< Ayubu 12 >

1 Ndipo Ayubu akajibu na kusema,
Y respondió Job, y dijo:
2 “Hakuna shaka ninyi wanadamu; Hekima mtakufa nayo.
Ciertamente que vosotros sois el pueblo, y con vosotros morirá la sabiduría.
3 Lakini nina ufahamu kama vile ninyi; Mimi siyo duni kwenu. Ni dhhiri, ni nani asiyefahamu vitu hivyo kama hivi?
También tengo yo seso como vosotros: no soy yo menos que vosotros; ¿y quién habrá que no pueda decir otro tanto?
4 Mimi ni kitu cha kuchekwa na jirani-Mimi, ni mmoja aliyemwita Mungu na ambaye alijibiwa na yeye! Mimi, ni mwenye haki na mtu asiyekuwa na hatia-Mimi sasa nimekuwa kitu cha kuchekwa.
El que invoca a Dios, y él le responde, es burlado de su amigo; y el justo y perfecto es escarnecido.
5 Katika mawazo yake mtu fulani aliye katika kufurahi, kuna kudharau kwa mashaka; hufikiri katika njia ambayo huleta mambo mabaya zaidi kwa wale ambao miguu yao inateleza.
La antorcha es tenida en poco en el pensamiento del próspero: la cual se aparejó contra las caídas de los pies.
6 Hema za wezi hufanikiwa, na wale ambao humkasirisha Mungu huhisi salama; mikono yao wenyewe ni miungu wao.
Las tiendas de los robadores están en paz; y los que provocan a Dios, y los que traen dioses en sus manos, viven seguros.
7 Lakini sasa waulize hao wanyama wa mwituni, na watakufundisha wewe; waulize ndege wa angani, na watakuambia wewe.
Mas ciertamente pregunta ahora a las bestias, que ellas te enseñarán; y a las aves de los cielos, que ellas te mostrarán:
8 Au iambie ardhi, na itakufundisha wewe; samaki wa baharini watakutangazia wewe.
O habla a la tierra, que ella te enseñará; y los peces de la mar te declararán.
9 Ni myama yupi miongoni mwa hawa asiyefahamu kuwa mkono wa Yahwe umetenda haya?
¿Qué cosa de todas estas no entiende que la mano de Jehová la hizo,
10 Katika mkono wake mna uzima wa kila kiumbe hai na pumzi ya wanadamu wote.
Y que en su mano está el alma de todo viviente, el espíritu de toda carne humana?
11 Je, sikio haliyajaribu maneno kama vile kaakaa lionjavyo chakula chake?
Ciertamente el oído prueba las palabras, y el paladar gusta las viandas.
12 Kwa wazee mna hekima; katika wingi wa siku mna ufahamu.
En los viejos está la ciencia, y en longura de días la inteligencia.
13 Pamoja na Mungu mna hekima na ukuu; yeye anayo mashauri na ufahamu.
Con el está la sabiduría y la fortaleza, suyo es el consejo y la inteligencia.
14 Tazama, yeye huangusha chini, na haiwezekani kujengwa tena; kama yeye akimtia gerezani mtu yeyote, hakutakuwa tena kufunguliwa.
He aquí, el derribará, y no será edificado: encerrará al hombre, y no habrá quien le abra.
15 Tazama, kama yeye akiyazuia maji, yanakauka; na kama akiyaachilia nje yanaitaabisha ardhi.
He aquí, él detendrá las aguas, y se secarán: él las enviará, y destruirán la tierra.
16 Pamoja na yeye mna nguvu na hekima; watu ambao wamedanganywa na mdanganyi wote pamoja wako katika nguvu zake.
Con él está la fortaleza y la existencia: suyo es el que yerra, y el que hace errar.
17 Yeye huwaongoza washauri mbali bila kuvaa viatu katika huzuni; huwarudisha hakimu katika upumbavu.
El hace andar a los consejeros desnudos, y hace enloquecer a los jueces.
18 Yeye Huondoa minyororo ya mamlaka kutoka kwa wafalme; yeye hufunika viuno vyao kwa nguo.
El suelta la atadura de los tiranos, y les ata la cinta en sus lomos.
19 Yeye huwaongoza makuhani mbali bila kuvaa viatu na kuwapindua watu wakuu.
El lleva despojados a los príncipes, y él trastorna a los valientes.
20 Yeye huondoa hotuba ya wale waliokuwa wameaminiwa na huondoa mbali ufahamu wa wazee.
El quita la habla a los que dicen verdad, y el toma el consejo a los ancianos.
21 Yeye humwaga aibu juu ya binti za wafalme na hufungua mishipi ya watu wenye nguvu.
El derrama menosprecio sobre los príncipes, y enflaquece la fuerza de los esforzados.
22 Yeye huweka wazi vitu vya kina kutoka katika giza na kuvileta nje kumuika vivuli mahali ambapa watu waliokufa wapo.
El descubre las profundidades de las tinieblas, y saca a luz la sombra de muerte.
23 Yeye huyafanya mataifa kuwa na nguvu, na pia huyaharibu; Yeye pia huyakuza mataifa, na pia yeye huyaongoza mbali kama wafungwa.
El multiplica las gentes, y él las pierde: él esparce las gentes, y las torna a recoger.
24 Yeye huondoa mbali ufahamu kutoka kwa viongozi wa watu wa nchi; huwafanya wao kutangatanga msituni mahali pasipo na njia.
El quita el seso de las cabezas del pueblo de la tierra, y los hace que se pierdan vagueando sin camino:
25 Wao wanapapasa katika giza bila kuwa na mwanga; yeye huwafanya wao kuweweseka kama mtu mlevi.
Que palpen las tinieblas, y no la luz: y los hace errar como borrachos.

< Ayubu 12 >