< Ayubu 11 >
1 Ndipo Sofari Mnaamathi alijibu na kusema,
Tsofari, moto ya engumba ya Naama, azwaki maloba mpe alobaki:
2 “Huo wingi wa maneno haupaswi kujibiwa? Mtu huyu, aliyejaa maneno mengi awe wa kuaminiwa?
« Boni, maloba oyo nyonso ekoki solo kozanga eyano? Moto oyo azali koloba alonga na ye, kaka mpo ayebi koloba?
3 Kujivuna kwako kunapaswa kuwafanya wengine wabaki wamenyamaza? Wakati unapoyadhihaki mafundisho yetu, hakuna awaye yote atakayekufanya wewe ujisikie mwenye aibu?
Bato bavanda kaka nye likolo ya maloba na yo ya pamba oyo ozali kobimisa? Bapamela yo te soki ozali kosala maseki?
4 Kwa kuwa wewe unasema kwa Mungu, 'Imani yangu ni safi, Mimi sina waa lolote machoni pako.'
Ozali koloba na Nzambe: ‹ Makambo oyo nazali koloba ezali ya solo; nazali sembo na miso na Yo. ›
5 Lakini, laiti, Mungu huyo angesema na kufungua midomo yake dhidi yako;
Oh, tala ndenge nini nazali na posa ete Nzambe aloba, ete afungola monoko na Ye mpo na kopamela yo,
6 hivyo angekuonyesha wewe siri za hekima! Kwa kuwa yeye ni mkuu katika ufahamu. Tena tambua huyo Mungu anataka kutoka kwako kidogo kuliko uovu wako unavyostahili.
mpe asosolisa yo basekele ya bwanya, pamba te bwanya ya solo ezalaka na bilongi mibale. Yeba likambo oyo: Nzambe abosana masumu na yo ebele.
7 Je, wewe unaweza kumfahamu Mungu kwa kumtafuta yeye? Unaweza kumtambua aliye mkuu kwa ukamilifu?
Okoki penza kososola mabombami ya Nzambe? Okoki solo kososola bandelo ya Nkolo-Na-Nguya-Nyonso?
8 Upeo uko juu kama mbingu; unaweza kufanya nini wewe? Ni wenye kina kirefu kuliko kuzimu; waweza kufahamu nini wewe? (Sheol )
Bandelo yango eleki Lola na likolo; yo penza okosala nini? Eleki mboka ya bakufi na bozindo; yo penza okoyeba nini? (Sheol )
9 Vipimo vyake ni virefu kuliko nchi, na vipana kuliko bahari.
Molayi ya bandelo yango eleki mokili na molayi, mpe eleki ebale monene na kopanzana.
10 kama yeye akipita kati na kumyamazisha mtu yeyote, kama yeye akimwita mtu yeyote hukumuni, tena ni nani anayeweza kumzuia yeye?
Soki akotisi yo na boloko mpe asangisi basambisi mpo na kokata likambo, nani akotelemela Ye?
11 Kwa maana anawajua watu waongo; wakati anapoona uovu, hawezi yeye kuukumbuka?
Solo, ayebaka bakosi mpe asosolaka mabe na pete.
12 Lakini watu wapumbavu hawana ufahamu; wataupata wakati punda mwitu atakapozaa mtu.
Ndenge mwana ya ane ya zamba ebotaka moto te, ndenge mpe kizengi akokoka te kokoma mayele.
13 Lakini ikiwa umeuelekeza moyo wako kwa haki na umeunyosha mkono wako karibu na Mungu;
Nzokande, soki opesi Ye motema na yo mpe osemboli maboko na yo epai na Ye,
14 ikiwa huo uovu ulikuwa katika mikono yako, lakini hivyo tena unauweka mbali nawe, na haukuruhusu kutokuwa mwenye haki kukaa hemani mwako.
soki olongoli lisumu oyo ezali na loboko na yo mpe opekisi mabe kovanda kati na ndako na yo,
15 Ndipo kwa hakika ungeinua juu uso wako bila ishara ya aibu; Ni dhahiri, ungethibitika na usingeogopa.
okotombola elongi na yo na soni te, okotelema ngwi mpe okobanga eloko te;
16 Wewe ungesahau mateso yako; ungeyakumbuka hayo tu kama maji ambayo yametiririka mbali.
pamba te okobosana pasi na yo, okokoma kokanisa yango kaka lokola mayi oyo esili kotiola.
17 Maisha yako yangekuwa angavu kuliko adhuhuri; japokuwa kulikuwa na giza, litakuwa kama asubuhi.
Bomoi na yo ekongenga lokola pole ya moyi oyo engengaka na midi, mpe butu na yo ekokoma lokola tongo.
18 Ungekuwa salama kwa sababu kuna tumaini; ni dhahiri, wewe utapata usalama juu yako na utachukua pumziko lako katika usalama.
Okozala na kimia, pamba te elikya ezali, okotala zingazinga na yo mpe okozwa bopemi na yo na kimia,
19 Pia ungelala chini katika pumziko, na hakuna ambaye angekufanya wewe uogope; hakika wengi wangetafuta upendeleo wako.
okolala pongi, mpe okomona moto moko te kobangisa yo lisusu, mpe bato ebele bakoya kosenga ngolu na yo.
20 Lakini macho ya watu waovu yatashindwa; hawatakuwa na njia ya kukimbia; tumaini lao la pekee litakuwa pumzi yao ya mwisho ya uhai.
Kasi miso ya bato mabe ekokufa, mpe bakozanga ekimelo, bakotikala na elikya se moko: kufa. »