< Ayubu 11 >

1 Ndipo Sofari Mnaamathi alijibu na kusema,
Potem je odgovoril Cofár Naámčan in rekel:
2 “Huo wingi wa maneno haupaswi kujibiwa? Mtu huyu, aliyejaa maneno mengi awe wa kuaminiwa?
»Mar ne bo množica besed odgovorjena? Mar naj bo mož, poln govora, opravičen?
3 Kujivuna kwako kunapaswa kuwafanya wengine wabaki wamenyamaza? Wakati unapoyadhihaki mafundisho yetu, hakuna awaye yote atakayekufanya wewe ujisikie mwenye aibu?
Mar naj tvoje laži naredijo možem, da molčijo? In ko zasmehuješ, ali te noben človek ne bo osramotil?
4 Kwa kuwa wewe unasema kwa Mungu, 'Imani yangu ni safi, Mimi sina waa lolote machoni pako.'
Kajti rekel si: ›Moj nauk je čist in jaz sem čist v tvojih očeh.‹
5 Lakini, laiti, Mungu huyo angesema na kufungua midomo yake dhidi yako;
Toda oh, da bi Bog spregovoril in zoper tebe odprl svoje ustnice
6 hivyo angekuonyesha wewe siri za hekima! Kwa kuwa yeye ni mkuu katika ufahamu. Tena tambua huyo Mungu anataka kutoka kwako kidogo kuliko uovu wako unavyostahili.
in da bi ti pokazal skrivnosti modrosti, da so dvojne temu kar je! Vedi torej, da Bog od tebe terja manj, kakor zasluži tvoja krivičnost.
7 Je, wewe unaweza kumfahamu Mungu kwa kumtafuta yeye? Unaweza kumtambua aliye mkuu kwa ukamilifu?
Mar lahko z iskanjem najdeš Boga? Mar lahko do popolnosti spoznaš Vsemogočnega?
8 Upeo uko juu kama mbingu; unaweza kufanya nini wewe? Ni wenye kina kirefu kuliko kuzimu; waweza kufahamu nini wewe? (Sheol h7585)
To je tako visoko kakor nebo. Kaj lahko storiš? Globlje kakor pekel. Kaj lahko spoznaš? (Sheol h7585)
9 Vipimo vyake ni virefu kuliko nchi, na vipana kuliko bahari.
Njegova mera je daljša kakor zemlja in širša kakor morje.
10 kama yeye akipita kati na kumyamazisha mtu yeyote, kama yeye akimwita mtu yeyote hukumuni, tena ni nani anayeweza kumzuia yeye?
Če odseka in zapre, ali zbere skupaj, kdo ga potem lahko ovira?
11 Kwa maana anawajua watu waongo; wakati anapoona uovu, hawezi yeye kuukumbuka?
Kajti pozna praznoglave ljudi. Tudi zlobnost vidi. Mar ne bo potem tega preudaril?
12 Lakini watu wapumbavu hawana ufahamu; wataupata wakati punda mwitu atakapozaa mtu.
Kajti praznoglav človek bi bil moder, čeprav bi bil človek rojen kakor žrebe divjega osla.
13 Lakini ikiwa umeuelekeza moyo wako kwa haki na umeunyosha mkono wako karibu na Mungu;
Če pripraviš svoje srce in svoje roke iztegneš k njemu,
14 ikiwa huo uovu ulikuwa katika mikono yako, lakini hivyo tena unauweka mbali nawe, na haukuruhusu kutokuwa mwenye haki kukaa hemani mwako.
če je krivičnost v tvoji roki, jo odloži daleč proč in naj zlobnost ne prebiva v tvojih šotorih.
15 Ndipo kwa hakika ungeinua juu uso wako bila ishara ya aibu; Ni dhahiri, ungethibitika na usingeogopa.
Kajti potem boš povzdignil svoj obraz brez madeža. Da, neomajen boš in se ne boš bal,
16 Wewe ungesahau mateso yako; ungeyakumbuka hayo tu kama maji ambayo yametiririka mbali.
ker boš pozabil svojo bedo in se je boš spominjal kakor vode, ki tečejo mimo,
17 Maisha yako yangekuwa angavu kuliko adhuhuri; japokuwa kulikuwa na giza, litakuwa kama asubuhi.
in tvoja starost bo jasnejša kakor opoldan; svetil boš naprej, ti boš kakor jutro.
18 Ungekuwa salama kwa sababu kuna tumaini; ni dhahiri, wewe utapata usalama juu yako na utachukua pumziko lako katika usalama.
Ti boš varen, ker je upanje. Da, kopal boš okoli sebe in svoj počitek si boš vzel v varnosti.
19 Pia ungelala chini katika pumziko, na hakuna ambaye angekufanya wewe uogope; hakika wengi wangetafuta upendeleo wako.
Tudi ulegel se boš in nihče te ne bo strašil. Da, mnogi te bodo obžalovali.
20 Lakini macho ya watu waovu yatashindwa; hawatakuwa na njia ya kukimbia; tumaini lao la pekee litakuwa pumzi yao ya mwisho ya uhai.
Toda oči zlobnih bodo odpovedale in ne bodo pobegnili in njihovo upanje bo kakor izročitev duha.«

< Ayubu 11 >