< Ayubu 12 >

1 Ndipo Ayubu akajibu na kusema,
Iyyoob akkana jedhee deebise:
2 “Hakuna shaka ninyi wanadamu; Hekima mtakufa nayo.
“Nama jechuun dhugumaan isin; ogummaanis isin wajjin duuti!
3 Lakini nina ufahamu kama vile ninyi; Mimi siyo duni kwenu. Ni dhhiri, ni nani asiyefahamu vitu hivyo kama hivi?
Garuu anis akkuma keessan sammuun qaba; ani isinii gad miti. Namni waan akkanaa hin beekne eenyu?
4 Mimi ni kitu cha kuchekwa na jirani-Mimi, ni mmoja aliyemwita Mungu na ambaye alijibiwa na yeye! Mimi, ni mwenye haki na mtu asiyekuwa na hatia-Mimi sasa nimekuwa kitu cha kuchekwa.
“Ani nama Waaqa waammatee deebii argate taʼu illee, michoota koo biratti nama kolfaa taʼeera. Ani utuun nama qajeelaa hirʼina hin qabne taʼee jiruu nama kolfaa taʼeera.
5 Katika mawazo yake mtu fulani aliye katika kufurahi, kuna kudharau kwa mashaka; hufikiri katika njia ambayo huleta mambo mabaya zaidi kwa wale ambao miguu yao inateleza.
Warri itti tole rakkinatti qoosu; nama kufuuf miilli isaa mucucaateenis kun hiree isaati jedhu.
6 Hema za wezi hufanikiwa, na wale ambao humkasirisha Mungu huhisi salama; mikono yao wenyewe ni miungu wao.
Dunkaanni saamtotaa hin jeeqamu; warri Waaqa isaanii harkatti baatanii jooran, warri Waaqa dheekkamsiisan nagaan jiraatu.
7 Lakini sasa waulize hao wanyama wa mwituni, na watakufundisha wewe; waulize ndege wa angani, na watakuambia wewe.
“Mee horii gaafadhu; isaan si barsiisu; yookaan simbirroota samii gaafadhu; isaan sitti himu;
8 Au iambie ardhi, na itakufundisha wewe; samaki wa baharini watakutangazia wewe.
yookaan lafatti dubbadhu; inni si barsiisa; yookaan qurxummiiwwan galaanaa sitti haa himan.
9 Ni myama yupi miongoni mwa hawa asiyefahamu kuwa mkono wa Yahwe umetenda haya?
Akka harki Waaqayyoo waan kana hojjete, isaan kanneen hunda keessaa eenyutu hin beekne?
10 Katika mkono wake mna uzima wa kila kiumbe hai na pumzi ya wanadamu wote.
Lubbuun uumama hundaa, hafuurri nama hundaas harka isaa keessa jira.
11 Je, sikio haliyajaribu maneno kama vile kaakaa lionjavyo chakula chake?
Akkuma arrabni nyaata afaaniin qabu, gurris dubbii dhagaʼee addaan hin baasuu?
12 Kwa wazee mna hekima; katika wingi wa siku mna ufahamu.
Ogummaan jaarsolii biratti, hubannaanis warra umuriin dheerate biratti argama mitii?
13 Pamoja na Mungu mna hekima na ukuu; yeye anayo mashauri na ufahamu.
“Ogummaa fi humni kan Waaqaa ti; gorsii fi hubannaanis kan isaa ti.
14 Tazama, yeye huangusha chini, na haiwezekani kujengwa tena; kama yeye akimtia gerezani mtu yeyote, hakutakuwa tena kufunguliwa.
Waan inni diigu eenyu iyyuu deebisee ijaaruu hin dandaʼu; nama inni hidhe eenyu iyyuu hiikuu hin dandaʼu.
15 Tazama, kama yeye akiyazuia maji, yanakauka; na kama akiyaachilia nje yanaitaabisha ardhi.
Yoo inni bishaan dhowwate, hongeetu buʼa; yoo inni gad dhiise immoo biyya balleessa.
16 Pamoja na yeye mna nguvu na hekima; watu ambao wamedanganywa na mdanganyi wote pamoja wako katika nguvu zake.
Jabinnii fi ogummaan kan isaa ti; namni gowwoomfamuu fi inni gowwoomsus kanuma isaa ti.
17 Yeye huwaongoza washauri mbali bila kuvaa viatu katika huzuni; huwarudisha hakimu katika upumbavu.
Inni gorsitoota qullaa deemsisa; abbootii murtiis gowwoota godha.
18 Yeye Huondoa minyororo ya mamlaka kutoka kwa wafalme; yeye hufunika viuno vyao kwa nguo.
Inni mootota irraa hidhaa hiikee, mudhii isaaniitti sabbata hidha.
19 Yeye huwaongoza makuhani mbali bila kuvaa viatu na kuwapindua watu wakuu.
Luboota qullaa deemsisa; jajjabeeyyiis ni gaggaragalcha.
20 Yeye huondoa hotuba ya wale waliokuwa wameaminiwa na huondoa mbali ufahamu wa wazee.
Gorsitoota amanamoo afaan qabachiisa; hubannaa jaarsoliis irraa fuudha.
21 Yeye humwaga aibu juu ya binti za wafalme na hufungua mishipi ya watu wenye nguvu.
Warra kabajamootti salphina fida; warra jajjaboo immoo hidhata hiikachiisa.
22 Yeye huweka wazi vitu vya kina kutoka katika giza na kuvileta nje kumuika vivuli mahali ambapa watu waliokufa wapo.
Inni icciitii dukkanaa keessaa ifatti baasa; dukkana limixiis ifatti geeddara.
23 Yeye huyafanya mataifa kuwa na nguvu, na pia huyaharibu; Yeye pia huyakuza mataifa, na pia yeye huyaongoza mbali kama wafungwa.
Inni saboota ni guddisa; ni balleessas; saboota ni baayʼisa; ni bittinneessas.
24 Yeye huondoa mbali ufahamu kutoka kwa viongozi wa watu wa nchi; huwafanya wao kutangatanga msituni mahali pasipo na njia.
Bulchitoota addunyaa hubannaa malee hambisa; gammoojjii daandii hin qabne keessas isaan joorsa.
25 Wao wanapapasa katika giza bila kuwa na mwanga; yeye huwafanya wao kuweweseka kama mtu mlevi.
Isaan dukkana ifa hin qabne keessa qaqqabannaadhaan deemu; inni akka isaan akkuma nama machaaʼeetti gatantaranis ni godha.

< Ayubu 12 >