< Ayubu 12 >

1 Ndipo Ayubu akajibu na kusema,
آنگاه ایوب پاسخ داد:
2 “Hakuna shaka ninyi wanadamu; Hekima mtakufa nayo.
آیا فکر می‌کنید عقل کل هستید؟ و اگر بمیرید حکمت هم با شما خواهد مرد؟
3 Lakini nina ufahamu kama vile ninyi; Mimi siyo duni kwenu. Ni dhhiri, ni nani asiyefahamu vitu hivyo kama hivi?
من هم مثل شما فهم دارم و از شما کمتر نیستم. کیست که این چیزهایی را که شما گفته‌اید نداند؟
4 Mimi ni kitu cha kuchekwa na jirani-Mimi, ni mmoja aliyemwita Mungu na ambaye alijibiwa na yeye! Mimi, ni mwenye haki na mtu asiyekuwa na hatia-Mimi sasa nimekuwa kitu cha kuchekwa.
اکنون مایه خنده دوستان خود شده‌ام زیرا خدا را می‌طلبم و انتظار پاسخ او را می‌کشم. آری، مرد درستکار و بی‌عیب مورد تمسخر واقع شده است.
5 Katika mawazo yake mtu fulani aliye katika kufurahi, kuna kudharau kwa mashaka; hufikiri katika njia ambayo huleta mambo mabaya zaidi kwa wale ambao miguu yao inateleza.
اشخاصی که آسوده هستند رنجدیدگان را اهانت می‌کنند و افتادگان را خوار می‌شمارند.
6 Hema za wezi hufanikiwa, na wale ambao humkasirisha Mungu huhisi salama; mikono yao wenyewe ni miungu wao.
دزدان و خدانشناسان اگرچه به قدرتشان متکی هستند و نه به خدا، ولی در امنیت و آسایشند.
7 Lakini sasa waulize hao wanyama wa mwituni, na watakufundisha wewe; waulize ndege wa angani, na watakuambia wewe.
کیست که آنچه را شما می‌گویید نداند؟ حتی اگر از حیوانات و پرندگان هم بپرسید این چیزها را به شما یاد خواهند داد. اگر از زمین و دریا سؤال کنید به شما خواهند گفت که دست خداوند این همه را آفریده است.
8 Au iambie ardhi, na itakufundisha wewe; samaki wa baharini watakutangazia wewe.
9 Ni myama yupi miongoni mwa hawa asiyefahamu kuwa mkono wa Yahwe umetenda haya?
10 Katika mkono wake mna uzima wa kila kiumbe hai na pumzi ya wanadamu wote.
جان هر موجود زنده و نفس تمام بشر در دست خداست.
11 Je, sikio haliyajaribu maneno kama vile kaakaa lionjavyo chakula chake?
درست همان‌طور که دهانم مزهٔ خوراک خوب را می‌فهمد، همچنان وقتی حقیقت را می‌شنوم گوشم آن را تشخیص می‌دهد.
12 Kwa wazee mna hekima; katika wingi wa siku mna ufahamu.
شما می‌گویید: «اشخاص پیر حکیم هستند و همه چیز را درک می‌کنند.»
13 Pamoja na Mungu mna hekima na ukuu; yeye anayo mashauri na ufahamu.
اما حکمت و قدرت واقعی از آن خداست. فقط او می‌داند که چه باید کرد.
14 Tazama, yeye huangusha chini, na haiwezekani kujengwa tena; kama yeye akimtia gerezani mtu yeyote, hakutakuwa tena kufunguliwa.
آنچه را که او خراب کند دوباره نمی‌توان بنا کرد. وقتی که او عرصه را بر انسان تنگ نماید، راه گریزی نخواهد بود.
15 Tazama, kama yeye akiyazuia maji, yanakauka; na kama akiyaachilia nje yanaitaabisha ardhi.
او جلوی باران را می‌گیرد و زمین خشک می‌شود. طوفانها می‌فرستد و زمین را غرق آب می‌کند.
16 Pamoja na yeye mna nguvu na hekima; watu ambao wamedanganywa na mdanganyi wote pamoja wako katika nguvu zake.
آری، قدرت و حکمت از آن اوست. فریب‌دهندگان و فریب‌خوردگان هر دو در دست او هستند.
17 Yeye huwaongoza washauri mbali bila kuvaa viatu katika huzuni; huwarudisha hakimu katika upumbavu.
او حکمت مشاوران و رهبران را از آنها می‌گیرد و آنها را احمق می‌سازد.
18 Yeye Huondoa minyororo ya mamlaka kutoka kwa wafalme; yeye hufunika viuno vyao kwa nguo.
ردای پادشاهی را از تن پادشاهان درآورده، بر کمرشان بند می‌نهد و آنها را به اسارت می‌برد.
19 Yeye huwaongoza makuhani mbali bila kuvaa viatu na kuwapindua watu wakuu.
کاهنان را پست می‌سازد و زورمندان را سرنگون می‌نماید.
20 Yeye huondoa hotuba ya wale waliokuwa wameaminiwa na huondoa mbali ufahamu wa wazee.
صدای سخنوران و بصیرت ریش‌سفیدان را از ایشان می‌گیرد.
21 Yeye humwaga aibu juu ya binti za wafalme na hufungua mishipi ya watu wenye nguvu.
بزرگان را حقیر و صاحبان قدرت را خلع سلاح می‌سازد.
22 Yeye huweka wazi vitu vya kina kutoka katika giza na kuvileta nje kumuika vivuli mahali ambapa watu waliokufa wapo.
او اسرار نهفته در تاریکی را فاش می‌سازد و تیرگی و ظلمت را به روشنایی تبدیل می‌کند.
23 Yeye huyafanya mataifa kuwa na nguvu, na pia huyaharibu; Yeye pia huyakuza mataifa, na pia yeye huyaongoza mbali kama wafungwa.
قومها را نیرومند می‌سازد، سپس آنها را نابود می‌کند؛ قبیله‌ها را زیاد می‌کند، سپس آنها را به اسارت می‌فرستد.
24 Yeye huondoa mbali ufahamu kutoka kwa viongozi wa watu wa nchi; huwafanya wao kutangatanga msituni mahali pasipo na njia.
رهبران ممالک را احمق ساخته، حیران و سرگردان رها می‌سازد
25 Wao wanapapasa katika giza bila kuwa na mwanga; yeye huwafanya wao kuweweseka kama mtu mlevi.
و آنها در تاریکی مثل کورها راه می‌روند و مانند مستها تلوتلو می‌خورند.

< Ayubu 12 >