< Ayubu 11 >

1 Ndipo Sofari Mnaamathi alijibu na kusema,
Da svarede Zofar, Naamathiten, og sagde:
2 “Huo wingi wa maneno haupaswi kujibiwa? Mtu huyu, aliyejaa maneno mengi awe wa kuaminiwa?
Skal der ikke svares til de mange Ord? og mon en mundkaad Mand skal beholde Ret?
3 Kujivuna kwako kunapaswa kuwafanya wengine wabaki wamenyamaza? Wakati unapoyadhihaki mafundisho yetu, hakuna awaye yote atakayekufanya wewe ujisikie mwenye aibu?
Skal din Skvalder bringe Folk til at tie? og skal du bespotte, og ingen beskæmme dig?
4 Kwa kuwa wewe unasema kwa Mungu, 'Imani yangu ni safi, Mimi sina waa lolote machoni pako.'
Thi du sagde: Min Lærdom er klar, og jeg er ren for dine Øjne.
5 Lakini, laiti, Mungu huyo angesema na kufungua midomo yake dhidi yako;
Men gid dog Gud vilde tale og oplade sine Læber imod dig!
6 hivyo angekuonyesha wewe siri za hekima! Kwa kuwa yeye ni mkuu katika ufahamu. Tena tambua huyo Mungu anataka kutoka kwako kidogo kuliko uovu wako unavyostahili.
og at han vilde kundgøre dig Visdoms skjulte Ting! thi i den er dobbelt Kraft; da skulde du vide, at Gud endog eftergiver dig noget af din Misgerning.
7 Je, wewe unaweza kumfahamu Mungu kwa kumtafuta yeye? Unaweza kumtambua aliye mkuu kwa ukamilifu?
Mon du kan naa til Guds Dybheder? mon du kan naa til den Almægtiges Begrænsning?
8 Upeo uko juu kama mbingu; unaweza kufanya nini wewe? Ni wenye kina kirefu kuliko kuzimu; waweza kufahamu nini wewe? (Sheol h7585)
Den er saa høj som Himmelen, hvad vil du gøre? den er dybere end Helvede, hvad kan du vide? (Sheol h7585)
9 Vipimo vyake ni virefu kuliko nchi, na vipana kuliko bahari.
Dens Maal er længere end Jorden, den er bredere end Havet.
10 kama yeye akipita kati na kumyamazisha mtu yeyote, kama yeye akimwita mtu yeyote hukumuni, tena ni nani anayeweza kumzuia yeye?
Naar han farer frem og lukker til eller forsamler, hvo vil da holde ham tilbage?
11 Kwa maana anawajua watu waongo; wakati anapoona uovu, hawezi yeye kuukumbuka?
Thi han kender forfængelige Folk og ser Uretfærdighed; skulde han da ikke agte derpaa?
12 Lakini watu wapumbavu hawana ufahamu; wataupata wakati punda mwitu atakapozaa mtu.
Men en uforstandig vil faa Forstand, naar et Vildæsels Føl fødes til Menneske.
13 Lakini ikiwa umeuelekeza moyo wako kwa haki na umeunyosha mkono wako karibu na Mungu;
Dersom du bereder dit Hjerte og udstrækker dine Hænder til ham,
14 ikiwa huo uovu ulikuwa katika mikono yako, lakini hivyo tena unauweka mbali nawe, na haukuruhusu kutokuwa mwenye haki kukaa hemani mwako.
dersom du kaster Uretfærdigheden, som er i din Haand, langt bort og ikke lader Uret bo i dine Telte,
15 Ndipo kwa hakika ungeinua juu uso wako bila ishara ya aibu; Ni dhahiri, ungethibitika na usingeogopa.
da skal du, fri for Lyde, kunne opløfte dit Ansigt og blive fast og ikke frygte.
16 Wewe ungesahau mateso yako; ungeyakumbuka hayo tu kama maji ambayo yametiririka mbali.
Thi du skal glemme din Møje, du skal komme den i Hu som det Vand, der er løbet forbi.
17 Maisha yako yangekuwa angavu kuliko adhuhuri; japokuwa kulikuwa na giza, litakuwa kama asubuhi.
Og din Levetid skal gaa frem klarere end Middagen, Mørket skal vorde som Morgenen.
18 Ungekuwa salama kwa sababu kuna tumaini; ni dhahiri, wewe utapata usalama juu yako na utachukua pumziko lako katika usalama.
Og du skal være tryg, thi der er Haab, og du skal spejde omkring dig og sove tryggelig.
19 Pia ungelala chini katika pumziko, na hakuna ambaye angekufanya wewe uogope; hakika wengi wangetafuta upendeleo wako.
Og du skal lægge dig, og ingen skal forfærde dig; og mange skulle bønfalde for dit Ansigt.
20 Lakini macho ya watu waovu yatashindwa; hawatakuwa na njia ya kukimbia; tumaini lao la pekee litakuwa pumzi yao ya mwisho ya uhai.
Men de ugudeliges Øjne skulle hentæres, og deres Tilflugt skal gaa tabt for dem, og deres Haab aandes ud med Livet.

< Ayubu 11 >