< Ayubu 10 >

1 Nimechoka na maisha yangu; Nitanena wazi manung'uniko yangu; nitasema kwa uchungu wa roho yangu.
Mana dvēsele apnikusi dzīvot; savas vaimanas es neaizturēšu, es runāšu savas dvēseles rūgtumā.
2 Nitamwambia Mungu, 'Usinihukumie makosa; nionyeshe sababu za wewe kunilaumu mimi. Je
Es sacīšu uz Dievu: nepazudini mani, dod man zināt, kāpēc Tu ar mani tiesājies.
3 ni vizuri kwako wewe kunionea mimi, kudharau kazi ya mikono yako wakati unafurahia juu ya mipango ya waovu?
Vai Tev patīk varas darbu darīt, atmest Savas rokas darbu un bezdievīgo padomam dot spožumu;
4 Je wewe una macho ya kimwili? Je wewe unaona kama mtu aonavyo?
Vai Tev ir miesīgas acis, vai Tu redzi, kā cilvēks redz?
5 Je siku zako ni kama siku za wanadamu au miaka yako ni kama miaka ya watu,
Vai Tavas dienas ir kā cilvēka dienas un Tavi gadi kā kāda vīra dienas,
6 hata ukauliza habari za uovu wangu na kuitafuta dhambi yangu,
Ka Tu manu noziegumu meklē un vaicā pēc maniem grēkiem,
7 ingawa wewe wafahamu mimi sina kosa na hapana mwingine awezaye kuniokoa mimi na mkono wako?
Lai gan Tu zini, ka es bezdievīgs neesmu, un ka neviena nav, kas no Tavas rokas izglābj,
8 Mikono yako imeniumba na kunifinyanga kwa wakati mmoja nawe kunizunguka, hata hivyo unaniangamiza.
Tavas rokas mani sataisījušas un darījušas, kāds es viscaur esmu, un tomēr Tu mani aprij.
9 Kumbuka, nakuomba, ulivyonifinyanga kama vile udongo; je utanirudisha mavumbini tena?
Piemini jel, ka Tu mani kā mālu esi taisījis, vai Tu mani atkal darīsi par pīšļiem?
10 Je wewe hukunimimina kama maziwa na kunigandisha mfano wa jibini?
Vai Tu mani neesi izlējis kā pienu, un man licis sarikt kā sieram?
11 Umenivika ngozi na nyama na kuniunganisha pamoja kwa mifupa na misuli.
Ar ādu un miesu Tu mani esi apģērbis, ar kauliem un dzīslām mani salaidis!
12 Wewe umenizawadia mimi uhai na ahadi ya upendeleo na usaidizi wako umeilinda roho yangu.
Dzīvību un žēlastību Tu man esi devis, un Tavas acis sargāja manu dvēseli.
13 Hata hivyo mambo haya uliyaficha moyoni mwako - nafahamu kwamba hivi ndivyo ufikirivyo:
Un to Tu Savā sirdī esi slēpis, es zinu, ka tas Tev prātā stāvēja.
14 kuwa kama nimefanya dhambi, wewe utaizingatia; hutaniachilia na uovu wangu.
Kad es grēkoju, tad Tu to gribēji pieminēt un mani neatlaist no maniem noziegumiem.
15 Kama mimi ni muovu, ole wangu; hata kama ni mwenye haki, sitaweza kuinua kichwa changu, kwa kuwa nimejaa aibu na kuyaangalia mateso yangu.
Ja es bezdievīgs biju, ak vai, man! Bet ja biju taisns, taču man nebija galvu pacelt, ar lielu kaunu ieraugot savas bēdas.
16 Kama kichwa changu kikijiinua chenyewe, waniwinda kama simba; tena wajionyesha mwenyewe kuwa ni mwenye nguvu kwangu.
Un ja es galvu paceļu, kā lauva Tu mani gribēji vajāt, un arvien atkal brīnišķi pret mani rādīties,
17 Wewe unaleta mashahidi wapya dhidi yangu na kuzidisha hasira zako dhidi yangu; wanishambulia na majeshi mapya.
Pret mani vest Savus lieciniekus citus par citiem un vairot Savu dusmību pret mani, celt pret mani vienu kara spēku pēc otra.
18 Kwa nini, basi, ulinitoa tumboni? Natamani ningekata roho na ili jicho lolote lisinione.
Kāpēc tad Tu mani esi izvedis no mātes miesām? Kaut es būtu nomiris un neviena acs mani nebūtu redzējusi,
19 Ningelikuwa kama asiyekuwepo; ningelichukuliwa kutoka tumboni mpaka kaburini.
Tad es būtu kā kas mūžam nav bijis, no mātes miesām es būtu kapā guldīts.
20 Je si siku zangu pekee ni chache? Acha basi, usinisumbue, ili kwamba nipate kupumzika kidogo
Vai nav īss mans mūžs? Mities jel, atstājies no manis, ka es maķenīt atspirgstos,
21 kabla sijaenda huko ambako sitarudi, kwenye nchi ya giza na kivuli cha mauti,
Pirms es noeju, un vairs neatgriežos, uz tumsības un nāves ēnas zemi,
22 ni nchi ya giza kama usiku wa manane, nchi ya kivuli cha mauti, isiyokuwa na mpangilio, ambayo nuru yake ni kama usiku wa manane.'”
Uz zemi, kur bieza tumsība kā pusnakts, kur nāves ēna un nekāda skaidrība, un kur gaisma ir kā tumsība.

< Ayubu 10 >