< Ayubu 12 >
1 Ndipo Ayubu akajibu na kusema,
Felélt Jób és mondta:
2 “Hakuna shaka ninyi wanadamu; Hekima mtakufa nayo.
Valóban, ti vagytok ám a nép, s veletek kihal a bölcsesség!
3 Lakini nina ufahamu kama vile ninyi; Mimi siyo duni kwenu. Ni dhhiri, ni nani asiyefahamu vitu hivyo kama hivi?
Nekem is van szívem mint nektek, nem esem messze tőletek, hisz kinél nem volnának effélék?
4 Mimi ni kitu cha kuchekwa na jirani-Mimi, ni mmoja aliyemwita Mungu na ambaye alijibiwa na yeye! Mimi, ni mwenye haki na mtu asiyekuwa na hatia-Mimi sasa nimekuwa kitu cha kuchekwa.
Nevetségéül vagyok barátnak, ki Istent szólította s ő meghallgatta; nevetségül az igaz, a gáncstalan!
5 Katika mawazo yake mtu fulani aliye katika kufurahi, kuna kudharau kwa mashaka; hufikiri katika njia ambayo huleta mambo mabaya zaidi kwa wale ambao miguu yao inateleza.
A balvégzetnek megvetés, a gondtalannak vélekedése szerint, készen áll, a tántorgó lábúaknak.
6 Hema za wezi hufanikiwa, na wale ambao humkasirisha Mungu huhisi salama; mikono yao wenyewe ni miungu wao.
Boldogságban vannak a rablók sátrai és biztosság azoké, kik Istent haragítják, azé, ki istenét kezében hordja.
7 Lakini sasa waulize hao wanyama wa mwituni, na watakufundisha wewe; waulize ndege wa angani, na watakuambia wewe.
Azonban kérdezd csak meg a barmot, majd tanít téged, s az ég madarát, majd megjelenti neked;
8 Au iambie ardhi, na itakufundisha wewe; samaki wa baharini watakutangazia wewe.
vagy szólj a földnek, majd tanít téged, és elbeszélik neked a tenger halai.
9 Ni myama yupi miongoni mwa hawa asiyefahamu kuwa mkono wa Yahwe umetenda haya?
Ki ne tudná mindezekből, hogy az Örökkévaló keze cselekedte ezt;
10 Katika mkono wake mna uzima wa kila kiumbe hai na pumzi ya wanadamu wote.
kinek kezében van minden élőnek a lelke, s minden ember testének a szelleme.
11 Je, sikio haliyajaribu maneno kama vile kaakaa lionjavyo chakula chake?
Nemde a fül vizsgálja a szavakat s az íny az ételt ízleli meg?
12 Kwa wazee mna hekima; katika wingi wa siku mna ufahamu.
Aggastyánokban van bölcsesség, s hosszú élet: értelmesség.
13 Pamoja na Mungu mna hekima na ukuu; yeye anayo mashauri na ufahamu.
Ő nála van bölcsesség és erő, övé tanács és értelmesség!
14 Tazama, yeye huangusha chini, na haiwezekani kujengwa tena; kama yeye akimtia gerezani mtu yeyote, hakutakuwa tena kufunguliwa.
Lám, lerombol s nem építtetik föl, rázár valakire s nem nyittatik ki neki.
15 Tazama, kama yeye akiyazuia maji, yanakauka; na kama akiyaachilia nje yanaitaabisha ardhi.
Im elrekeszt vizeket s kiszáradnak – megereszti őket s feldúlják a földet.
16 Pamoja na yeye mna nguvu na hekima; watu ambao wamedanganywa na mdanganyi wote pamoja wako katika nguvu zake.
Ő nála van hatalom és üdvösség, övé a tévelygő és a megtévesztő.
17 Yeye huwaongoza washauri mbali bila kuvaa viatu katika huzuni; huwarudisha hakimu katika upumbavu.
Járatja a tanácsosokat megfosztottan s a bírákat megtébolyítja;
18 Yeye Huondoa minyororo ya mamlaka kutoka kwa wafalme; yeye hufunika viuno vyao kwa nguo.
a királyok kötelékét föloldotta és reákötött övet az ő derekukra;
19 Yeye huwaongoza makuhani mbali bila kuvaa viatu na kuwapindua watu wakuu.
járatja a papokat megfosztottan s a szilárdakat elferdíti;
20 Yeye huondoa hotuba ya wale waliokuwa wameaminiwa na huondoa mbali ufahamu wa wazee.
megvonja a biztosszavúak beszédjét s a véneknek eszét elveszi;
21 Yeye humwaga aibu juu ya binti za wafalme na hufungua mishipi ya watu wenye nguvu.
csúfot önt a nemesekre s a hatalmasoknak kötését meglazítja.
22 Yeye huweka wazi vitu vya kina kutoka katika giza na kuvileta nje kumuika vivuli mahali ambapa watu waliokufa wapo.
Feltár mély dolgokat a sötétségből s kihozza világosságra a vakhomályt.
23 Yeye huyafanya mataifa kuwa na nguvu, na pia huyaharibu; Yeye pia huyakuza mataifa, na pia yeye huyaongoza mbali kama wafungwa.
Nagyra növeszti a nemzeteket s elveszíti, kiterjeszti a nemzeteket és elviszi.
24 Yeye huondoa mbali ufahamu kutoka kwa viongozi wa watu wa nchi; huwafanya wao kutangatanga msituni mahali pasipo na njia.
Szívét veszi az ország népe fejeinek s eltévelyíti úttalan pusztaságban;
25 Wao wanapapasa katika giza bila kuwa na mwanga; yeye huwafanya wao kuweweseka kama mtu mlevi.
tapogatóznak sötétségben világosság nélkül, s eltévelyíti őket mint a részeget.