 “Hakuna shaka ninyi wanadamu; Hekima mtakufa nayo.
Siler berheq el-ehlisiler! Ölsenglar hékmetmu siler bilen bille kétidu!
3 Lakini nina ufahamu kama vile ninyi; Mimi siyo duni kwenu. Ni dhhiri, ni nani asiyefahamu vitu hivyo kama hivi?
Méningmu silerdek öz eqlim bar, Eqilde silerdin qalmaymen; Bunchilik ishlarni kim bilmeydu?!
4 Mimi ni kitu cha kuchekwa na jirani-Mimi, ni mmoja aliyemwita Mungu na ambaye alijibiwa na yeye! Mimi, ni mwenye haki na mtu asiyekuwa na hatia-Mimi sasa nimekuwa kitu cha kuchekwa.
Men öz dostlirimgha mazaq obyékti boldum; Mendek Tengrige iltija qilip, duasi ijabet bolghan kishi, Heqqaniy, durus bir adem mazaq qilindi!
5 Katika mawazo yake mtu fulani aliye katika kufurahi, kuna kudharau kwa mashaka; hufikiri katika njia ambayo huleta mambo mabaya zaidi kwa wale ambao miguu yao inateleza.
Rahette olturghan kishiler könglide herqandaq külpetni nezirige almaydu; Ular: «Külpetler putliri teyilish aldida turghan kishigila teyyar turidu» dep oylaydu.
6 Hema za wezi hufanikiwa, na wale ambao humkasirisha Mungu huhisi salama; mikono yao wenyewe ni miungu wao.
Qaraqchilarning chédirliri awatlishidu; Tengrige haqaret keltüridighanlar aman turidu; Ular özining ilahini öz alqinida kötüridu.
7 Lakini sasa waulize hao wanyama wa mwituni, na watakufundisha wewe; waulize ndege wa angani, na watakuambia wewe.
Emdi haywanlardinmu sorap baq, Ular sanga ögitidu, Asmandiki uchar-qanatlarmu sanga deydu;
8 Au iambie ardhi, na itakufundisha wewe; samaki wa baharini watakutangazia wewe.
We yaki yer-zémin’gha gep qilsangchu, Umu sanga ögitidu; Déngizdiki béliqlar sanga söz qilidu.
9 Ni myama yupi miongoni mwa hawa asiyefahamu kuwa mkono wa Yahwe umetenda haya?
Bularning hemmisini Perwerdigarning qoli qilghanliqini kim bilmeydu?
10 Katika mkono wake mna uzima wa kila kiumbe hai na pumzi ya wanadamu wote.
Barliq jan igiliri, barliq et igiliri, Jümlidin barliq insanning nepisi uning qolididur.
11 Je, sikio haliyajaribu maneno kama vile kaakaa lionjavyo chakula chake?
Éghizda taamni tétighandek, Qulaqmu sözining toghriliqini sinap baqidu emesmu?
12 Kwa wazee mna hekima; katika wingi wa siku mna ufahamu.
Yashan’ghanlarda danaliq rast tépilamdu? Künlirining köp bolushi bilen yorutulush kélemdu?
13 Pamoja na Mungu mna hekima na ukuu; yeye anayo mashauri na ufahamu.
Uningdila danaliq hem qudret bar; Uningdila yolyoruq hem yorutush bardur.
14 Tazama, yeye huangusha chini, na haiwezekani kujengwa tena; kama yeye akimtia gerezani mtu yeyote, hakutakuwa tena kufunguliwa.
Mana, U xarab qilsa, héchkim qaytidin qurup chiqalmaydu; U qamap qoyghan ademni héchkim qoyuwételmeydu.
15 Tazama, kama yeye akiyazuia maji, yanakauka; na kama akiyaachilia nje yanaitaabisha ardhi.
Mana, U sularni toxtitiwalsa, sular qurup kétidu, U ularni qoyup berse, ular yer-zéminni bésip weyran qilidu.
16 Pamoja na yeye mna nguvu na hekima; watu ambao wamedanganywa na mdanganyi wote pamoja wako katika nguvu zake.
Uningda küch-qudret, chin hékmetmu bar; Aldighuchi, aldan’ghuchimu uninggha tewedur.
17 Yeye huwaongoza washauri mbali bila kuvaa viatu katika huzuni; huwarudisha hakimu katika upumbavu.
U meslihetchilerni yalingach qildurup, yalap élip kétidu, Soraqchilarni reswa qilidu.
18 Yeye Huondoa minyororo ya mamlaka kutoka kwa wafalme; yeye hufunika viuno vyao kwa nguo.
U padishahlar [el-ehlige] salghan kishenlerni yéshidu, Andin shu padishahlarni yalingachlap, chatraqlirini lata bilenla qaldurup [shermende qilidu].
19 Yeye huwaongoza makuhani mbali bila kuvaa viatu na kuwapindua watu wakuu.
U kahinlarni yalingayagh mangdurup élip kétidu; U küch-hoquqdarlarni aghduridu.
20 Yeye huondoa hotuba ya wale waliokuwa wameaminiwa na huondoa mbali ufahamu wa wazee.
U ishenchlik qaralghan zatlarning aghzini étidu; Aqsaqallarning eqlini élip kétidu.
21 Yeye humwaga aibu juu ya binti za wafalme na hufungua mishipi ya watu wenye nguvu.
U aqsöngeklerning üstige haqaret tökidu, U palwanlarning belwéghini yéship [ularni küchsiz qilidu].
22 Yeye huweka wazi vitu vya kina kutoka katika giza na kuvileta nje kumuika vivuli mahali ambapa watu waliokufa wapo.
U qarangghuluqtiki chongqur sirlarni ashkarilaydu; U ölümning sayisini yorutidu.
23 Yeye huyafanya mataifa kuwa na nguvu, na pia huyaharibu; Yeye pia huyakuza mataifa, na pia yeye huyaongoza mbali kama wafungwa.
U el-yurtlarni ulughlashturidu hem andin ularni gumran qilidu; El-yurtlarni kéngeytidu, ularni tarqitidu.
24 Yeye huondoa mbali ufahamu kutoka kwa viongozi wa watu wa nchi; huwafanya wao kutangatanga msituni mahali pasipo na njia.
U zémindiki el-jamaetning kattiwashlirining eqlini élip kétidu; Ularni yolsiz desht-bayawanda sersan qilip azduridu.
25 Wao wanapapasa katika giza bila kuwa na mwanga; yeye huwafanya wao kuweweseka kama mtu mlevi.
Ular nursizlandurulup qarangghuluqta yolni silashturidu, U ularni mest bolup qalghan kishidek galdi-guldung mangduridu.

< Ayubu 12 >