< Yeremia 9 >
1 Kama kichwa changu kingetoa maji, na macho yangu kuwa chemichemi ya machozi! kwa kuwa natamani kulia usiku na mchana kwa ajili yao waliokuwa binti za watu wangu ambao wameuawa.
Keşke başım bir pınar, Gözlerim bir gözyaşı kaynağı olsa! Halkımın öldürülenleri için Ağlasam gece gündüz!
2 Kama mtu anganipatia mahali pa wasafiri nyikani ili nikae, mahali ambapo ningeenda kuwatelekeza watu wangu. Kama ningewaacha, kwa kuwa wote ni wazinzi, kundi la wenye hiana!
Keşke halkımı bırakabilmem, Onlardan uzaklaşabilmem için Çölde konaklayacak bir yerim olsa! Hepsi zina ediyor, Hain bir topluluk!
3 asema BWANA, “Huupinda ulimi wao kana kwamba ni upinde ili wapate kuongea uongo, lakini si kwa uamiinifu wao kwamba wanapata nguvu duniani. Wanatoka uovu mmoja hadi mwiingine. Hawanijui mimi.”
“Yalan söylemek için ülkede Dillerini yay gibi geriyor, Güçlerini gerçek yolunda kullanmıyorlar. Kötülük üstüne kötülük yapıyor, Beni tanımıyorlar” diyor RAB.
4 Kila mmoja wenu, awe mlinzi wa jirani yake na usimwamini hata ndugu yako yeyote. kwa kuwa kila ndugu ni mwongo,
“Herkes dostundan sakınsın, Kardeşlerinizin hiçbirine güvenmeyin. Çünkü her kardeş Yakup gibi aldatıcı, Her dost iftiracıdır.
5 kila jirani anatembea akilaghai. Kila mwanamume anakejeli jirani yake na haongei ukweli. Ndimi zao hufundisha vitu vya uongo. Hujidhofisha ili kusema uongo.
Dost dostu aldatıyor, Kimse gerçeği söylemiyor. Dillerine yalan söylemeyi öğrettiler, Suç işleye işleye yorgun düştüler.
6 Makazi yenu yako kati ya udanganyifu; kwa uongo wao wanakataa kunitambua mimi. Asema BWANA.”
Sen, ey Yeremya, Aldatıcılığın ortasında yaşıyorsun. Aldatıcılıkları yüzünden Beni tanımak istemiyorlar.” Böyle diyor RAB.
7 Kwa hiyo BWANA wa majeshi asema hivi, “Tazama, Niko tayari kuwajaribu. Nitawajaribu nione. Jinsi gani niwezavyo kufanya kwa binti za watu wangu?
Bundan ötürü Her Şeye Egemen RAB diyor ki, “İşte, onları arıtıp sınayacağım, Halkımın günahı yüzünden Başka ne yapabilirim ki?
8 Ndimi zao ni mishale iliyochongoka; huongea vitu vya uasi. Kwa midomo yao wanatangaza amani pamoja na jirani zao, lakini katika mioyo yao wanadanganya wakati wa kusubri.
Dilleri öldürücü bir ok, Hep aldatıyor. Komşusuna esenlik diliyor, Ama içinden ona tuzak kuruyor.
9 Kwa nini nisiwaadhibu kwa sababu ya mambo haya - asema BWANA na kwa nini nisijilipizie kisasi kwa taifa ambalo liko kama hili?
Bu yüzden onları cezalandırmayayım mı?” diyor RAB, “Böyle bir ulustan öcümü almayayım mı?”
10 Nitaimba wimbo wa kuomboleza na kulia kwa ajili ya milima, na wimbo wa mazishi utaimbwa nyikani. Kwa kuwa wameteketezwa kwa hiyo hakuna anAyeweza kupita kati kati yao. Hawatasikia sauti ya ng'ombe yeyote. Ndege wa angani na wanyama wote wamekimbia.
Dağlar için ağlayıp yas tutacağım, Otlaklar için ağıt yakacağım. Çöle dönüştüler, Kimse geçmiyor oralardan. Sığırların böğürmesi duyulmuyor, Kuşlar, yabanıl hayvanlar kaçıp gitti.
11 Kwa hiyo nitaigeuza Yerusalemu kuwa vifusi vya ukiwa, maficho ya mbweha. Nitaifanya miji ya Yuda kuwa miji iliyoharibiwa isiyokaliwa na watu.
“Yeruşalim'i taş yığını, Çakalların barınağı haline getireceğim. Yahuda kentlerini Kimsenin yaşayamayacağı bir viraneye döndüreceğim.”
12 Ni nani mwenye hekima anayeyaelewa haya? Je, kinywa cha BWANA kinatangaza nini kwake ili aweze kuyasema? Kwa nini nchi imepotea? Imeharibiwa kama jangwa, ambapo hakuna apitaye kati kati yake.
Hangi bilge kişi buna akıl erdirecek? RAB'bin seslendiği kişi kim ki, sözünü açıklayabilsin? Ülke neden yıkıldı? Neden kimsenin geçemediği bir çöle dönüştü?
13 BWANA asema, “Ni kwa sababu wameziacha sheria zake ambazo niliwatengenezea, kwa sababu hawaisikilizi sauti yangu au kuishi kwa kuifuta.
RAB, “Kendilerine verdiğim yasayı bıraktılar, sözümü dinlemediler, yasamı izlemediler” diyor,
14 Ni kwa sababu wameishi kwa ushupavu wa mioyo yao na wamewafuata Mabaali kama baba zao walivyowafundisha kufanya.
“Onun yerine yüreklerinin inadını, atalarının öğrettiği gibi Baallar'ı izlediler.”
15 Kwa hiyo BWANA wa majeshi, Mungu wa Israeli, asema hivi, 'Tazama, Ninataka kuwafanya hawa watu wale pakanga na kunywa maji ya sumu.
Bunun için İsrail'in Tanrısı, Her Şeye Egemen RAB diyor ki, “Bu halka pelinotu yedirecek, zehirli su içireceğim.
16 Ndipo nitakapowasambaza kati ya mataifa ambayo hawajayajua, wao wala mababu zao. Nitatuma upanga kwa ajili yao mpaka nimewaangamiza wote kabisa.'”
Onları kendilerinin de atalarının da tanımadığı ulusların arasına dağıtacak, tümünü yok edene dek peşlerine kılıcı salacağım.”
17 BWANA wa majeshi asema hivi, “Yafikirini haya: Waiteni waliaji; waje. Tumeni wanawake wenye taaluma ya kuomboleza, waje.
Her Şeye Egemen RAB diyor ki, “İyi düşünün! Ağıt yakan kadınları çağırın gelsinler. En iyilerini çağırın gelsinler.
18 Waje haraka waimbe wimbo wa maombolezo juu yetu, ili macho yetu yatokwe na machozi na kope zetu zibubujikwe na maji.
Hemen gelip bizim için ağıt yaksınlar; Gözlerimiz gözyaşı döksün, Gözkapaklarımızdan sular aksın.
19 Kwa kuwa sauti ya kilio imesikika Sayuni, 'Jinsi tulivyoharibiwa. Tumeaibishwa sana, kwa kuwa tumeitelekeza nchi tangu walIpoangusha nyumba zetu.'
Siyon'dan ağlama sesi duyuluyor: ‘Yıkıma uğradık! Büyük utanç içindeyiz, Çünkü ülkemizi terk ettik, Evlerimiz yerle bir oldu.’”
20 Kwa hiyo ninyi wanawake, sikieni neno la BWANA; zingatieni ujumbe unaokuja toka kinywani mwake. Kisha wafundisheni binti zenu wimbo wa maombolezo, na kila mwanamke wa jirani wimbo wa kilio.
Ey kadınlar, RAB'bin sözünü dinleyin! Ağzından çıkan her söze kulak verin. Kızlarınıza yas tutmayı, Komşunuza ağıt yakmayı öğretin.
21 Kwa kuwa vifo vimekuja kupitia dirishani; vinaelekea mahali petu. Vinawaharibu watoto kutoka nje na vijana kwenye viwanja vya miji.
Ölüm pencerelerimize tırmandı, Kalelerimize girdi; Sokakları çocuksuz, Meydanları gençsiz bıraktı.
22 Uyatangaze haya, 'Asema BWANA - mizoga ya wanaume itaanguka kama mavi kwenye mashamba na kama mabua baada ya mvunaji, na hapatakuwa na mtu wa kuyakusanya.'”
Onlara de ki, “RAB şöyle diyor: ‘İnsan cesetleri gübre gibi, Biçicinin ardındaki demetler gibi toprağa serilecek. Onları toplayacak kimse olmayacak.’”
23 BWANA asema hivi, “Usimwache mtu mwenye busara ajivune kwa ajili ya hekima yake, au shujaa kwa sababu ya uwezo wake. Usimwache mtu tajiri ajivunie utajiri wake.
RAB şöyle diyor: “Bilge kişi bilgeliğiyle, Güçlü kişi gücüyle, Zengin kişi zenginliğiyle övünmesin.
24 Kwa kuwa kama mtu atajivunia chochote kile, acha iwe hivi, yeye awe na busra na kunijua mimi. Kwa kuwa mimi ni BWANA, atendaye katika agano la wema, haki, na hukumu duniani. Ni katika hili kwamba ninafurahia- asema BWANA.
Dünyada iyilik yapanın, Adaleti, doğruluğu sağlayanın Ben RAB olduğumu anlamakla Ve beni tanımakla övünsün övünen. Çünkü ben bunlardan hoşlanırım” diyor RAB.
25 Tazama, siku zaja - asema BWANA wakati nitakapowaadhibu wote ambao hawajatahiriwa ambao wako hivyo hivyo katika miili yao.
“Yalnız bedence sünnetli olanları cezalandıracağım günler geliyor” diyor RAB.
26 Nitaiadhibu Misri na Yuda, Edomu, watu wa Amoni, Moabu, na watu wote wanaonyoa denge. Kwani mataifa yote haya hayajatahiriwa, na nyumba yote ya Israeli ina moyo ambao haujatahiriwa.”
“Mısır'ı, Yahuda'yı, Edom'u, Ammon'u, Moav'ı, çölde yaşayan ve zülüflerini kesenlerin hepsini cezalandıracağım. Çünkü bütün bu uluslar gerçekte sünnetsiz, bütün İsrail halkı da yürekte sünnetsizdir.”