< Ayubu 12 >

1 Ndipo Ayubu akajibu na kusema,
Job progovori i reče:
2 “Hakuna shaka ninyi wanadamu; Hekima mtakufa nayo.
“Uistinu, vi ste cvijet naroda, sa vama će izumrijeti mudrost.
3 Lakini nina ufahamu kama vile ninyi; Mimi siyo duni kwenu. Ni dhhiri, ni nani asiyefahamu vitu hivyo kama hivi?
Al' i ja znam k'o i vi misliti, ni u čemu od vas gori nisam: tko za stvari takve ne bi znao?
4 Mimi ni kitu cha kuchekwa na jirani-Mimi, ni mmoja aliyemwita Mungu na ambaye alijibiwa na yeye! Mimi, ni mwenye haki na mtu asiyekuwa na hatia-Mimi sasa nimekuwa kitu cha kuchekwa.
Prijateljima sam svojim ja na podsmijeh što zazivam Boga da mi odgovori! Na podsmijeh ja sam - pravednik neporočan!
5 Katika mawazo yake mtu fulani aliye katika kufurahi, kuna kudharau kwa mashaka; hufikiri katika njia ambayo huleta mambo mabaya zaidi kwa wale ambao miguu yao inateleza.
Prezirat' je nesretnika - sretni misle, udariti treba onog što posrće!
6 Hema za wezi hufanikiwa, na wale ambao humkasirisha Mungu huhisi salama; mikono yao wenyewe ni miungu wao.
Dotle su na miru šatori pljačkaša, izazivači Boga žive bezbrižno kao da Boga u šaci svojoj drže!
7 Lakini sasa waulize hao wanyama wa mwituni, na watakufundisha wewe; waulize ndege wa angani, na watakuambia wewe.
Ali pitaj zvijeri, i poučit će te; ptice nebeske pitaj, i razjasnit će ti.
8 Au iambie ardhi, na itakufundisha wewe; samaki wa baharini watakutangazia wewe.
Gušteri zemlje to će ti protumačit', ribe u moru ispripovjedit će ti.
9 Ni myama yupi miongoni mwa hawa asiyefahamu kuwa mkono wa Yahwe umetenda haya?
Od stvorenja sviju, koje ne bi znalo da je sve to Božja ruka učinila?!
10 Katika mkono wake mna uzima wa kila kiumbe hai na pumzi ya wanadamu wote.
U ruci mu leži život svakog bića i dah životvorni svakog ljudskog tijela.
11 Je, sikio haliyajaribu maneno kama vile kaakaa lionjavyo chakula chake?
Zar uhom mi ne sudimo besjedu k'o što kušamo nepcem okus jela?
12 Kwa wazee mna hekima; katika wingi wa siku mna ufahamu.
Sjedine mudrost donose čovjeku, a s vijekom dugim umnost mu dolazi.
13 Pamoja na Mungu mna hekima na ukuu; yeye anayo mashauri na ufahamu.
Ali u Njemu mudrost je i snaga, u Njemu savjet je i sva razumnost.
14 Tazama, yeye huangusha chini, na haiwezekani kujengwa tena; kama yeye akimtia gerezani mtu yeyote, hakutakuwa tena kufunguliwa.
Što razgradi, sagradit neće nitko, kog zatvori, nitko ne oslobađa.
15 Tazama, kama yeye akiyazuia maji, yanakauka; na kama akiyaachilia nje yanaitaabisha ardhi.
Ustavi li vodu, suša nastaje; pusti li je, svu zemlju ispremetne.
16 Pamoja na yeye mna nguvu na hekima; watu ambao wamedanganywa na mdanganyi wote pamoja wako katika nguvu zake.
Jer u njemu je snaga i sva mudrost, njegov je prevareni i varalica.
17 Yeye huwaongoza washauri mbali bila kuvaa viatu katika huzuni; huwarudisha hakimu katika upumbavu.
On savjetnike lišava razbora, suce pametne udara bezumljem.
18 Yeye Huondoa minyororo ya mamlaka kutoka kwa wafalme; yeye hufunika viuno vyao kwa nguo.
On otpasuje pojas kraljevima i užetom im vezuje bokove.
19 Yeye huwaongoza makuhani mbali bila kuvaa viatu na kuwapindua watu wakuu.
On bosonoge tjera svećenike i mogućnike sa vlasti obara.
20 Yeye huondoa hotuba ya wale waliokuwa wameaminiwa na huondoa mbali ufahamu wa wazee.
On diže riječ iz usta rječitima i starcima pravo rasuđivanje.
21 Yeye humwaga aibu juu ya binti za wafalme na hufungua mishipi ya watu wenye nguvu.
On sasiplje prezir po plemićima i junacima bedra raspasuje.
22 Yeye huweka wazi vitu vya kina kutoka katika giza na kuvileta nje kumuika vivuli mahali ambapa watu waliokufa wapo.
On dubinama razotkriva tmine i sjenu smrtnu na svjetlo izvodi.
23 Yeye huyafanya mataifa kuwa na nguvu, na pia huyaharibu; Yeye pia huyakuza mataifa, na pia yeye huyaongoza mbali kama wafungwa.
On diže narod pa ga uništava, umnoži ga a potom iskorijeni.
24 Yeye huondoa mbali ufahamu kutoka kwa viongozi wa watu wa nchi; huwafanya wao kutangatanga msituni mahali pasipo na njia.
On zaluđuje vladare naroda te po bespuću lutaju pustinjskom
25 Wao wanapapasa katika giza bila kuwa na mwanga; yeye huwafanya wao kuweweseka kama mtu mlevi.
i pipaju u tmini bez svjetlosti glavinjajući poput pijanaca.

< Ayubu 12 >