< Ayubu 12 >

1 Ndipo Ayubu akajibu na kusema,
Eyüp şöyle yanıtladı:
2 “Hakuna shaka ninyi wanadamu; Hekima mtakufa nayo.
“Kendinizi bir şey sandığınız belli, Ama bilgelik de sizinle birlikte ölecek!
3 Lakini nina ufahamu kama vile ninyi; Mimi siyo duni kwenu. Ni dhhiri, ni nani asiyefahamu vitu hivyo kama hivi?
Sizin kadar benim de aklım var, Sizden aşağı kalmam. Kim bilmez bunları?
4 Mimi ni kitu cha kuchekwa na jirani-Mimi, ni mmoja aliyemwita Mungu na ambaye alijibiwa na yeye! Mimi, ni mwenye haki na mtu asiyekuwa na hatia-Mimi sasa nimekuwa kitu cha kuchekwa.
“Gülünç oldum dostlarıma, Ben ki, Tanrı'ya yakarırdım, yanıtlardı beni. Doğru ve kusursuz adam gülünç oldu.
5 Katika mawazo yake mtu fulani aliye katika kufurahi, kuna kudharau kwa mashaka; hufikiri katika njia ambayo huleta mambo mabaya zaidi kwa wale ambao miguu yao inateleza.
Kaygısızlar felaketi küçümser, Ayağı kayanı umursamaz.
6 Hema za wezi hufanikiwa, na wale ambao humkasirisha Mungu huhisi salama; mikono yao wenyewe ni miungu wao.
Soyguncuların çadırlarında rahatlık var, Tanrı'yı gazaba getirenler güvenlik içinde, Tanrı'ya değil, kendi bileklerine güveniyorlar.
7 Lakini sasa waulize hao wanyama wa mwituni, na watakufundisha wewe; waulize ndege wa angani, na watakuambia wewe.
“Ama şimdi sor hayvanlara, sana öğretsinler, Gökte uçan kuşlara sor, sana anlatsınlar,
8 Au iambie ardhi, na itakufundisha wewe; samaki wa baharini watakutangazia wewe.
Toprağa söyle, sana öğretsin, Denizdeki balıklara sor, sana bilgi versinler.
9 Ni myama yupi miongoni mwa hawa asiyefahamu kuwa mkono wa Yahwe umetenda haya?
Hangisi bilmez Bunu RAB'bin yaptığını?
10 Katika mkono wake mna uzima wa kila kiumbe hai na pumzi ya wanadamu wote.
Her yaratığın canı, Bütün insanlığın soluğu O'nun elindedir.
11 Je, sikio haliyajaribu maneno kama vile kaakaa lionjavyo chakula chake?
Damağın yemeği tattığı gibi Kulak da sözleri denemez mi?
12 Kwa wazee mna hekima; katika wingi wa siku mna ufahamu.
Bilgelik yaşlılarda, Akıl uzun yaşamdadır.
13 Pamoja na Mungu mna hekima na ukuu; yeye anayo mashauri na ufahamu.
“Bilgelik ve güç Tanrı'ya özgüdür, O'ndadır öğüt ve akıl.
14 Tazama, yeye huangusha chini, na haiwezekani kujengwa tena; kama yeye akimtia gerezani mtu yeyote, hakutakuwa tena kufunguliwa.
O'nun yıktığı onarılamaz, O'nun hapsettiği kişi özgür olamaz.
15 Tazama, kama yeye akiyazuia maji, yanakauka; na kama akiyaachilia nje yanaitaabisha ardhi.
Suları tutarsa, kuraklık olur, Salıverirse dünyayı sel götürür.
16 Pamoja na yeye mna nguvu na hekima; watu ambao wamedanganywa na mdanganyi wote pamoja wako katika nguvu zake.
Güç ve zafer O'na aittir, Aldanan da aldatan da O'nundur.
17 Yeye huwaongoza washauri mbali bila kuvaa viatu katika huzuni; huwarudisha hakimu katika upumbavu.
Danışmanları çaresiz kılar, Yargıçları çıldırtır.
18 Yeye Huondoa minyororo ya mamlaka kutoka kwa wafalme; yeye hufunika viuno vyao kwa nguo.
Kralların bağladığı bağı çözer, Bellerine kuşak bağlar.
19 Yeye huwaongoza makuhani mbali bila kuvaa viatu na kuwapindua watu wakuu.
Kâhinleri çaresiz kılar, Koltuklarında yıllananları devirir.
20 Yeye huondoa hotuba ya wale waliokuwa wameaminiwa na huondoa mbali ufahamu wa wazee.
Güvenilir danışmanları susturur, Yaşlıların aklını alır.
21 Yeye humwaga aibu juu ya binti za wafalme na hufungua mishipi ya watu wenye nguvu.
Rezalet saçar soylular üzerine, Güçlülerin kuşağını gevşetir.
22 Yeye huweka wazi vitu vya kina kutoka katika giza na kuvileta nje kumuika vivuli mahali ambapa watu waliokufa wapo.
Karanlıkların derin sırlarını açar, Ölüm gölgesini aydınlığa çıkarır.
23 Yeye huyafanya mataifa kuwa na nguvu, na pia huyaharibu; Yeye pia huyakuza mataifa, na pia yeye huyaongoza mbali kama wafungwa.
Ulusları büyütür, ulusları yok eder, Ulusları genişletir, ulusları sürgün eder.
24 Yeye huondoa mbali ufahamu kutoka kwa viongozi wa watu wa nchi; huwafanya wao kutangatanga msituni mahali pasipo na njia.
Dünya önderlerinin aklını başından alır, Yolu izi belirsiz bir çölde dolaştırır onları.
25 Wao wanapapasa katika giza bila kuwa na mwanga; yeye huwafanya wao kuweweseka kama mtu mlevi.
Karanlıkta el yordamıyla yürür, ışık yüzü görmezler; Sarhoş gibi dolaştırır onları.

< Ayubu 12 >