< Ayubu 11 >

1 Ndipo Sofari Mnaamathi alijibu na kusema,
Andin Naamatliq Zofar jawaben mundaq dédi: —
2 “Huo wingi wa maneno haupaswi kujibiwa? Mtu huyu, aliyejaa maneno mengi awe wa kuaminiwa?
«Gep mundaq köp tursa, uni jawabsiz qaldurghili bolmas? Sözmen kishi özini aqlisa bolamdu?
3 Kujivuna kwako kunapaswa kuwafanya wengine wabaki wamenyamaza? Wakati unapoyadhihaki mafundisho yetu, hakuna awaye yote atakayekufanya wewe ujisikie mwenye aibu?
Séning sepseteliring köpchilikning aghzini tuwaqlisa bolamdu? Sen mazaq qilip sözligendin kéyin, héchkim bu ishni yüzüngge salmisunmu?
4 Kwa kuwa wewe unasema kwa Mungu, 'Imani yangu ni safi, Mimi sina waa lolote machoni pako.'
Chünki sen: «Méning eqidilirim saptur, Men sen [Xudaning] aldida pakmen» — déding.
5 Lakini, laiti, Mungu huyo angesema na kufungua midomo yake dhidi yako;
Ah, Tengri gep qilsidi! Aghzini échip séni eyiblisidi!
6 hivyo angekuonyesha wewe siri za hekima! Kwa kuwa yeye ni mkuu katika ufahamu. Tena tambua huyo Mungu anataka kutoka kwako kidogo kuliko uovu wako unavyostahili.
Shundaq qilip U danaliqning sirlirini sanga échip bersidi! Chünki danaliq ikki terepliktur! Tengrining gunahingning xéli bir qismini kötüriwétip, ulardin ötidighanliqini obdan bilip qoy!
7 Je, wewe unaweza kumfahamu Mungu kwa kumtafuta yeye? Unaweza kumtambua aliye mkuu kwa ukamilifu?
Sen Tengrini izdigen teqdirdimu Uni tüptin tonuyalamsen?! Hemmige Qadirning cheksizlikini chüshinip yételemsen?
8 Upeo uko juu kama mbingu; unaweza kufanya nini wewe? Ni wenye kina kirefu kuliko kuzimu; waweza kufahamu nini wewe? (Sheol h7585)
[Bundaq danaliq] asmandin égizdur, [uninggha érishishke] néme amaling bar? U tehtisaradin chongqurdur, sen némini bileleysen? (Sheol h7585)
9 Vipimo vyake ni virefu kuliko nchi, na vipana kuliko bahari.
Uning uzunluqi yer-zémindin uzundur, Kengliki déngiz-okyanlardin kengdur.
10 kama yeye akipita kati na kumyamazisha mtu yeyote, kama yeye akimwita mtu yeyote hukumuni, tena ni nani anayeweza kumzuia yeye?
U ötüp kétiwétip, ademni qamisa, uni soraqqa chaqirsa, kimmu Uni tosalisun?
11 Kwa maana anawajua watu waongo; wakati anapoona uovu, hawezi yeye kuukumbuka?
Chünki U saxta ademlerni obdan bilidu, U tekshürmey turupla aldamchiliqni alliqachan körüp bolghan.
12 Lakini watu wapumbavu hawana ufahamu; wataupata wakati punda mwitu atakapozaa mtu.
«Insan tughulup bir yawa éshekning texiyige aylan’ghuche, Nadan adem dana bolur!».
13 Lakini ikiwa umeuelekeza moyo wako kwa haki na umeunyosha mkono wako karibu na Mungu;
Biraq sen bolsang, eger qelbingni toghrilatsang, Qolungni Xudagha qarap sozsang,
14 ikiwa huo uovu ulikuwa katika mikono yako, lakini hivyo tena unauweka mbali nawe, na haukuruhusu kutokuwa mwenye haki kukaa hemani mwako.
Qolungdiki qebihlikni özüngdin néri qilsang, Chédirliringda héch yamanliqni turghuzmisangla,
15 Ndipo kwa hakika ungeinua juu uso wako bila ishara ya aibu; Ni dhahiri, ungethibitika na usingeogopa.
Sen u chaghda yüzüngni qusursiz kötürüp yürisen, Tewrenmes, qorqunchsiz bolisen;
16 Wewe ungesahau mateso yako; ungeyakumbuka hayo tu kama maji ambayo yametiririka mbali.
Japayingni untuysen, Hetta éqip ötüp ketken suni oylighandek ularni esleysen;
17 Maisha yako yangekuwa angavu kuliko adhuhuri; japokuwa kulikuwa na giza, litakuwa kama asubuhi.
Künliring chüshtiki nurdin yoruq bolidu, Séni hazir qarangghuluq basqini bilen, tangdek parlaq bolisen.
18 Ungekuwa salama kwa sababu kuna tumaini; ni dhahiri, wewe utapata usalama juu yako na utachukua pumziko lako katika usalama.
Ümiding bar bolghachqa, sen himayige ige bolisen, Sen etrapinggha xatirjem qarap aram élip olturisen.
19 Pia ungelala chini katika pumziko, na hakuna ambaye angekufanya wewe uogope; hakika wengi wangetafuta upendeleo wako.
Rast, sen yatqiningda, héchkimning weswesisi bolmaydu, Eksiche nurghunlighan kishiler séning himmitingni izdep kélidu.
20 Lakini macho ya watu waovu yatashindwa; hawatakuwa na njia ya kukimbia; tumaini lao la pekee litakuwa pumzi yao ya mwisho ya uhai.
Biraq rezillerning közliri nuridin kétidu, Ulargha qéchishqa héch yol qalmaydu, Ularning ümidi nepisi toxtashtin ibaret bolidu, xalas».

< Ayubu 11 >